PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,710
- 26,010
Mkuu rudi chuo cha siasa na saikolojia ukasome! ZZK ni long term planner wala hakufikilia
Besigye!!
Mkuu rudi chuo cha siasa na saikolojia ukasome! ZZK ni long term planner wala hakufikilia
Sasa hizo ahadi za Mama Anna zinageukaje kuwa ndoto za Zitto zilizofikia status ya kuwa hatarini kutimia?Zitto aliwahi kuutamani lini hadharani uwaziri mkuu? Maana sasa hapa ni JF huwezi kuleta mada tukachangia bila kuwa objective.
sasa huyo mama ngwira angempa mhuni asiye kuwa na mke uwaziri mkuu? alafu huyu mama mbona hatumwoni mumewe kwenye kampeni kama ilivyo kwa wagombea wanaume wakiambatana na wake zao? kuna hatari nchi hii siku moja kuongozwa na mhuni awe mwanaume au mwanamke
ulichoandika kina kuwaje ndoto ya zitto? kama aliyesema ni huyo mama??
yaani kwa akili zako timamu unaamini kabisa Zitto aliamini anashinda?
lengo la kumsimamisha mgombea ni kukitangaza chama, vikitajwa vyama utasikia CCM,UKAWA na ACT na hili ndio lengo lake
pole mkuu, jipange
Jifunze kuheshim..yule ni kama mama yako, wewe kama mume wa mama ako bado yupo hai mshukuru Mungu
Hahaha wasaliti katika ubora wao,wachawasalitiane wenyewe
Una mawazo mgando ndugu, sasa wanasalitianaje while huyo mwigamba anampigiaga huyo mama kampen
Mkuu itakuwa una matani na Magufuri,
Hivi mtu asiyekuwa na mume au mke ni muhuni? Hebu tafakari upya kauli halafu nijibu nikujibu.
hiyo sio sababu kwa hiyo hata mwanaume mjane anaruhusiwa kugombea urais? huko ikulu si kutakua kama kona baa sasa
Na kama ni mjane akamfufue tena?
kwa ccm hawana shida yuko wema mama wa mipango
Kila jambo na muda wake. Ni dhahiri ya kwamba ZZK kwa sasa bado.
Hakunaga mwanaume mJane..rudi kaanze tena kindergaten
Hapa vipi?
hiyo sio sababu kwa hiyo hata mwanaume mjane anaruhusiwa kugombea urais? huko ikulu si kutakua kama kona baa sasa