Simplicity.
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 2,636
- 1,664
- Thread starter
- #61
hahahahaha aisee
basi wanakufanya uwe mwehu alafu unawaoa
Haiwezekani hata kwa nguvu za giza.
hahahahaha aisee
basi wanakufanya uwe mwehu alafu unawaoa
This is nothing but hatred.
Pole sana ndugu
Wewe kabila gani mkuuu
Umbeya maana yake ni jambo la kweli lakini sio lazima kusema.
Let him speak, it is true.
Ankara hazisomi or umewahi kutendwa
kuenda tu makaburini au?????kushiriki shughuli nzima???
wanawake wa kiislam hawaendagi
na hata wakristo wengi kama hujiwez uendi
Umeuliza kama vile ni mwathirika wa hili janga, na huenda kadi yako ninayo! Ohsjyelaaaaaaaaa, hela zote nilizotaka kuwachangia naanzishia mradi wa kuku.
Wachaga na wahaya sio kwamba wana akili darasani, lakini kwa sababu elimu ilianzia kwao kwa sababu za ukoloni kwa hiyo wamepata kujua na kuthamini elimu mapema. Hawana akili za zozote zaidi ya kuforce madarasa hata kama hana uwezo, watarudia kusoma shule ya msingi. sekondari, vyuo mpaka siku watakapovuka darasa, the last thing watafanya ni kuiba vyeti. Nakuambia watafanya chochote ili mradi waonekane wasomi hata kama uwezo ni kama wa kuku. Tofauti kabisa na sisi ambao hatuna hiyo hali ya kulazimisha, we are just intelligent naturally!
Ahahahahaaa unaongea kutendwa hiyo kawaida.
Too cynical!
Kwa banda la kisasa nione tufanye buashara
Majibu yako!Hivi wewe ni ke or me ?
What is this! Hivi
wanawake wapo Kilimanjaro tu na Uhayani? Nina kadi za kuchangia harusi
hapa, kadi zipo tisa! Tuachane na habari ya michango - kwa sababu
kuchanga au kutokuchangia ni uamuzi wangu. Hivi inakuwaje kati ya hao
watu tisa, saba ni ndugu zangu kwa kabila, watano wanaoa wachaga, wawili
wanaoa wahaya! Na waliobaki ambao ni marafiki tu wanaoa wachaga! Miezi
iliyopita nimechangia harusi nne, watatu wameoa wachaga, mmoja mhaya.
Nilivumilia nikachanga kwa kudhani labda ilikuwa ni msimu wa wahaya na
wachaga lakini upepo utabadilika na hali itakuwa ya kawaida mbeleni!
Mbaya zaidi hawa jamaa ni wasomi, wana nafasi nzuri kimaisha, kwa nini
wasingeoa hata nyumbani wakati dada zetu ni warembo, (hawajiamini,
wanaogopa kuwaapproach?) ili walete japo chachu ya maendeleo makwao au
kwenye kabila letu? Ona sasa nguvu yote waliyowekeza wazazi wao inaenda
kutumika kula bata uchagani na uhayani!
Mijitu mingi ya kabila langu ishakuwa inaoa wachaga na wahaya tu,
nyumbani haiendi, kila mara ni uhayani na kilimanjaro, ukizingatia nauli
ni ndefu tena ya ndege wakati home kwao ni pale tu hata kwa bodaboda
wanaenda!
Huu ni wizi ambao siwezi kuuvumilia. Hivi kuna uchawi kwenye mapenzi?
Hivi hii inatokeaje wakati tukiwa wadogo, tumekuwa tukionywa vikali na
wazazi wetu usioe wala kuolewa na mchaga au mhaya, utatafuta kifo au
mateso ya hali ya juu sana kutokana na ushahidi wa mambo yao kadhaa
yaliyowahi kushuhudiwa? Hii mijitu haijifunzi, juzi kafa jamaa alikuwa
ameoa mchaga, mke wake hata kuzika tu hakwenda, jamaa alikuwa engineer,
tena jeshini. Mwaka jana kafa jamaa alikuwa mhasibu, wakati watu
tunafanya mishemishe za kumsafirisha marehemu kwenda kumzika, mke yeye
anahangaika na makaratasi kwa ajili ya umiliki wa nyumba na mali
zingine, wakati hapakuwa na mtu hata mmoja aliyekuwa ananalilia hizo
mali. Au hizi harusi zinazohusisha wahachayaga na watu wa kabila langu
ni projects?
Hawa jamaa Mamazao, hawanioni tena kwenye kamati wala harusi zao
zinazoenda nshomile na mbesa.
Crazy me!
Nakala Kwa: lara 1 miss
chagga Honey Faith
Kongosho nyumba kubwa
BADILI TABIA miss
neddy Asprin - Babu na wengine wote
mlioguswa na hili janga, bila kumsahau Matola,
masai dada na
everlenk.
Naombeni mbinu ya kuwaokoa hawa jamaa.
hujabaniwa mpaka sasa hii?
wahaya sipend ila yamesoma sana dah
aiseee vipi ukiolewa uchagani
Kuolewa unaweza kusurvive lakini, utaisoma plate namba kwa matusi na masimango kama umetoka kabila lingine, noma kama familia yenu ipo chini. Utafanyiwe ubabe wa ajabu, yaani mmeo anaweza kulala na wewe na kimada mwingine kitanda kimoja. Waulize taratibu wadada kadhaa walioolewa huko. Noma nyingine ni kuachwa halafu yeye kaenda zake sijui Mbeya, Mozambique, ukibahatika kumwona sana sana ni mwaka hadi mwaka kwa siku tatu. Wewe utaachwa unahudumia nguruwe, kuku au migomba chini ya uangalizi mkali wa baba au mama mkwe. Ukichepuka akasikia, ndio mwisho.