NDUGU MWANACHADEMA, UNACHAGUA KUA UPANDE WA KIDEMOKRASIA, NO REFORM NO ELECTIONS AU UPANDE WA MAANDAMANO YA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA OCTOBER?

NDUGU MWANACHADEMA, UNACHAGUA KUA UPANDE WA KIDEMOKRASIA, NO REFORM NO ELECTIONS AU UPANDE WA MAANDAMANO YA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU WA OCTOBER?

Ungependa uwe upande gani katika mgawanyiko wa kidemokrasia ndani ya chadema?


  • Total voters
    56

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,825
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October mwaka huu, utata na migawanyiko imeibuka hususan ndani ya chadema.

Je kama mwana chadema, ukiachilia mbali mvutano wa kamati kuu na g55,
wewe ungependa uwe upande gani katika mgawanyiko huu wa kidemokrasia ndani ya chadema? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
 
Ningesema nipo upande wa uchaguzi wa amani lakini nimeshuhudia watu wanapewa vitambulisho vya Mpiga Kura wakati hawana hata cheti cha kuzaliwa wala driving licence au identification nyingine ya aina yoyote; imani yangu ilipukutika toka hapo
 
Hao G55 hawana tofauti na COVID19, sasa nani atawaunga mkono? Labda wake na waume zao
gentleman,
achilia mbali myukano wa g55 na kamati kuu,
lisu anasema no reforms no elections, kwenye jukwaa hilo hilo Lema anasema yatafanyika maandamano ya amani,
kidemokrasia, ungependa uwe upande gani kati ya pande hizo mbili? :NoGodNo:
 
Ningesema nipo upande wa uchaguzi wa amani lakini nimeshuhudia watu wanapewa vitambulisho vya Mpiga Kura wakati hawana hata cheti cha kuzaliwa wala driving licence au identification nyingine ya aina yoyote; imani yangu ilipukutika toka hapo
Gentleman,
hayo malalamiko yafaa uyawasilishe tume huru ya taifa uchaguzi kama pingamiz, kwa watu ambao unadhani hawakustahili kuandikishwa kwa mujibu wa katiba.
Jambo lingine muhimu ambalo liko wazi kabisa ni kwamba uchaguzi wa october utakua wa amani sana.

Je,
unadhani mgawanyiko unazidi kupamba moto ndani ya chadema kwamba kutakua na no reforms no elections, lakini pia kutakua kuna maandamano ya amani siku ya uchaguzi.

kipi kati ya hayo ni muafaka kwa wakati huo, au yote ni useless na completely nonsense kwa ustawi wa demokrasia nchini?:NoGodNo:
 
Mambo ya Chadema yanakuwasha sana Geroman
gentleman,
ikiwa umefikia kiwango chako cha mwisho cha mawazo mapya na fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani,

ni muhimu sana ukakaa kimya na kujifunza kwa wengine, itakusaidia sana kuongeza uelewa na ufahamu wako juu ya mambo haya muhimu ya kisiasa:NoGodNo:
 
Gentleman,
hayo malalamiko yafaa uyawasilishe tume huru ya taifa uchaguzi kama pingamiz, kwa watu ambao unadhani hawakustahili kuandikishwa kwa mujibu wa katiba.
Jambo lingine muhimu ambalo liko wazi kabisa ni kwamba uchaguzi wa october utakua wa amani sana.

Je,
unadhani mgawanyiko unazidi kupamba moto ndani ya chadema kwamba kutakua na no reforms no elections, lakini pia kutakua kuna maandamano ya amani siku ya uchaguzi.

kipi kati ya hayo ni muafaka kwa wakati huo, au yote ni useless na completely nonsense kwa ustawi wa demokrasia nchini?:NoGodNo:
Mimi ni mtu pragmatic kusema ukweli hakuna namna ya kuzuia uchaguzi kwa nguvu labda kwa ushawishi wananchi wote wasiende kupiga kura hii nayo ni vigumu kiuhalisia na mazingira yalivyo, Lissu atapoteza muda kwa watanzania hawakuwa tayari kupambana na dola nashauri Wafanye review ya mkakati wao kwa kuangalia uhalisia wa mambo. wananchi watajaa kwenye mikutano yao kwa sasa lakini siku ya uchaguzi polisi wakimwagwa kwelikweli na kisha Lissu Lemma na Heche kuzuiwa majumbani mwao na polisi mpaka kesho yake uchaguzi utafanyika kama kawaida tena soft bila madhara. CCM wanachekelea sana kwa hili,chama cha ACT au Chauma kinakuja kuibuka mdedea baada ya uchaguzi kulegezewa hali ya uchaguzi kwa vile ukiangalia mengine siyo ya kimfumo au kisheria ila ni ya makusudi tu ya wasimamizi yasipofanywa kwa uzalendo au maelekezo maalum, wapinzani wengi mtashinda km ilivyokuwa 2015 mfano kukimbia na masanduku ya kura, kukimbia vituo, uwingi wa polisi vituoni, na mambo mengine ambayo si rafiki na yanabinya uhuru wa mpiga kura nk Haya Ni ya kujadiliana tu na mamlaka kwa msisitizo na nyinyi pia kaeni chini mzungungumze sauti moja mkubaliane juu ya njia sahihi na kama kwenye vikao vyenu no reform no election ndiyo tafsri muliyokubaliana kweli! na ndicho mlichokusudia. hapa kuna kundi la wanaharakati wanaunga mkono no reform no election kwa zuia uchaguzi na kundi la wanasiasa wanaunga mkono no reform no election lakini hatimaye kuzuia vitendo viovu ndani ya uchaguzi wakishiriki hiyo wanaona itakuwa more practical. Wacha tuone
 
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October mwaka huu, utata na migawanyiko imeibuka hususan ndani ya chadema.

Je kama mwana chadema, ukiachilia mbali mvutano wa kamati kuu na g55,
wewe ungependa uwe upande gani katika mgawanyiko huu wa kidemokrasia ndani ya chadema? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe CCM CHADEMA INAKUHUSU ni nini?
 
Wewe CCM CHADEMA INAKUHUSU ni nini?
mimi ni mtafiti mbobevu, mtaalamu na mshauri mwandamizi wa masuala ya vyama vya siasa ndani ya vyama vya siasa nchini,

so,
usinilishe maneno wala kunivika uanachama wa chama cha mapenzia au nadharia zako.
muhimu zaidi, ungejikita kwenye hoja ingependeza zaidi gentleman :NoGodNo:
 
kura yangu ni ya thamani sana, siwezi ipoteza kwenye sanduku la kura feki!
baki nayo nyumbani ili watoto wale washibe, wavae na kunywa vizuri na itapendeza sana gentleman :pedroP:
 
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October mwaka huu, utata na migawanyiko imeibuka hususan ndani ya chadema.

Je kama mwana chadema, ukiachilia mbali mvutano wa kamati kuu na g55,
wewe ungependa uwe upande gani katika mgawanyiko huu wa kidemokrasia ndani ya chadema? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
Mtahangaika sana na huyo bibi Kizimkazi mwaka huu!!
Bila haki hakuna amani!
Hizo silaha Samia alizowanunulia polisi ili waje waue watu wakati wa uchaguzi zitamrudia yeye mwenyewe!!
 
Kuelekea uchaguzi mkuu wa mwezi October mwaka huu, utata na migawanyiko imeibuka hususan ndani ya chadema.

Je kama mwana chadema, ukiachilia mbali mvutano wa kamati kuu na g55,
wewe ungependa uwe upande gani katika mgawanyiko huu wa kidemokrasia ndani ya chadema? :NoGodNo:

Mungu Ibariki Tanzania
HATUWAHI KUWA NA CHAGUZI ZA KIDEMIKRASIA YA VYAMA VINGI KAMA NA BAHATI MBAYA BADALA YA KU-IMPROVE TOWARD DEMOKRASIA TUNA-IMPROVE TOWARD CHAMA KIMOJA, SHAME ON CCM!! WANAOKATAA KUKUBALI HAYA.
KWAHIYO BILA KUCHAGUA UPANDE MIMI AMBAYE SINA CHAMA AU CHAMA KINGINE SIYO CCM NINA SABABU IPI KUPOTEZA MUDA BORA NIISHI KAMA MKIMBIZI NISIYEITWA MKIMBIZI.
 
Back
Top Bottom