J Mbungi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 269
- 74
- Thread starter
- #121
Barikiwa kwa mchango wako.........Imani-Tunashiriki,--Uzazi wa mpangoalikuwa akitumia sasa hivi hatumii yapata miezi sita sasa, =Mwili wake naufahhemu maalum inayomsisimua(huwa natumia ujanja kuvinjari mwili wake..
pole asee!
wewe ni bonge la commited huzzie!
ila hebu tusaidiane hapa!
-IMANI,mnashiriki ibada kama wanandoa (kwa pamoja)?
-mkeo anatumia njia yoyote ya uzazi wa mpango(za kisayansi)
-unamfahamu hasa mkeo,namaanisha unamfahamu mwili wake(hehhehe sijui niiwekaje hii iwe na koti juu)
-mna migogoro ambayo unaimalizaga kiume,like ile HAYAISHI,YANI BADO UNAYO TUU,SI TULISHAONGEA)
-aina yenu ya mahusiano ni ipi kati ya hizi, MUME NA MKE?BABA NA MTOTO?KAKA NA DADA?RAFIKI NA RAFIKI?MKWE NA MKAMWANA?DOKTA NA MGONJWA AU MWALIMU NA MWANAFUNZI,BOSI NA SURBODINATE?,MWANASIASA NA MWANACHI AU BOARD OF STAKE HOLDERS WA KAMPUNI?
-nyumba yenu ina uhuru wa kiasi gani?
-mna mtoto mchanga?
-mawasiliano yenu ni JUU KWENDA CHINI,CHINI KWENDA JUU AU KULIA KWENDA KUSHOTO?
-analitazamaje tendo la ndoa (hii unaichek kimatendo yake zaid,unaona anahis ANATUMIKA,NI WAJIBU WAKE,ANAFURAHIA?wewe unaonaje pia UNAMTUMIA,UNAFURAHIA KUSHIRIKI NAE TENDO?
hebu jipe pumzi kufanya hii homework hii kwanza unaweza kuchukua kidaftar kidogo kujibu maana nafkir yana majibu marefu refu
-