Ndugu zake Jerry Muro wamkana

Ndugu zake Jerry Muro wamkana

Status
Not open for further replies.
Ivi wewe Jeri muro unataka nini mwanaumee funguka mkuuu maana naona unawewesekaa tuuuu


Jeee wewe ni ,mwaandishi wa habari au nimpiga debe wa ccm
Muambie Baba Jesca atakumulikaa tuuuu au neenda uhuru radio na gazeti la chamaaa
 
KOSA LAKE NI NINI? KUTOA MAONI AU ALIPOMKUMBUSHA MHESHIMIWA WHITE FANI YAKE YA ZAMANI????
Kosa la Jerry muro ni kwenda ma Nissan nyeupe Dodoma kutaka kumuua Lisu na baada ya kushindwa kumuua ameendelea kumwandama kwa maneno huku akiwa busy kwa waganga wa kienyeji kusaka ndumba apeleke Nairobi kenya, Siri nyingi zimepatikana Bar toka kwa Le mutuz baada ya kulewa akajisahau akaropoka mengi.
 
Mbona nyie ccm mnakua kama mmekalia upupu ??? kila kitu cha kuwaumbueni nyie,mnakidandia kwa mbele !! Hii maanayake nini ? Simuache hizo taarifa,ushahidi,viwekwe hadharani,jerry akanushe,mashahidi wajitokeze kushuhudia wakijuacho,ndo mpanue hayo mabakuli yenu yaliyojaza kila aina ya lugha na uovu ? Ikiwa ni uongo sasa mtusute !! Jambo hata muro hajakanusha uv lumumba mshachonga,kuonyesha issue sio ya uongo sasa mnamlinda inzi mwenzenu wa kijani mapema.myeti alikubali,sauti na sura nivyake,mkakanusha kama kwamba hiyo issue ni ya uongo, kumbe ni kama lubuva alivyomtangaza magufuli,kwa ushindi wa kura za wizi !!!! Watanzania wa leo,niwatafiti kuliko mnavyodhani eti ! Kujipendekeza kwa yeyote sasa hivi nchini,ni kumvutia magufuli,awape vyeo ccm, au u dc/u rc kwakuongeza wilaya na mikoa mingine nchini ! Tutawaumbueni tu,alimradi tusipike matukio,yawe ya kweli na yenye ushahidi usiotiliwa mashaka.nyie kama sio dola,Nissan nyeupe,na hayo magobore yenu,mngesha kaa kando siku nyingi sana.Mungu sisi ni wanadamu,tunadhibitiwa na nguvu za utawala,ila Ww Uliye Mungu Mkuu,hudhibitiwi,na awayeyote,nakusihi kwa kuugulia mno Mungu wangu,tuondolee ccm na utawala wake duniani.ni janaba hili kwa waliowengi,tuna koga miili yetu,kwa Maji na miyoyo yetu kwa kuomba ila janaba hili linazidi kutuvagaa ! liteketeze Mungu wetu,tuwe safi tena,Amen
 
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu
Tunashuhudia makubwa familia kuyumbishwa na siasa nyingine zinataka ndugu ahudumiwe na serikali lakini kwa kuwa siasa imewafunga wanakosa msimamo wa kumhudumia ndugu yao!
 
Hakuna mchaga mjinga kama huyu jamaaa.
Albadri imemfanya kazi kubwa wote waliohusika kwenye Nissan nyeupe wataumbuka iwe kwa uwazi kama Jerry muro au kimya kimya huko huko walipo, lakini malipo ni hapa hapa Duniani mwisho wa ubaya ni Aibu.
 
Haya mapinzani ya nchi hii ni ovyo na bure kabisa!Unaanzaje kupambana na mtu ambaye hata si mjumbe wa nyumba 10 km si UJUHA!
Majuha vimbelembele kama Huyu MURRROO wacha apewe vidonge vyake mana hakuna namna.
 
Albadri imemfanya kazi kubwa wote waliohusika kwenye Nissan nyeupe wataumbuka iwe kwa uwazi kama Jerry muro au kimya kimya huko huko walipo, lakini malipo ni hapa hapa Duniani mwisho wa ubaya ni Aibu.
Nakubaliana na wewe 100%
 
Haya mapinzani ya nchi hii ni ovyo na bure kabisa!Unaanzaje kupambana na mtu ambaye hata si mjumbe wa nyumba 10 km si UJUHA!
Kumbe mapinzani ndio waliomwambia asomee Jina la mtu mwingine, mapinzani jamani
 
Tunashuhudia makubwa familia kuyumbishwa na siasa nyingine zinataka ndugu ahudumiwe na serikali lakini kwa kuwa siasa imewafunga wanakosa msimamo wa kumhudumia ndugu yao!
Hiki si kigezo cha kuacha kuwahadili watu wabaya kama ww na Jerry muro,Lisu anahudumiwa vizuri kwani kama kuna watu wabaya wanafanya ubaya zaidi ulitaka waachwe kisa Lisu yupo Hosptal.
 
Nitashangaa nikiona chadema wanajibishana na jerry muro.


Halafu tukirudi suala la elimu mtajitafutia maswali wenyewe sababu jamaa atahoji elimu ya mwenyekiti wenu pia
Tumia ubongo vizuri wewe! Kwa hiyo Mbowe yale sio majina yake!
 
Haya mapinzani ya nchi hii ni ovyo na bure kabisa!Unaanzaje kupambana na mtu ambaye hata si mjumbe wa nyumba 10 km si UJUHA!
nenda kapambane na wapinzani wa kenya NASA kama wa hapa Tanzania wanakuboa
 
Nitashangaa nikiona chadema wanajibishana na jerry muro.


Halafu tukirudi suala la elimu mtajitafutia maswali wenyewe sababu jamaa atahoji elimu ya mwenyekiti wenu pia
Sidhani kama Mbowe amegoma kutoa cheti kama Bashite
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom