Inasemekana muda si mrefu muungwana atafanya mambo hadharani! Ni tetesi kutoka ndani ya jikotayari kwa kupakuliwa.
Stay tuned...................................
Nadhani swali la msingi ni je walistaafu kwanza jeshini? Sina tatizo kama former military man kuingia uraiani lakini ni muhimu astaafu jeshini na hivyo asiwe in the active service. Hebru fikiria Jaji Mkuu bado ni Brigedia Jenerali...
Unamaanisha Col. Samwel Ndomba RC wa Arusha?
Watu na sehemu zao walizo teuliwa ulizotaja ni sawa ila angalia kwa umakini ktk siasa itengulisha kuhusisha siasa na jeshi na ndipo JK akatoka jeshini. Kuhisi nyadhiva za kisiasa Brother Ben aliwatumia sana wanajeshi wastaafu ktk ukuu wa wilaya na mikoa,jaribu kuwa makini na rekodi zako maana kustahafu leo si kuanyiwa sherehe leo leo.
Na wanatumika kwa kuwa jamaa wame practice nidhamu.
Kuhusu nyadhifa zingine zisizo za kisiasa wanashiriki tu sioni tatizo,mimi nimefundishwa na mwanajeshi chuoni alikuwa kitengo cha radar bongo.
Muhimu kwangu sio ujeshi...tunataka mtu atakayeleta heshima, uadilifu na uchapakazi PCCB. Isiwe tu ni kuendeshwa na wanasiasa. Mara nyingi nimewasikia watu waadilifu, strict......ila wanapokutana na sekeseke la "ufisadi" wanaanza kumomonyoka taratibu........!
Nadhani swali la msingi ni je walistaafu kwanza jeshini? Sina tatizo kama former military man kuingia uraiani lakini ni muhimu astaafu jeshini na hivyo asiwe in the active service. Hebru fikiria Jaji Mkuu bado ni Brigedia Jenerali...
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us