Ndugu yenu nafilisika very soon

Ndugu yenu nafilisika very soon

sina hamu na kupitisha mzigo DHL au airport kutoka nje ya nchi...nakumbuka niliwahi susisa TV pale uwanjani sikurudi wala sijarudia tenaaa.
 
sina hamu na kupitisha mzigo DHL au airport kutoka nje ya nchi...nakumbuka niliwahi susisa TV pale uwanjani sikurudi wala sijarudia tenaaa.

kwa hiyo now unatumia njia gani...
 
ukitaka kukwepa kulipa kodi muulize Reginald mengi

Mengi mbona juzi tuu alipewa cheti na TRA cha walipa kodi bora na kwa wakati?

hata hivyo mtoa mada anaweza kuonana na huyu Dr akamsaidia
 

Attachments

  • 1417005800739.jpg
    1417005800739.jpg
    50.1 KB · Views: 278
Mwaka juzi niliagiza kijiusafiri toka Japan ....FOB price ya kule japan ilikua dola 750 ....CIF price mpaka dar port jumlisha usafiri ,inspection fees pamoja na insurance ikafika kama usd 2000 (tzs kama 3,500,000 hesabu ya haraka) heeeeh TRA si wakanikadiria kodi zaidi ya 5,600,000) wakati kwa hesabu ya haraka ushuru ilitakiwa nilipe si zaidi ya 3,500,000...Hembu wenye uelewa wa jinsi wanavyokadiria kodi atiririke.
 
Uza kila ulicho nacho na umfuate yesu awe bwana na mwokozi wa maisha yako..............
 
Haswaaa......maana ndiko kwenye uzima wa milele..........

Sawa mkuu,lakini kufanya kazi au biashara si dhambi,kazi tufanye lakini tusimsahau Mungu hivo kazi ni mhimu wakati ukisubiri unyakuo au unasemaje!
 
Back
Top Bottom