Ndoa zina matukio jamani

Ndoa zina matukio jamani

Mi mwenyewe hapa Nina machale ya kuoa maana sijui matukio nitakayokutana nayo huko ndoani.

Tuzidi kuombeana wakuu.
 
Naona kina dada nao siku hizi wapo mstari wa mbele kuikataa!
Tena wao wameamua sasa ni kufata mzigo huko, yaani yupo tayari kuisafiria kwa Kidia One🤣🤣🤣 mara akifikia tu simba wasivyo na adabu wanaingia uwanjani🤣 ndio ile inabidi sasa watu wafanye "the abomination"...
Yalitukuta hayo kipindi tukiwa certified senior bachelors
 
Sasa natokaje na wife kwa maswala ya kazi mkuu, yeye yupo home nikienda nakuta chakula safi kaniandalia, naamua nianzie wapi na weekend hii. Haya single na upweke wake anaona bora ale chips na pepsi yake siku iende, single anaona bora aende beach akakae peke yake huko kupunguza stress, guys ndoa pamoja na mapungufu yake yote ni tam, tena tamuuu
Wakati unapofikiria upande mzuri wa ndoa..je nyakati za changamoto umejipanga kuzikabili vipi?
 
Siyo kuwadi tu, dunia ya leo, wengi sana huanzia nyumbani na kaka na baba zao.

Nimeshakumbana na kesi hizo.
Labda masharti ya utajiri...ila hivihivi tu uingie kwa ndugu ama baba kwakweli naona ngumu
 
Achane hizo kwani una wake wangapi wewe? Anayenuka ni huyo wa kwako...
watoa harufu bana ni wakoleza lip shines ambao hawaswaki, wabandika kucha na kope za bandia ambao hawawezi jisafisha vizur mbele na nyuma, wavaa mawigi ambao ni wanuka nywele na maskioni, na wale wenye mazoea nakujiapiza kwamba ntaosha baadae, ntajisafisha baadae matokeo yake hadi anapitiwa usingiz na inakua ndio imetoka ivo.....
 
watoa harufu bana ni wakoleza lip shines ambao hawaswaki, wabandika kucha na kope za bandia ambao hawawezi jisafisha vizur mbele na nyuma, wavaa mawigi ambao ni wanuka nywele na maskioni, na wale wenye mazoea nakujiapiza kwamba ntaosha baadae, ntajisafisha baadae matokeo yake hadi anapitiwa usingiz na inakua ndio imetoka ivo.....
Hao wote ni wake zako?

Hapa tunamzungumzia mke au mwanamke yoyote yule unayemuokota huko barabarani?
 
Sasa utaoana na stranger mkuu? Tafuta mtu mnayewezana kwa kila jambo. Ila kuishi mwenyewe ni janga, upweke...usipende maisha ya upweke mkuu.
Ukioa leo oct ukamfumania dec utaendelea nae?utachukua maamuzi gani?
 
Haswa za kizazi hiki.

Usaliti umekuwa kitu cha kawaida, magomvi kama yote, wengi wanafeki furaha ila ndani kunafurukuta. Matukio ya kutisha, najiuliza walewale waliokuwa wanacheza romantic songs sijui blues kwa hisia na upendo ndo hawahawa leo wanakimbizana na mapanga?

Wamechafukwa hawatamani kuonana tena, ndo hawa kila mmoja kamchoka mwenzake? Wanapigana wengine wanauana.

Ndoa imekuwa kifungo cha maumivu, nimeshuhudia wengi wakiteseka kihisia, kimwili, kiroho nk

Ndoa sio salama tena imekuwa njia ya kujipatia magonjwa ya kila aina, ukitaka magonjwa yote ingia kwenye ndoa na malaya asiejua kuridhika wala kutulia. Ndoa zimegeuka tanzi na mtego.

Hata ukiweka vigezo 100 lakini ukweli watu hubadilika kutokana ma situations zinazotokea maishani. Mpaka baba mchungaji anachepuka. Ukiyumba kiuchumi kidogo tu mwenzio kakukimbia. Ukipata hata ajali ukilala tu kitandani mwenzio anaomba talaka ama anahamia kwa mwingine.

UKITAKA KUINGIA KWENYE NDOA JIPANGE NA UWE NA ROHO NGUMU!
Kwa hiyo kura yako inaenda team ndoa?
 
Back
Top Bottom