William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Kaka William,
kama tulivyoongea kwa simu, nakutumia details za huyo dada aliyepotea utuwekee kwenye blog ya jamii, na pia uitume kwa jamii ya watanzania waliopo Los Angels.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
----- Forwarded Message ----
Sent: Fri, May 21, 2010 1:26:35 PM
Subject: NDUGU YETU CAROLINE AMEPOTEA
Ndugu zangu,
ninaomba niwafahamishe kuwa kuna ndugu yangu kapotea anaitwa Carol Mmari, alikuwa anaishi Los Angels. Tayari mamlaka husika zimejulishwa, na tayari tangazo la kumtafuta limetolewa. Naomba mnisaidie kusambaza huu ujumbe kwa watanzania mnaowafahamu waishio hapa Marekani ili tusaidiane kumtafuta. Pamoja na ujumbe huu, naambatanisha picha pamoja na details zingine za Carol Mmari.
natanguliza shukrani.
Utawala JF Natangauliza Samahani Sana Maana najua kwamba hapa sio mahali pa hii ishu, lakini ni umuhimu sana wa huu ujumbe kuonekana na jamii ndio umenipelekea hivyo naomba sana msaada wenu kuiacha hapa kwa muda ili ionekane na wananchi.
Ahsanteni.
William.
kama tulivyoongea kwa simu, nakutumia details za huyo dada aliyepotea utuwekee kwenye blog ya jamii, na pia uitume kwa jamii ya watanzania waliopo Los Angels.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
----- Forwarded Message ----
Sent: Fri, May 21, 2010 1:26:35 PM
Subject: NDUGU YETU CAROLINE AMEPOTEA
Ndugu zangu,
ninaomba niwafahamishe kuwa kuna ndugu yangu kapotea anaitwa Carol Mmari, alikuwa anaishi Los Angels. Tayari mamlaka husika zimejulishwa, na tayari tangazo la kumtafuta limetolewa. Naomba mnisaidie kusambaza huu ujumbe kwa watanzania mnaowafahamu waishio hapa Marekani ili tusaidiane kumtafuta. Pamoja na ujumbe huu, naambatanisha picha pamoja na details zingine za Carol Mmari.
natanguliza shukrani.
Utawala JF Natangauliza Samahani Sana Maana najua kwamba hapa sio mahali pa hii ishu, lakini ni umuhimu sana wa huu ujumbe kuonekana na jamii ndio umenipelekea hivyo naomba sana msaada wenu kuiacha hapa kwa muda ili ionekane na wananchi.
Ahsanteni.
William.