NDUGU MWANACHADEMA, UNACHAGUA KUA UPANDE WA KIDEMOKRASIA, NO REFORM NO ELECTIONS AU UPANDE WA MAANDAMANO YA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA OCTOBER?

NDUGU MWANACHADEMA, UNACHAGUA KUA UPANDE WA KIDEMOKRASIA, NO REFORM NO ELECTIONS AU UPANDE WA MAANDAMANO YA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA OCTOBER?

Ungependa uwe upande gani katika mgawanyiko wa kidemokrasia ndani ya chadema?


  • Total voters
    56
Ningesema nipo upande wa uchaguzi wa amani lakini nimeshuhudia watu wanapewa vitambulisho vya Mpiga Kura wakati hawana hata cheti cha kuzaliwa wala driving licence au identification nyingine ya aina yoyote; imani yangu ilipukutika toka hapo
Wakati wenzako tunasoma civics wewe ulikuwa unakula kamasi eti?
Toka lini kigezo cha kupata kitambulisho cha mpiga kura kinakutaka uwe na kitambulisho kingine ?
 
gentleman,
achilia mbali myukano wa g55 na kamati kuu,
lisu anasema no reforms no elections, kwenye jukwaa hilo hilo Lema anasema yatafanyika maandamano ya amani,
kidemokrasia, ungependa uwe upande gani kati ya pande hizo mbili? :NoGodNo:
Kama lengo la maandamano ya amani nikushinikiza Sanduku la kura liheshimiwe, niko na lema na lissu.
 
kweli tupu!!! wasaliti wasiungwe mkono👿
ila CDM kulikuwa na uhuni mwingi wakati wa uongozi wa Mwamba, eti COVID19 wawili ni wake wa viongozi waandamizi wa CDM alafu bado watu wanaulizana barua ya kuwateua waingie Bungeni ilisainiwa na nani!

Lissu atarejesha imani ya wananchi kwa CDM
 
kweli tupu!!! wasaliti wasiungwe mkono👿
hao g55 ni watia nia za uongozi katika uchaguzi mkuu wa october, kitua ambacho lisu, lema na heche pia ni watia nia wa uchaguzi huohuo,

sasa kulikoni lisu, lema na heche nao wasiwe wasaliti gentleman? :pedroP:
 
ila CDM kulikuwa na uhuni mwingi wakati wa uongozi wa Mwamba, eti COVID19 wawili ni wake wa viongozi waandamizi wa CDM alafu bado watu wanaulizana barua ya kuwateua waingie Bungeni ilisainiwa na nani!

Lissu atarejesha imani ya wananchi kwa CDM
katiba ya chadema ilisemekana ni mbovu mno kwa mujibu wa Lisu wakati akigombea uenyekiti wa taifa, hivi ilisharekebishwa gentleman, au imekua nzuri baada ya kupata nafasi? :pedroP:
 
Kumbe hata ccm wanataka tume huru ya uchaguzi.

NO REFORMS,, NO ELECTION
 
pamoja na hayo gentleman,

katika mgawanyiko wa kidemokrasia uliopo ndani ya chadema,
wewe binafsi upo upande wa watia nia wa G55, upande wa no reform no elections ya Lisu, upande maandamano ya amani ya Lema au wewe ni kanyaga twende bora liende? :pedroP:
Ujumbe wangu mbona upo wazi? Hujaelewa kipi hapo??
 
Maandamano kwa bongo bado sana kutokea.
hua yanachochewa na viongozi wa kisisa baada ya kujikuta hawako relevant kisiasa wakati huo, sasa kubust status zao kisisa hujikuta wanatumia maandamano na ndio maana hayanaga matokeo kabisaa :NoGodNo:
 
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October mwaka huu, utata na migawanyiko imeibuka hususan ndani ya chadema.

Je kama mwana chadema, ukiachilia mbali mvutano wa kamati kuu na g55,
wewe ungependa uwe upande gani katika mgawanyiko huu wa kidemokrasia ndani ya chadema? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
NO REFORM NO ELECTION
 
NO REFORM NO ELECTION
gentleman,
watia nia wa chadema ikiwa ni pamoja na Tundu Lisu, Sugu, Heche, Aida n.k wamegundua kua agenda hiyo ni useless, nonsense, null and void, na kwahivyo watashiriki kikamilifu uchaguzi mkuu wa october bila mbamaba yoyote,

sifahamu waliopotoshwa watakua kwenye hali gani na watachukua hatua gani baadae dhidi ya hao wapotoshaji :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom