National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,212
😅😅😅😅Wapi huko jamani?
😅😅😅😅Wapi huko jamani?
Umeacha kuniombea tenaNa ubakie hivyo hivyo shindikana.
😅😅😅😅😅😅Mwe mweeeh! Naomba namba yake tuwe marafiki😂😂
Huu Uzi huenda ukafanakiwa kumbadilisha mind set ndugu yetu Liverpool VPN [emoji4]
Jibu kwa kimombo, huyo binti hajasoma shule za kayumba.... Eboh!
Vuta subira, usivute bangi 😂😂, chujio liliharibika, nasubiri litoke Japan tuendelee na mchujo 😂Sasa uliotukata ulituahidi kuwa utatufikiria, vipi bado tu?
Haliwezi tumika.. 😂Kabisa hata sijalibariki hilo jina
Shukrani mzeeMashaallah,
Furaha yako ya kupata mtoto isiwe kichocheo cha usahaulifu wa majukumu na wajibu kama mkuu wa familia.
Mtunze mwanao, mtunze mke wako, watunze wazazi wako kama bado wapo hai.
Aaah wewe inabidi uende kwa Mwamposa kabisa.Umeacha kuniombea tena
Usicheke, nasubiri namba.😅😅😅😅😅😅
Weeeh!! Kuna mchujo tena😳😳😳😳Vuta subira, usivute bangi 😂😂, chujio liliharibika, nasubiri litoke japan tuendelee na mchujo 😂
Upo, kwani huyu si ni wa kwanza na dini inaruhusu zaidi ya mmoja, we kama unatakaWeeeh!! Kuna mchujo tena😳😳😳😳
Kumbe haya mambo yako real namna hii humuMr right wako every whereeee 😍 ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja 😂
Fungueni PM hizo my zanguu jamani tushonae sareee
Darlin
Lenie
Joanah
Carleen
Mkuu Makaveli, mimi na my zangu tunakutakia kila la Kheri katika familia yako.. anko wetu akuzwe katika kimo na afya njema na ampendeze Mungu na wanadamu.
AMIN JOANAHKumbe haya mambo yako real namna hii humu
My wetu Depal usipuuze hisia zako,pata kaHB kako kamoja kule lav konekti 🤣
makaveli10 nakuombea baraka zote katika uzao na love life yako,upendo na amani vitawale
Ninong'oneze basi ID ya mama kichanga 🙈
😅😅😅 Goja nikupe namba ya whatsapp ila ndoa itabaki salama akijua hii ID 🤣🤣🤣Usicheke, nasubiri namba.