Ndoa za watu maarufu zina mengi

Ndoa za watu maarufu zina mengi

Mke anamuuzia mume itakua sio majini kweli hayo?
Ya manara yapo sana mkuu,SEMA ni vile haturipoti kwenye social media!

Kuna watu wananyimwa kisa hawajapeleka watoto shule za kulipia private eti hawataki kayumba!

Wengine Hela ya gauni hajatoa,au hajatuma Hela kwao,mara Hela ya mchezo!!

Tunanunua sana mkuu!ninmwanamke Gani anataka mwanamme asiekua na hela!!?nani anamtaka broke Ili waanze kuzitafuta pamoja!!?wote wanataka uhakika wa Hela ndio watoe!!

Bora machangudoa wapo honest kabisa wanauza real kuliko hai tunaoishi nao wakiuza Kila leo!
 
Back
Top Bottom