M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 8,404
- 19,863
It's a celebrity page na hakuna anayelazimishwa kusoma let alone ku-comment.Peleka facebook mkuu.
So it's you who is on the wrong page.
It's a celebrity page na hakuna anayelazimishwa kusoma let alone ku-comment.Peleka facebook mkuu.
Ila nyinyi mnanifanya nicheke kwanguvu😂😂Hahahahaha,.
Ni hudhuniiii😅
Mkuu maji yanatunyima uhuru wa kuchekaHahahaha🤣
uzuri unajua pigo langu huwa ni moja tu!..Kausha basi mwana💪🏿🙏🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
Ndio maisha waliyochagua.Wanaishi maisha ya maigizo mpaka kwenye maisha ya ndoa
Ndoa ni siriiii
Yani umenasa na bado unakiburi!, leo mchawi karaba nakugeuza kuwa kuku makucha.. 🤣Usikomae sana basi ukajiona mshindi ala🤬
Haji kama Bugatti...Alikuwa hanipi tendo mpaka nimlipe 400k wakati ni mke Wangu"
Manara..
Hii si Mara ya Kwanza Manara kudai kulipia tendo la ndoa kwa mkewe hata kwa yule aliepita alidai hivyoView attachment 3300040
Hela inatafutwa kwa njia ngumu sana, kwenda kunyonya domo la huyo sope, maana pombe, sigara, bangi, shisha, mirungi, na ugoro yataka moyo wa ujasiri kweli kweli.
🤣🤣 now you knowUsitafute kesi ya uhaini tafuta suluhu.. We are all men
Cheka tu mama la mama😂Ila nyinyi mnanifanya nicheke kwanguvu😂😂
Mkuu, umenikumbusha kitabu cha TAKADINI.Hela inatafutwa kwa njia ngumu sana, kwenda kunyonya domo la huyo sope, maana pombe, sigara, bangi, shisha, mirungi, na ugoro yataka moyo wa ujasiri kweli kweli.
Aisee. Umenichekesha wakati nilikuwa nimenuna kweli kweli. Jamaa amekutana na ''wa mjini''.Nimeitoa huko huko