JfBro
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 587
- 163
wachagga wana akili za maisha so ukioa mchagga huwez pata shida kwenye ushauri wa maisha,pia wachagga wana akil za darasan kama mtu anabisha angalia historia ya TO'S Wanafunzi kumi bora miaka yote kuanzia darasa la7 form4
&6 kama hujakuta wachagga sio chini ya wa4...na mara nyingi ndio wanakuaga wakwanza so ni watu wenye akil na upeo mkubwa pia ni wazur sana kuna kipnd nilienda moshi December nilipagawa... so acheni watu wakaoe Kilimanjaro tu afu ilo la kufa sizan kama makabila mengine hawafi cozz makubur yapo kila mahal sio moshi tu... ila sasa nakuja negative... wachagga ni wakorofi... dharau.... wababe... wapo busy na maisha wanasahau mapenzi... pia ni watu wabishi sana.. ila sio wote baadhi tu ndio wapo ivo