Afande Fojuman
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 657
- 548
Hi!
Katika ufunguzi wa kampeni za chama cha ACT wazalendo, mgombea urais kupitia chama hicho mama Anna Mghwira alihaidi kuwa endapo atashinda basi atamteua mh. Zitto kuwa waziri mkuu wa JMT.
Ni wazi kuwa uwezekano wa chama hicho kushinda ni mdogo sana kwani chama icho akionyeshi dalili yoyote ya kushinda huku tafiti zisizoaminika sana za TWAWEZA zikizidi kukididimiza.
Hivyo basi ndoto za Zitto ni za asubuhi kweupe na bila shaka hazitatimia....
Fojuman
Katika ufunguzi wa kampeni za chama cha ACT wazalendo, mgombea urais kupitia chama hicho mama Anna Mghwira alihaidi kuwa endapo atashinda basi atamteua mh. Zitto kuwa waziri mkuu wa JMT.
Ni wazi kuwa uwezekano wa chama hicho kushinda ni mdogo sana kwani chama icho akionyeshi dalili yoyote ya kushinda huku tafiti zisizoaminika sana za TWAWEZA zikizidi kukididimiza.
Hivyo basi ndoto za Zitto ni za asubuhi kweupe na bila shaka hazitatimia....
Fojuman