Ndugu zake Jerry Muro wamkana

Ndugu zake Jerry Muro wamkana

Status
Not open for further replies.
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu

Jaribu kuinua viwango vya uzandiki. Hapo kwenye red umakariri vibaya.
 
Kwani Mbowe kafoji vyeti, elimu yake ina tatizo lipi mkuu? Hata kama alifeli sasa kufeli ni kosa la jinai au?
Anasifa ya kuwaongoza wasomi woooote waliojazana kwenye chama chenu![emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Chadema bwana yaani hata Muro anawahamisha kwenye reli
We CHADEMA kuna vichwa mult task, single task wengi mmeachwa CCM.
kila kitu kinasonga,hawaachagi ujinga nyuma ukiona wamekupuuza nenda kwa mganga maana yake hufai popote.
 
Kafoji Cheti Kafoji Kabila Hatarii Hadi Ukoo Salaleh Huyu Ni Zaidi Ya Bashite
 
Huyu jamaa hata mm namfahamu, nilipoona kwenye vyombo vya habari anaitwa Jeryy Muro nikajipa moyo kwamba duniani wawili wawili.

Huyu ni msukuma akibisha naweka historia yake kamili hapa
 
Albadir imeanza kufanya kazi yake sawasawa...
Watabumburuka wote..
Halafu nlishangaa iweje huyu jamaa awe close na bashite kiasi hiki!
Vyeti fekeroo....
Lakini hapa lazima huyu jamaa apewe ukuu wa mkoa na mtukufu atamkingia kifua kama bashite...
 
Habari zilizotufikia kutoka Moshi Mkoani Kilimanjaro zinatanabaisha ndugu wa Jerry Muro wamkana kuwasiyo ndugu yao wa Ukoo wa Muro kwani Cheti alichosomea nichandugu yao aliyefariki miaka mingi iliyopita na mwalimu Rafael anahusika kwa shule ya loyamungo kwa kiasi kibwabwa kwani Jerry Murro ni msukuma kwa kabila na shule alizopita tutaweka hapa mda si mrefu

Tuwekee tu maana hakuna namna.Nilisema Lema na Masha hawana haja ya kumjibu lakini atajibiwa tu
 
Nitashangaa nikiona chadema wanajibishana na jerry muro.


Halafu tukirudi suala la elimu mtajitafutia maswali wenyewe sababu jamaa atahoji elimu ya mwenyekiti wenu pia
yaani kuna mambo mengine unashindwa kuelewa,haya baada ya kufoji alibadili jina?
Kuna aibu gani kufeli halafu ukajikubali kuwa ni wewe, huoni tatizo mtu kufeli akajikana nafsi yake akavaa nafsi ya mtu mwingine kama shite.
 
Anhaa!!

Anha ha ya ha haaa...

Picha linaanza.
 
Haya mapinzani ya nchi hii ni ovyo na bure kabisa!Unaanzaje kupambana na mtu ambaye hata si mjumbe wa nyumba 10 km si UJUHA!
Jenga hoja, usitukane, si ajabu na ndugu zako including your parents ni wapinzani
 
Nitashangaa nikiona chadema wanajibishana na jerry muro.


Halafu tukirudi suala la elimu mtajitafutia maswali wenyewe sababu jamaa atahoji elimu ya mwenyekiti wenu pia
Tatizo lenu vichwa vyenu havina kitu na ndio maana mnashangilia kila upuuzi. Aliyekwambia elimu ya huyo mwenyekiti ina tatizo ni nani? Huyo mwenyekiti alifeli kidato cha sita, baadaye akasafisha cheti chake akaendelea na elimu ya juu, Hapo kuna shida gani?
 
Tatizo lenu vichwa vyenu havina kitu na ndio maana mnashangilia kila upuuzi. Aliyekwambia elimu ya huyo mwenyekiti ina tatizo ni nani? Huyo mwenyekiti alifeli kidato cha sita, baadaye akasafisha cheti chake akaendelea na elimu ya juu, Hapo kuna shida gani?

Nyie wenye vichwa vyenye akili mnaona kila mtu kafoji elimu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom