Afande Fojuman
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 657
- 548
- Thread starter
- #41
Sasa hizo ahadi za Mama Anna zinageukaje kuwa ndoto za Zitto zilizofikia status ya kuwa hatarini kutimia?Zitto aliwahi kuutamani lini hadharani uwaziri mkuu? Maana sasa hapa ni JF huwezi kuleta mada tukachangia bila kuwa objective.
Kwa akili yako unadhan ye hapendi kuwa waziri mkuu" kipindi mama Anna anatamka ayo maneno Zitto aliamka na kutoa tabasam kali sana...