amanda cute
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 244
- 457
Hv kuna wachaga wa hivi kweli
Jerry muro kaamua kusaka tonge kwa njia Haramu na mwisho wa ubaya na unyama ni Aibu, ngoja avune alichopanda kwenye Nissan nyeupe.Aiseeee jamaa umenifanya nichekee
ndugu zake ni wapi wewe maneno ya kwenye mtandao wanaita haya huyu jamaa ni wa lyamungo banaaisee kwetu ni lyamungo sinde huyu jery mbona hawamfaham hata ndugu zake? nimeuliza bana
Hawajaanza bali ndio wanamalizia, akuanzae mmalinze.Mmeanza inchi hii jamani
Ungeanza kushirikisha wako usingeandika ulichoandikaShirikisha brain
Uko sahihi soon anahitaji matibabu kama hujaanza. Katika maelezo yake amerudia vitu vile vile Mara nyigi sana and not focusing to asked questions plus flight of ideasHivi mmekosa kazi za kufanya mpaka muamfatilie uyo Muro? Mnamuona kabisa ana matatizo ya akili na nyie mnakimbizana nae.
Siku hizi hawahitaji vyeti bali utendaji kama ni vyeti mbona ma pro wengi ndio wanaongoza kwa kuborongaHabari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu
Mkuu kenge hazai mjusi.Nilishajiuza sana kuhusu huyu bwana mdogo . Hahna mchaga mwenye akili tope kama huyu. KUMBE MSUKUMA. Kweli nyeusi ni nyeusi tuuuu
Ndiyo maana kuna Prof mmoja katemwa leo?Siku hizi hawahitaji vyeti bali utendaji kama ni vyeti mbona ma pro wengi ndio wanaongoza kwa kuboronga
😀😀😀😀😀Wazee wakuokoteza hoja za hapa na pale.Hili nalo mtalishikia bango km vile ni hoja yenye mashiko na itakayo wafanya mshike dola 2020!