Zito ni miongoni mwa viongozi wakubwa watarajiwa wa nchi hii na uwezo wakisiasa anao ivo ni taratibu tu ipo siku mtamkubali na walio wengi mtamuitaji katika serekali ya nchi hii
ZZK is already an 'antique' in Tanzanian politics. Ali mis calculate hatima yake kisiasa kwa maslahi madogo sana.
Hauna data mkuu,
Kwanza huyo Anna Mugwira alimnyang'anya tonge mwigamba , ilibaki nusu saa mwigamba awe mgombea lakini kilichotokea kila mtu anafahamu , manung'uniko ya mwigamba bado yanaishi .
Zito ni miongoni mwa viongozi wakubwa watarajiwa wa nchi hii na uwezo wakisiasa anao ivo ni taratibu tu ipo siku mtamkubali na walio wengi mtamuitaji katika serekali ya nchi hii
Hi!
Katika ufunguzi wa kampeni za chama cha ACT wazalendo, mgombea uraisi kupitia chama hicho mama Anna Mghwira alihaidi kuwa endapo atashinda basi atamteua mh. Zitto kuwa waziri mkuu wa JMT.
Ni wazi kuwa uwezekano wa chama hicho kushinda ni mdogo sana kwani chama icho akionyeshi dalili yoyote ya kushinda uku tafiti zisizoaminika sana za TWAWEZA zikizidi kukididimiza.
Hivyo basi ndoto za Zitto ni za asubuhi kweupe na bila shaka hazitatimia....
Fojuman
Huyu ZZK ni ayattulah msaliti natamani asirudi bungeni.Hata kigoma saivi UKAWA na CCM Wameungana kumuangusha na wanatumia mpaka hoja ya dini.Sisi TUNATAKA KUPELEKA BUNGENI MAJEMBE kama KINGWENDU,SUGU,LEMA ili Taifa letu LIWE KUBWA KIUCHUMI KAMA CHINA na MAREKANI.Upawa oyee.Lawassaaa...
Kwanza huyo Anna Mugwira alimnyang'anya tonge mwigamba , ilibaki nusu saa mwigamba awe mgombea lakini kilichotokea kila mtu anafahamu , manung'uniko ya mwigamba bado yanaishi .
ngoja akikosa ubunge mwaka huu 2020 atagombea udiwan ndo akili zitamjia
Huyu ZZK ni ayattulah msaliti natamani asirudi bungeni.Hata kigoma saivi UKAWA na CCM Wameungana kumuangusha na wanatumia mpaka hoja ya dini.Sisi TUNATAKA KUPELEKA BUNGENI MAJEMBE kama KINGWENDU,SUGU,LEMA ili Taifa letu LIWE KUBWA KIUCHUMI KAMA CHINA na MAREKANI.Upawa oyee.Lawassaaa...
ngoja akikosa ubunge mwaka huu 2020 atagombea udiwan ndo akili zitamjia
Hamna lolote keshafikia mwisho
Kwanza huyo Anna Mugwira alimnyang'anya tonge mwigamba , ilibaki nusu saa mwigamba awe mgombea lakini kilichotokea kila mtu anafahamu , manung'uniko ya mwigamba bado yanaishi .
Mimi nimewapa "suluhisho" muuweni kama Chacha Wangwe ili mpumuwe.Maana ni kama HAMLALI JUU YA HUYU MTU.CHUKI ZIMEVUKA KIKOMO....
siyo akikosa ni anapokosa ubunge maana ni dhahiri hata ubunge hapati panya huyu
Huyu ZZK ni ayattulah msaliti natamani asirudi bungeni.Hata kigoma saivi UKAWA na CCM Wameungana kumuangusha na wanatumia mpaka hoja ya dini.Sisi TUNATAKA KUPELEKA BUNGENI MAJEMBE kama KINGWENDU,SUGU,LEMA ili Taifa letu LIWE KUBWA KIUCHUMI KAMA CHINA na MAREKANI.Upawa oyee.Lawassaaa...