victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 614
Bavicha mnahamisha magoli sasa😀
Huyo atawachafua sana msipokuwa makini aisee!
Huyo atawachafua sana msipokuwa makini aisee!
ukiona chungu temaYote hayo ndio yamekuja leo kisa kawapiga za uso,haisaidia ,kwani kuwa Msukuma shida ipo wapi,Chadema wanaishi kwa matukio,Muro mnaye sana atazidi kuwabanjua za uso
Muro katokea wp mbona anaropokaropoka tuu
Sasa mtoa post ndio msemaji wa familia?😀Hoja ndio hiyo ya kufoji ukoo
KabisaaaaObviously you could see it from the way he talks . lakini asamehewe tu na kuombewa rehema kwa Mungu basi
KabisaaaaObviously you could see it from the way he talks . lakini asamehewe tu na kuombewa rehema kwa Mungu basi
Kwan ukimuangalia Jerry anaelekea kuwa mchaga?Wazee wakuokoteza hoja za hapa na pale.Hili nalo mtalishikia bango km vile ni hoja yenye mashiko na itakayo wafanya mshike dola 2020!
Nyie ndio vihere here tunao watafuta tuwavishe madera.mkuu simpendi jery muro kwa mambo yake ila mkuu jeri muro kwao ni lyamungo, juu ya kijiweni, unapita kanisa la lyamungo kati, unapita kwa mzee kimati, ukuta wa mzee isaac muro ndugu zao ndo umeshikana na kwa akina jery, napajua tangu anakuwa
acha kutudanganya jombaaa huu ni uongo mtakatifu mnoooo
Wanaukoo ndio waje kuthibitisha..Sasa mtoa post ndio msemaji wa familia?😀
Lema atengue kwanza tuhuma kutoka kwa Jerry ndio tuendelee na mambo ya ukoo😀
HahahahaHawajaanza bali ndio wanamalizia, akuanzae mmalinze.
Kwenye maisha yangu sijawahi kuona mchaga wa hivi, moja kwa moja naamini maelezo ya mtoa mada.
Mkuy update huu uzi...Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu