Nani anasema ukweli kuhusu maisha ya Msumbiji?

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,120
27,126
Wengine wanasema, Msumbiji sio salama kwa watanzania..Wengine wanasema , Msumbiji pako vizuri na fursa tele..NANI ANASEMA UKWELI? WABONGO MNAOISHI MOZAMBIQUE..FUNGUKENI TUJUE UKWELI.

CLICK HAPA CHINI, KUCHEKI COMMENTS ZOTE.


HIZI NI BAADHI YA COMMENTS ZA WABONGO KUHUSU MAISHA YA MSUMBIJI.

========

Husen Melly Nipo somalia mwaka wa kumi sasa, huku maisha ni safi nirudi bongo nimesahau nini life anywhere ukiwa na pesa bhana wala hakuna shida......

Títhó Nêgélõ Mhágàmâ EATV wekeni maada zenye kuelimisha jamiii mbona swali lenu la kijnga xana EATV na nyie jipu inabidi aje MAGUFULI.

Cymon Urio Ata somalia naenda? Nakule walipo IS???? 500 milz hey; ar u serious.... Nitafungua duka la silaha nikiwa somalia.?

Highbury Wacjuu Nipo msumbiji mwaka watatu huu ila bado mambo kidogo tu kumaliza nije nichukuwe familia yangu yani siitaki hata kusikia kama kuna tz tena nilikuja na msingi wa milioni tatu tu xaxaiv iyo hela yenu ya esrcow naikaribia

Man Jacks Hakuna wa kukupa milion500! Ndio mnawajaza vijana ujinga tu ohh nasubiri nipendwe na limama ili nitoke! Ndoto za mchana hizo!!

Mnyakyusa Geofrey Mwanaharakati Milioni 500 hata mkisema CONGO nitaenda na Sirudi tena. Ila admin unayetoa hizi post unatakiwa uwe makini na maswali yako, maana unatamanisha watu huku wakati wengine Hata Kupata Shs 100 (mia moja) kwa siku zinawashinda. Be careful admin utasababisha watu wawake tamaa huku mitaani waende kuiba baada ya kusikia hiyo milion 500.

Pius Edwin kwa nini mkasema msumbiji..ina maana msumbiji hapawezekaniki kuishi...kwa nini msiseme london...anyway ila nyie eatv siku hizi akili zenu vilaza...toeni post za kusaidia kumkwamua mtanzania mnyonge watu wachangie....baada ya kusema yote hayo nirudi kwenye point...siwezi kuukana utaifa wangu kwa kutumia pesa...

Rukia Salehe Kama Hamna mada za kuweka semeni tuu co mnakuwa kma watoto mada gan ya kitoto hiyo je mtu akisema yes utampa hizo hela au tumieni akili elimisheni jamii

Willhard Wilder Johnnie siku moja moja na nyie EATV mnakuaga manyoya maana maswali mengine sijui ulieandika ulikua kwenye shimo

Michael Siweya Laa !! Aisee sitoki Tanzania..Nchi yangu ina utofauti mkubwa sana na nchi zingine....Angalia jiografia ya nchi yetu inavyovutia..samaki kibao wa maji baridi...dagaa kibao...daa wacha tu...Halafu watz kwa asilimia kubwa ni wapole...unaendaje kuishi na watu ambao kwako itakuwa ni shida tupu....Mbaya zaidi unaambiwa usiruudi TZ....wajameeeni ee hili ni jipu lililoiva

Abel Mselle Kwani tz kuna kitu ghani? Na mosambeqe wamekosa nini? Acheni ulimbukeni ninyi,,.kambi popote ktk dunia hii ya mungu cha msingi ni hizo dolare.

Ramadhan Twaha Naenda yan me nauli tuu na nymba na hata alkaeda au somalia naenda jibu yes

Samiah Loved YES, fanyen mchakato bas maana m tayar npo stand kwaajil ya kwenda nan kakwambia msumbij wanaish manyema2,s binadamu kama mm,achen hzo bhana s wengne 2naangaika 2pate pesa nyie mtatishia pesa,[HASHTAG]#Nyiewenyewehapo[/HASHTAG] HAMNAZO!

Nebby Nyale Leteni kwanza alafu mtaona nitachofanyia......
[HASHTAG]#matokeo[/HASHTAG] yake wenyewe mtayapenda.

Salumu Namideda Khatau No siendi kwanza msumbanga kwa thaman ya fedha wametuzidi iyo milioni zenu hzo ukibadili na fedha za msumbiji unapata ela 5 au 3 yaan kidogo

Godliving G Santo's hizo hela za kwenye mabegi hapo chini ndozile alishikwa nazo jamaa flani hivi kule dodoma kipindi cha kampeni kumbe mnabaki na photo inawauma eeehh

Aziza Shekimweli Hahahaaaa watu bhn sa nyie mnajua hyo milion 500 ukichange kwa pesa ya huko msumbij unapata sh ngap

Paskal Chelsea Yanga Halisi Kama una miaka kumi hujafika kwenu na huna hata mia...itakua milion 500 kuishi msumbiji..

Outlook Siharubea Mbona mimi nipo hapa maputo na nilikuja sina pesa lakini nimezipata hapa hapa msumbiji zaidi ya hizo hapo

Chriss Cypher Haya ni maisha ya story katika sura za watu mimi ningeenda kama pesa zipo mikonon mwangu na ni halali na sio fake maana hamchelewi kunichomesha na mizgo yenu badala ya kwenda msumbiji naenda jela.

Omaru Mahimbwa Tanzania YANGU nimuachie nani?nganga hapa hapa bongo,mi ni mzarendo wa wazarendo

Tawari Hezekiah Waritu Mike kubwa maisha haijalishi kuwa ukiishi Angola ama Msumbiji ndo utakua umefaulu maisha kwa %100 hapa tz yawezekana maisha Ni magumu lkn uraisi wa kupata chakula kipo. Kwa we ushakua mtumwa kwenye Nchi za wenzako
Kaa na Angola yako nac tuwe na Tanzania yetu.

Sele Jah Nyi nyi vibwengo msilete utani na pesa hata sasaivi naondoka bongo haina fomura ya maisha kbs nchi ikikosa tume ya bei ujuwe imepalaganyika ndio mana maisha ya wabongo yko km wanyama sisi tuliotembea duniani ndio tunaona nipe mkwanjwa huo uwone vumbileke bongo nirudi nimesahau nn

Poz Wa Chaka I love Tanzania.... Naishi uswahilin.....bongo kama new york .....nainjoy japo sina kitu.....Tanzania....... Zanzibar...... Karibuni sana wageni......tupige mkwanja.....hip hop

Mary Mrosso Zileteni kwanza alafu ndio nitawaambia kama msumbiji pabaya au pazuri kiroho Safi

Juhudy Mchelsea Mtafya Nipe pesa izo acha magumashi, kama zipo hazpo stajib ndio au hapana.

Barnaba Vumu life la msumbiji ni la kibabe ndugu zangu askari wa kule hawachezi na kima hata sikumoja badilisha nchi yakwenda sio msumbiji waki kuhisi ni muharifu wana sema tanzaniano bandidu hapo ukidakwa kitakacho kukuta usinisimulie!

Noel Chambo yes haya wapeni bac wote walio andika yes mana nyinyi kazi yenu ndio hiyo kupost vi2 cc 2poteze muda kuko bila majibu ku2juza yanayoendea juu ya majibu yetu,

Alice John Mapinduzi Hiyo hela unapewa umeifanyia kazi gani? Ningejaribu kukuelewa kama ungesema ukipata kazi ya kukulipa million 500 kwa mwaka ukifanikiwa kwenda kuish Msumbiji ungefikiria kurudi?

Hytham Malango Siwez nikaumiza kichwa kujibu kitu ambacho hakiwez tokea maishan mwangu.

Edda Kayuni Duh! Wa2 Wanajipangia Mambo Kemkem Wanasema Sasa Hii Ni Bahati Nasibu Jibu Ni Hapana! Hii Ni Danganya Toto Jinga, Ha ha ha komaen hapahapa kwenu bongo mtatoka pia mabadiriko ni ww ukij2ma hata ulaya unaish

Seleman Daniel Msumbiji kitu gani kwa hizo pesa nipo tayari kwenda hata Bulundi, be rich or dye be trying

Galdin Gennes HNane Mtumwa wa kifkra peke yake ndiye anayeweza kuona maisha ni mazuri zaidi ugenini. Mnataka kutuambia nyie mmefanikiwa kuliko wote waliofanikiwa haa Tz? Wanaofanikiwa haa wao wamewezaje

Qsa Fred Yes, Mungejua mozambique kuna maisha mazur zaidi ya Tz, kwanza mwenye hela huku anaogopwa na kuheshimiwa sana.

Juma da Omary ukweli hata mngenipa milion 1000 siendi mimi ni MTANZANIA naipenda nchi yangu hata kama kunashida siwezi kukimbia nyumbani mm ni mzalendo halic

Glady Xavy Yan hata unipe bilion ngapi sihami naenda kuwekeza huko narudi zngu.maana nchi za majirani zetu hazichelewi kukinukisha.saa yoyoye mikono inatembea,shaba,mitutu n.k

Rahimu Mhando Seif kama hapa bongo unaishi humiliki mshiko kama huo, unakubali tu maisha ni popote, huko utaenda kuishi maisha mengine tofauti uliyokuwa nayo hapa bongo.

Samweli Shoo Kwanza nawazaga kuhama hii nchi so hata bila hela nahama nimechoka nchi isiyo na mbele wala nyuma,,,
 
Wengine wanasema ni hatari sana kwa mtanzania kuishi Msumbiji, wengine wanasema msumbiji pako salama na fursa tele. Nani anasema ukweli? Wabongo mnaoishi Moz. TUJULISHENI UKWELI...

=====================================================




MODS: NIMEWEKA LINK HAPO KWA SABABU, NIMESHINDWA KUICOPY MOJA KWA MOJA



Maswali mengine bhana hata mtoto wa darasa la tatu atakushangaa, sasa nipewe milioni 500 kwa nini niondoke TZ yangu? Hivi kuna Mtz mweusi anayeondoka TZ kwenda kuishi kwingine wkt benki akiwa na zaidi ya milioni 100?
 
Wengine wanasema ni hatari sana kwa mtanzania kuishi Msumbiji, wengine wanasema msumbiji pako salama na fursa tele. Nani anasema ukweli? Wabongo mnaoishi Moz. TUJULISHENI UKWELI...

=====================================================




MODS: NIMEWEKA LINK HAPO KWA SABABU, NIMESHINDWA KUICOPY MOJA KWA MOJA

Mozambique is not monolithic.
 
Maswali mengine bhana hata mtoto wa darasa la tatu atakushangaa, sasa nipewe milioni 500 kwa nini niondoke TZ yangu? Hivi kuna Mtz mweusi anayeondoka TZ kwenda kuishi kwingine wkt benki akiwa na zaidi ya milioni 100?
Wakati naanza kazi bongo miaka ya tisini, nilikuwa nazunguka sana ofisi za mjini kati Dar hapo.

Katika mizunguko yangu, kuna siku nikawa pale jengo la IPS, kuna jamaa wana ofisi hapo nilikuwa naenda kufanya mkutano nao.

Basi wale jamaa watu wa kazi na dawa, kazi na story.Kuna mmoja Mchaga nafikiri yule kutokana na lafudhi yake, ndiye alikuwa mwenye kampuni, halafu kuna mwingine alikuwa kama mesenja mesenja hivi kachoka choka.

Basi katika mazungumzo, tukawa tunaongelea biashara na maisha, na kitu gani kinaweza kumfurahisha mtu kwenye maisha.

Basi yule mesenja akasema "mimi nikipata shilingi milioni mia moja tu nitafurahi sana, matatizo yangu yote yataisha".

Yule Mchaga akawa anashangaa sana. Akawa anauliza mara mbili mbili, shilingi milioni mia moja tu?

Akawa kama haamini inakuwaje mtu aridhike na shilingi milioni mia moja tu?

Nikajiuliza sana, inakuwaje mtu mmoja aone shilingi milioni mia moja zitamaliza matatizo yake, wakati mwingine amshangae huyo anayeridhika na shilingi milioni mia moja.

Nikaja kugundua kwamba watu wengi huwa tunaota kutokana na mazingira yetu. Mtu mwenye kampuni iliyokodi ofisi IPS probably anaweza kupata mkopo wa shilingi milioni mia moja, inawezekana kashawahi kufanya biashara ya shilingi milioni mia moja na kaioana si nyingi.

Mesenja anayefanya akzi kwenye kampuni iliyo IPS anaweza kuona milioni mia moja ni hela nyingi sana.

Ulivyotaja habari ya kuridhika na sh milioni mia moja umenikumbusha habari hii.
 
Kuna unyama sana..! aliniambia rafiki yangu.

Juzi wamemuua kamanda wa RENAMO Costa de Sol Maputo hapo.

Kamanda hajaelewa kwamba mafiosi hatakiwi kuwa na ratiba inayoweza kutabirika.

http://allafrica.com/stories/201610090167.html


9 October 2016
Agencia de Informacao de Mocambique (Maputo)
Mozambique: Senior Renamo Member Assassinated in Maputo


Maputo — Unidentified gunmen have assassinated Jeremias Pondeca, a former member of parliament from the rebel movement Renamo, and a member of the Joint Commission set up between the government and Renamo to prepare a face-to-face meeting between President Filipe Nyusi and Renamo leader Afonso Dhlakama.

Renamo national spokesperson Antonio Muchanga told AIM on Sunday that Pondeca was shot dead on Maputo's Costa do Sol beach on Saturday morning.

Pondeca habitually exercised on the beach, and he was assassinated during this daily exercise routine. He was not carrying any identification documents, and his body was not immediately identified.

Muchanga said Pondeca's family informed Renamo on Sunday morning that he was missing. A check revealed that a murder had occurred on the beach, and the body had been taken to the Maputo morgue. Renamo confirmed that it was indeed Pondeca.

Pondeca was a prominent Renamo parliamentary deputy between 1995 and 2004. He was a member of the Council of State, an advisory body to the President of the Republic, and earlier this year Renamo appointed him as one of its members on the government/Renamo Joint Commission. Pondeca headed the Renamo team on the sub-commission tasked with drafting new or amended legislation in the area of decentralization.

Pondeca's murder comes just before the Joint Commission is due to resume its work. The last meeting of the Commission was on 30 September, and the coordinator of the international mediating team, the Italian Mario Raffaelli, then announced that the talks were being suspended until 10 October in order to allow the government and Renamo delegations time to establish the methodology to be used in future discussions, in an attempt to achieve consensus as quickly as possible.

Despite holding 20 meetings, the Joint Commission has so far reached no definitive agreement on any of the matters on its agenda, which includes Renamo's demand for six provincial governors, a cessation of hostilities, the inclusion of members of the Renamo militia in the army and police, and the disarming of Renamo.
 
All in all. what do u think about living in Mozambique
Mozambique is not monolithic.

Maana yake Mozambique yote si sawa kama kitu kimoja.

Nina rafiki yangu kaishi Mozambique miaka mingi, alikuwa anafanya kazi kwenye mitandao.

Base yake ilikuwa Maputo.

Jamaa aliishi Marekani akapigwa risasi Marekani, karibu afariki. Akarudi Tanzania na kufanya kazi, akaenda Maputo kufanya kazi. Alikuwa anatanua tu Maputo na familia yake.

Kwake huyu. Msumbiji ni nchi salama kuliko Marekani.Kwa sababu alijichanganya sehemu za ajabu Marekani na Msumbiji kaenda kuishi sehemu za kishua.

Mimi niko Marekani, sijichanganyi sehemu za ajabu ajabu Marekani. Kwangu Marekani ni nchi salama kuliko Msumbiji.

Ingawa Marekani nako kila siku watu wanakufa.

Ili swali lako liwe na maana zaidi, inabidi utoe details zaidi.

Msumbiji wapi?

Kwenye machimbo machakani huko ambako kuko chini ya RENAMO? Au Maputo mjini ukienda kufanya kazi Bank of Mozambique?

Nchi moja inaweza kuwa na sehemu mbili tofauti kama zilivyo dhana za motoni na mbinguni.
 
Kiranga : Asante sana bro kwa kufunguka vizuri. Nipo interested na maeneo yanayo tawaliwa na FRELIMO,. Nataka kwenda kuwekeza huko.Hawa jamaa wa RENAMO nasikia wanatuchukia sana wabongo. Maputo ipo chini ya RENAMO au FRELIMO?
 
Tatizo kubwa Mozambique ni policia ndo majambazi makubwa

Inaonekana Polisi wa Msumbiji hawawasumbui watanzania tu, hata wasio watanzania husumbuliwa pia.


The local police are out of control and will target foreigners in the area around popular backpacker hostels, bus stations, etc. Carry a certified copy of your passport (not your real one) and a copy of your visa too, so that there is no potential problem with the police (you are legally obliged to carry both at all times).

Also, very obviously, do not carry drugs or knives (penknives) around with you at all. One backpacker arriving by bus from Tete was detained and taken to the police station where he was robbed. Do not expect the police station to be a sanctuary if police hassle you. However, if an officer tries to fine you because he believes something is wrong with your passport, demand to be taken to the Chief of Police. He will almost certainly let you go because usually he is only trying to solicit a bribe.

Source : Maputo - WikiSexGuide - International World Sex Guide
 
Mozambique is not monolithic.

Maana yake Mozambique yote si sawa kama kitu kimoja.

Nina rafiki yangu kaishi Mozambique miaka mingi, alikuwa anafanya kazi kwenye mitandao.

Base yake ilikuwa Maputo.

Jamaa aliishi Marekani akapigwa risasi Marekani, karibu afariki. Akarudi Tanzania na kufanya kazi, akaenda Maputo kufanya kazi. Alikuwa anatanua tu Maputo na familia yake.

Kwake huyu. Msumbiji ni nchi salama kuliko Marekani.Kwa sababu alijichanganya sehemu za ajabu Marekani na Msumbiji kaenda kuishi sehemu za kishua.

Mimi niko Marekani, sijichanganyi sehemu za ajabu ajabu Marekani. Kwangu Marekani ni nchi salama kuliko Msumbiji.

Ingawa Marekani nako kila siku watu wanakufa.

Ili swali lako liwe na maana zaidi, inabidi utoe details zaidi.

Msumbiji wapi?

Kwenye machimbo machakani huko ambako kuko chini ya RENAMO? Au Maputo mjini ukienda kufanya kazi Bank of Mozambique?

Nchi moja inaweza kuwa na sehemu mbili today t kama zilivyo dhana za motoni na mbinguni.
Beiraa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom