gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
Kitu kimoja ambacho hajakijua. Kitu cha kwanza muhimu sana katika ndoa ni kumemegedana. Kama chakula hata magengeni kipo. Mi wife akijaribu kuninyima hiyo makitu ndo kanipa tiketi ya kumtafutia msaidizi, na kwa hilo naamini Mungu hanihesabii dhambi.
mwambien huyu mwenzenu aache kuseek empathy kwa mkewe bali atake mandatory