Ndoto tunazoota na tafsiri zake

 
Hii ya kula chakula na kufanya mitiani na kuota nifanya mapenzi had napiss hii inanisumbua na kunitezaa. Wacha nikaze maombi
 
Hii ya kula chakula na kufanya mitiani na kuota nifanya mapenzi had napiss hii inanisumbua na kunitezaa. Wacha nikaze maombi
usilale kifudifudi....lazima utapizi tu sababu umelakia via vyako vya uzazi hasa kwa mwanaume.....
 
mi naotaga sana ndoto mbili moja ile ya kupaa angani ila sifiki popote ya pili naotaga naokota shilingi yaan pesa sarafu chini zinakua nyingiiii mia mia mia mbili ivo yaan ila ndo sielewagi maana yake izo ndoto anaejua anisaidie.
 
NI UKWELI KABISA MFANO NAMBA 21 KWENYE MAMBO YA UZINZI UNAOTA UNANG'ATWA NA MBWA KAMA NIGHTMARE.
 
Ndoto ni muendelezo wa mawazo ukiwa umelala. Sema kipindi umemalala mwili unanafanya mmaamuzi ambayo sio consious.. Sidhani kama uancho sema ni sahihi..tukisema tufatilie kila ndoto tunazoziota tunaweza changanyikiwa
 
Mkuu una maandiko yoyote kutoka kwenye biblia kusupport hayo uliyoandika hapo juu au ndiyo hekima za dunia?
Tunakosea tunapoweka limit ndoto hii maana yake ni hiki,hapo inaonyesha hatuhitaji msaada wa Mungu kutusaidia kujua maana ya ndoto tunazo ota.Mkuu unahitaji kujifunza kama wewe ni mtumishi wa Mungu.
 
Kuamini sana tafsiri za ndoto hakuna tofauti na kuamini ramli za waganga wa kienyeji.

Halafu hii naona ipo kibiashara zaidi maana ameanza na kuweka namba zake za simu.

Kutokana na hali za maisha kwa sasa mindoto mibovu mibovu kama hii ni kawaida tu.

Chakufanya ikiwa umeota ndoto mbaya
1. Kwanza mlaani shetani, pia muombe Mungu akuepushe na ubaya kutokana na ndoto hiyo huku ukifanya kama ishara ya kutema mate mara tatu.
2. Babilisha upande uliolalia mwanzo. Kama umelala kushoto, hamia kulia na kinyume chake.

Cha kufanya Kama umeota ndoto njema yaani yenye kukufurahisha
Muombe Mungu akubariki kutokana na kheri za ndoto hiyo, pia muombe akukinge kutokana na shari ya ndoto hiyo.
 
Karibuni niliota napanda mlima mkali sana kwenda juu, ubaya zaidi hata ile miti ya kushikilia nikakosa kabisa. Nikawa nashika nyasi chache zilizoota kwenye mlima huo. Nilipoota hakukuwa na eneo lingine la kupita zaidi ya hapo. Nilibahatika kufika kileleni ila sikuwa na viatu, nikatembea peku hadi nikaja kukuta kijiji fulani huko mbele.
Hiyo nayo nini inaelezea??
 
Tunahitaji na ndoto unazoweza kuota za mafanikio Basi mkuu, sio unatuletea tafsiri ya ndoto za hovyo hovyo TU hututendei haki ..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…