Kwanza huyo Anna Mugwira alimnyang'anya tonge mwigamba , ilibaki nusu saa mwigamba awe mgombea lakini kilichotokea kila mtu anafahamu , manung'uniko ya mwigamba bado yanaishi .
Alimnyang'anya kivipi? Hilo si chaguo la Zito.baada ya Kitila kusepa?
Kwanza huyo Anna Mugwira alimnyang'anya tonge mwigamba , ilibaki nusu saa mwigamba awe mgombea lakini kilichotokea kila mtu anafahamu , manung'uniko ya mwigamba bado yanaishi .
Huyo Zito amekuwa Mungu siku hizi, yaani hata aki kosolewa mnasema ni chuki!? Ukweli ni kuwa hesabu za Zitto zilienda vibaya na kazi kubwa aliyo ifanya ya kuuzindua Umma wa Tanzania na Umaarufu wake vili mpumbaza.Mimi nimewapa "suluhisho" muuweni kama Chacha Wangwe ili mpumuwe.Maana ni kama HAMLALI JUU YA HUYU MTU.CHUKI ZIMEVUKA KIKOMO....
Upuuzi mtupu! Labda azimio la Mwandigasiasa ya ujamaa wa kidemokrasia yenye lengo la kurejesha misingi ya Taifa ya umoja, udugu, uzalendo, uadilifu na uwajibikaji wa viongozi iliyopotea.
Mwigamba awe rais? Jamani mko serious? Mwigamba alivyo kiazi namna ile agombee urais?? Mweeeh!!!Kwanza huyo Anna Mugwira alimnyang'anya tonge mwigamba , ilibaki nusu saa mwigamba awe mgombea lakini kilichotokea kila mtu anafahamu , manung'uniko ya mwigamba bado yanaishi .
Alimnyang'anya kivipi? Hilo si chaguo la Zito.baada ya Kitila kusepa?
Ushauri wangu kwa Zitto ni kua kama ndoto zake hazijatimia basi arudi tena kitandani akalale, anaweza kuota tena ndoto zikatimiaHi!
Katika ufunguzi wa kampeni za chama cha ACT wazalendo, mgombea urais kupitia chama hicho mama Anna Mghwira alihaidi kuwa endapo atashinda basi atamteua mh. Zitto kuwa waziri mkuu wa JMT.
Ni wazi kuwa uwezekano wa chama hicho kushinda ni mdogo sana kwani chama icho akionyeshi dalili yoyote ya kushinda huku tafiti zisizoaminika sana za TWAWEZA zikizidi kukididimiza.
Hivyo basi ndoto za Zitto ni za asubuhi kweupe na bila shaka hazitatimia....
Fojuman
duh, kwa io na ye akakubali kudanganyikaZitto asilaumiwe magamba yalimdanganya kwa kutumia pesa ila yeye Kama yeye ni mwanasiasa mzuri sana na mwenye uelewa wa juu kabisa
Zitto asilaumiwe magamba yalimdanganya kwa kutumia pesa ila yeye Kama yeye ni mwanasiasa mzuri sana na mwenye uelewa wa juu kabisa
Mbowe aliwaaminisha hivyo ili kufanikisha biashara yake.
Zitto ni makini na Mungu amsaidie
Hi!
Katika ufunguzi wa kampeni za chama cha ACT wazalendo, mgombea urais kupitia chama hicho mama Anna Mghwira alihaidi kuwa endapo atashinda basi atamteua mh. Zitto kuwa waziri mkuu wa JMT.
Ni wazi kuwa uwezekano wa chama hicho kushinda ni mdogo sana kwani chama icho akionyeshi dalili yoyote ya kushinda huku tafiti zisizoaminika sana za TWAWEZA zikizidi kukididimiza.
Hivyo basi ndoto za Zitto ni za asubuhi kweupe na bila shaka hazitatimia....
Fojuman
Hi!
Katika ufunguzi wa kampeni za chama cha ACT wazalendo, mgombea urais kupitia chama hicho mama Anna Mghwira alihaidi kuwa endapo atashinda basi atamteua mh. Zitto kuwa waziri mkuu wa JMT.
Hivyo basi ndoto za Zitto ni za asubuhi kweupe na bila shaka hazitatimia....
Fojuman
seriously? weka akiba ya maneno mkuu....muda si mrefu utasikia,nitakukumbusha