Ndugu zake Jerry Muro wamkana

Ndugu zake Jerry Muro wamkana

Status
Not open for further replies.
Mimi siungi mkono matapishi ya Jerry lakini Jerry nimesema naye Loyola Alikuwa nyuma yangu tukaja kukutana Lutheran Junior Seminary akiwa nyuma yangu pia. Alimaliza form six Kisarawe Lutheran Junior Seminary mwaka 2003
Hizo...tabia zake...alianzia wapi ??
 
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu
Yote hayo ndio yamekuja leo kisa kawapiga za uso,haisaidia ,kwani kuwa Msukuma shida ipo wapi,Chadema wanaishi kwa matukio,Muro mnaye sana atazidi kuwabanjua za uso
 
Yote hayo ndio yamekuja leo kisa kawapiga za uso,haisaidia ,kwani kuwa Msukuma shida ipo wapi,Chadema wanaishi kwa matukio,Muro mnaye sana atazidi kuwabanjua za uso
Elimu......
Elimu.....
Elimu.....
Nahisi hata wewe picha hulioni bado..
It's not too late...
 
Tabia mbaya hizi za wapinzani, ninawaambieni yatawatokea puani
 
Jerry Muro ni mchagga mwenzangu wa Lyamongo...kwenye Krismas tukirudi Moshi tunakunywa nae sana mbege kilabuni kwa mzee rafaeli
 
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu
Sasa ukijua kabila la le mutuz si ndio utashangaa kabisa?!!!
 
Mtu mwenye akili nzuri hawezi kuwa ukoo mmoja na ngurumbili. Hata mimi ningemkana huku nimemfungulia na kesi ya "unyang'anyi wa kabila" na kujiaminisha kwa watu asili isiyo yake!
kwakweli hata mm nawashangaa hawa cdm MTU hana wazifa wowote mnapambana nae , je akiwa na wazifa itakuaje simtazimia
 
Nitashangaa nikiona chadema wanajibishana na jerry muro.


Halafu tukirudi suala la elimu mtajitafutia maswali wenyewe sababu jamaa atahoji elimu ya mwenyekiti wenu pia
Mwenyekiti hajafoji na pia alizaliwa na Aikaeli Mbowe hajatumia jina la mtu. Kuhusu elimu yake mbona mmehoji miaka mingi? Kwa hiyo hakutakuwa na jipya
 
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu
Kayataka mwenyewe
 
mkuu simpendi jery muro kwa mambo yake ila mkuu jeri muro kwao ni lyamungo, juu ya kijiweni, unapita kanisa la lyamungo kati, unapita kwa mzee kimati, ukuta wa mzee isaac muro ndugu zao ndo umeshikana na kwa akina jery, napajua tangu anakuwa
acha kutudanganya jombaaa huu ni uongo mtakatifu mnoooo
Kwa hiyo kuujua ukuta wa nyumba ndo kuyajua na ya ukoo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom