Hela inatafutwa kwa njia ngumu sana, kwenda kunyonya domo la huyo sope, maana pombe, sigara, bangi, shisha, mirungi, na ugoro yataka moyo wa ujasiri kweli kweli.Alikuwa hanipi tendo mpaka nimlipe 400k wakati ni mke Wangu"
Manara..
Hii si Mara ya Kwanza Manara kudai kulipia tendo la ndoa kwa mkewe hata kwa yule aliepita alidai hivyoView attachment 3300040
Mke anamuuzia mume itakua sio majini kweli hayo?Wanaishi maisha ya maigizo mpaka kwenye maisha ya ndoa
Ndoa ni siriiii
Huyu ni Sope?
Unaweza ukadhani ni utani ila ndo wadada wengi wa mjini walipofikia.Alikuwa hanipi tendo mpaka nimlipe 400k wakati ni mke Wangu"
Manara..
Hii si Mara ya Kwanza Manara kudai kulipia tendo la ndoa kwa mkewe hata kwa yule aliepita alidai hivyoView attachment 3300040
Yale yale, anaoa for public attention, Dula makabila was right after all.Alikuwa hanipi tendo mpaka nimlipe 400k wakati ni mke Wangu"
Manara..
Hii si Mara ya Kwanza Manara kudai kulipia tendo la ndoa kwa mkewe hata kwa yule aliepita alidai hivyoView attachment 3300040
Return to sender😀Nimeitoa huko huko
Dah ***** wanawake wanaroho ngumu
Nawe utakuwa unanilipisha shingapi..?Duuh
Hujafa hujaumbika!Hela inatafutwa kwa njia ngumu sana, kwenda kunyonya domo la huyo sope, maana pombe, sigara, bangi, shisha, mirungi, na ugoro yataka moyo wa ujasiri kweli kweli.
Imagine hadi umri huu alikuwa bado kapuku,hapa mbususu alikuwa anazila kwa macho tu.Kume_ntain umaarufu sio kazi ndogo.. Bahati mbaya Manara ameupata akielekea uzeeni na inambidi kufanya Mambo yasiyoendana nae ili aongelewe..
Hata hivyo wacha wafu wazikane
Naye ni bingwa wa kukejeli watu kwa maumbile yao, alimuita Fredrick Mwakalebela kilo 800.Hujafa hujaumbika!
Ungezungumzia kuhusu bangi, ugoro na bangi zake tu bila kuhusisha ngozi yake.