Ndoa za watu maarufu zina mengi

Ndoa za watu maarufu zina mengi

Usitafute kesi ya uhaini tafuta suluhu.. We are all men
Mkuu haya ndiyo madhara ya kuoa mtu ambaye hakupendi. Unajua Manara ni mshamba mmoja wa hali ya juu sijui hata anawezaje kuwachota watanzania kiakili. Kuna ile clip moja alienda USA akachukuwa escote, akajirekodi akidhani watu wataona kama ameopoa demu mkali kweli kweli. Na mbaya zaidi yule escote ni kama alikuwa anamnyanyapaa hivi... ila anajikaza tu kwa sababu ya fedha. Naomba nieleweke kuwa situmii ulemavu wake kumsimanga ila tu jamaa ana ushamba wa kuopoa mademu ambao hawao level yake.
 
Mahangaiko na kuhangaika.. Na harakati za kila siku duniania.. Wanaopenda hawapendwi.. Wasiopenda wanapendwa😭😭😭
Inaumiza sana.... mapenzi tuachane nayo mkuu....kuumia sababu ya mtu asiyejua nini anataka ni kujidharaulisha sana.Just cool
 
Mkuu haya ndiyo madhara ya kuoa mtu ambaye hakupendi. Unajua Manara ni mshamba mmoja wa hali ya juu sijui hata anawezaje kuwachota watanzania kiakili. Kuna ile clip moja alienda USA akachukuwa escote, akajirekodi akidhani watu wataona kama ameopoa demu mkali kweli kweli. Na mbaya zaidi yule escote ni kama alikuwa anamnyanyapaa hivi... ila anajikaza tu kwa sababu ya fedha. Naomba nieleweke kuwa situmii ulemavu wake kumsimanga ila tu jamaa ana ushamba wa kuopoa mademu ambao hawao level yake.
We maskini humfikii Manara kwa lolote. Pia jamaa anakojolea na amekojolea pazuri hususani pale kwa Rushayna. Mengine ni matatizo na changamoto zako binafsi.

Amka hapo kwa sister ako katafute hata kazi ya kuokota makopo kwani umri unakuenda na huna la maana ulilolofanya kama serikali ya CCM🤣😅😂😄😁😆
 
Back
Top Bottom