Ndugu zetu Waislam njooni mnijibu kuhusu hili suala

Ndugu zetu Waislam njooni mnijibu kuhusu hili suala

Joshua Mbezi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
1,506
Reaction score
2,897
Imekuwa ni jambo la kawaida kwa nchi za kiislamu kukuta wanapiga marufuku watu kula chakula hadharani wakati wa mfungo wa Ramadhan ata kama sio Waislam

Wengine hukumbana na adhabu Kali wanapokamatwa wakila chakula

Sasa maswali yangu ni haya yafuatayo;

1; Je ninyi wenzetu hamuwezi kufunga Hadi mfichiwe chakula?🤔

2; Je ni harali kuwalazimisha ata wasio kuwa Waislam kuamini mfungo wenu?🤔

3; Je mtu asiyekuwa muislam akila chakula chake wewe uliyefunga unaathirika kivipi?🤔

4; Je ni sahihi Iman yenu ninyi kuingilia uhuru wa wengine?🤔

Ahsanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom