Ndoa za watu maarufu zina mengi

Ndoa za watu maarufu zina mengi

We maskini humfikii Manara kwa lolote. Pia jamaa anakojolea na amekojolea pazuri hususani pale kwa Rushayna. Mengine ni matatizo na changamoto zako binafsi.

Amka hapo kwa sister ako katafute hata kazi ya kuokota makopo kwani umri unakuenda na huna la maana ulilolofanya kama serikali ya CCM🤣😅😂😄😁😆
Hunijui, sikujui na wala hujui niko wapi na nafanya nini! Hudhani unaweza kuwa mjinga anayeongoza kwa dunaiani kwa muda uliokuwa unafikiria hivi kuhusu mimi? Angalia siku niliyojiunga JF halafu ujumlishe na kutoa.
 
Hunijui, sikujui na wala hujui niko wapi na nafanya nini! Hudhani unaweza kuwa mjinga anayeongoza kwa dunaiani kwa muda uliokuwa unafikiria hivi kuhusu mimi? Angalia siku niliyojiunga JF halafu ujumlishe na kutoa.
We maskini humuwezi manara kwa lolote. 😁😁😁
 
Sasa manara naye ana mapungufu ya kutokujitambua, huyo ni mke wa sita wanaachana anataka kutuaminisha nini wananzengo na tushajua yeye ndo ana shida maana haiwezekani wooote 6 wawe na mapungufu tu yeye yuko perfect
 
isingekuwa m-bishi Bugatti ningemshauri aende atafute albinism wezake maofisi ya umma mana wako kibao

waendelee uzao wao....haikwepeki
Wapo walio oana wote zeru zeru wakazaa watoto wasiokuwa na shida ya uzeru zeru(albinism).
 
FB_IMG_17429329384454877.jpg
 
We maskini humfikii Manara kwa lolote. Pia jamaa anakojolea na amekojolea pazuri hususani pale kwa Rushayna. Mengine ni matatizo na changamoto zako binafsi.

Amka hapo kwa sister ako katafute hata kazi ya kuokota makopo kwani umri unakuenda na huna la maana ulilolofanya kama serikali ya CCM🤣😅😂😄😁😆
Huyu member macho_mdiliko ni mtu mzima, sio nzuri kumvaa mtu na maneno yasiyostaha na hujui ni nani angalia vizuri id yake
 
Huyu member macho_mdiliko ni mtu mzima, sio nzuri kumvaa mtu na maneno yasiyostaha na hujui ni nani angalia vizuri id yake
Mtu mzima kwa nani? Unaujua umri wangu? Alafu kwani hakuna watu wazima maskini? Pamona na yote huo ndio ukweli kuwa macho_mdiliko ni maskini na hawezi mfikia Manara lakini pia ni kweli manara amekojolea sehemu nzuri hususani yule Rushyna na hata huyu aliyeachana naye sasa kuliko popote ambapo huyo mtu mzima amewahi kojolea kwenye maisha yake hata kwako ukimpea maana unamshobokea sana. 😁😁😄
 
Mtu mzima kwa nani? Unaujua umri wangu? Alafu kwani hakuna watu wazima maskini? Pamona na yote huo ndio ukweli kuwa macho_mdiliko ni maskini na hawezi mfikia Manara lakini pia ni kweli manara amekojolea sehemu nzuri hususani yule Rushyna na hata huyu aliyeachana naye sasa kuliko popote ambapo huyo mtu mzima amewahi kojolea kwenye maisha yake hata kwako ukimpea maana unamshobokea sana. 😁😁😄
Maandiko yalisema "usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake usije ukafanana naye" kama unahisi manara ni tajiri kuliko ID ambayo hata hujui ni nani anafanya nini, level ya maisha yake, dah! Pole una safari ndefu kama kweli manara ni tajiri kuliko mtu yeyote unayemfikiria.
Sitokujibu tena
 
Maandiko yalisema "usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake usije ukafanana naye" kama unahisi manara ni tajiri kuliko ID ambayo hata hujui ni nani anafanya nini, level ya maisha yake, dah! Pole una safari ndefu kama kweli manara ni tajiri kuliko mtu yeyote unayemfikiria.
Sitokujibu tena
Hakuna tajiri wala mtu mwenye kipato cha maana anayeshinda JF na kufuatilia maisha ya watu.

Huyo ni maskini na maamuma nawe ni nungayembe tu.
 
Back
Top Bottom