Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
Kijana nimejichanga hela kidogo nikaagiza mzigo wa simu na bidhaa zingine kutoka china kupitia shirika la usafirishaji wa DHL,sasa biashara yangu hii naona karibia nafilisika kabisa kutokana na kodi ninazolipa TRA.
Sasa wadau naomba njia yoyote itakayoniwezesha mimi kukwepa kodi au kuniwezesha nipunguze kiasi cha kodi nacholipa.
Nalipa kodi halali ila kiasi ni kikubwa sana kinaniumiza kwa kuzingatia Biashara hii yangu bado ndogo.
Nakaribisha maoni yenu na hata watakaonipa ushauri PM kunisaidia mimi mdogo wenu njia za kuweza kukwepa kodi.
Ahsante na karibuni.
Note: mambo ya #escrow pia yananipa machungu. :confused2:
cc: you
Je unakadiliwa kodi au unaandika mahesabu,yaani unaandaa hesabu zinaenda kukaguliwa TRA na wanakwambia kodi ya kulipa?