Ndoa yangu ipo mashakani

Ndoa yangu ipo mashakani

Nadhani nina kazi ya ziada kuhusu hiyo "personalities" Mke wangu hapendi story na mimi tangu kitambo hicho....Mimi ni mtu anayependa kumuongelesha sana mke wangu..Ila yeye huwa anasema namchosha na maongezi marefu(hata kama tunajadiliana masuala ya kifamilia..Mimi ni mtu wa kujishusha sana kwake(Huwa namuomba samahani hata kama sijamkosea..Nikiona amekasirika ninapomuhoji jambo hajalipenda.......Kuhusu kufanya kazi(Mimi nafanya kazi zangu"through ONLINE" Nina Kampuni ya utalii...Huwa kazi zangu naziratibu nikiwa nyumbani..(Ofisini huwa naenda kukagua na kufuatilia mambop muhimu( Nina ofisi Zanzibar)

Kwa mfano saa tisa kasorobo hii wewe uko busy JF, yeye yuko wapi?
 
Umekuwa mjapani mama analala na watoto; anahamia kwa baba pale anapotaka watoto...

Kurudi kwenye mada...naongezea walichosema wengine, mazoezi na kula vizuri vinahusika pia...wote wawili muwe watu wa mazoezi, hii inapunguza uchovu na kufanya damu ichemke...

kwa sababu kuna wamama mfano wakijiona wamenenepa sana baada ya kuzaa wanachukia miili yao na kama mtu hajikubali na kujipenda hawezi penda mwingine (mumewe)...

Madawa ya kuzuia mimba nayo yanaweza kuhusika...

Nilitaka kusahau sala...yani hiki ni cha kwanza...mshirikishe Mungu maana hiyo yaweza pia kuwa kazi ya shetani...anataka unyimwe ili uangalie mipango ya kando...

Ngono ni kwa ajili ya kupata watotot tu na watoto unao, shida unayo wewe mwanaume
 
Kwa maelezo haya mkeo anatakiwa umpe lesson...think think think....ana take advantage ya kuwa na mume kama wewe...

Lesson si mpaka mpango wa kando ila muonyeshe action kwa muda...si hataki story eehhh sasa mchunie mpaka apate mashaka...

People don't know what they have until it's gone...

We need to be reminded now and then of how worthy our husbands and wives are...na ni kwa kuwapokonya hivi vitu special tunavyowapa...mchunie uone kama hajatia akili...


Nadhani nina kazi ya ziada kuhusu hiyo "personalities" Mke wangu hapendi story na mimi tangu kitambo hicho....Mimi ni mtu anayependa kumuongelesha sana mke wangu..Ila yeye huwa anasema namchosha na maongezi marefu(hata kama tunajadiliana masuala ya kifamilia..Mimi ni mtu wa kujishusha sana kwake(Huwa namuomba samahani hata kama sijamkosea..Nikiona amekasirika ninapomuhoji jambo hajalipenda.......Kuhusu kufanya kazi(Mimi nafanya kazi zangu"through ONLINE" Nina Kampuni ya utalii...Huwa kazi zangu naziratibu nikiwa nyumbani..(Ofisini huwa naenda kukagua na kufuatilia mambop muhimu( Nina ofisi Zanzibar)
 
Kabla ya kuchukua hatua zote ulizoshauriwa je yeye anaona jambo hili kuwa ni tatizo au anaona poa tu. Kama ulivyoshauriwa na wengi mpeleke kwenye maombi au ikiwa wewe ni mwamini basi muombee mkeo utaona mabadiliko
 
Dah!!!! Pole sana Mkuu. Inaumiza sana Mwanaume unapokosa haki yako toka kwa mkeo kwa sababu za uchovu wa mke halafu mume ukaamua kujitoa na kufanya kazi zote za nyumbani ili mke aweze kushiriki ipasavyo katika tendo la ndoa na bado hakuna ahueni yoyote. Kama hamna magomvi nyumbani kwenu basi labda ana matatizo ya kiafya Mkuu, hivyo jaribuni kuwaona wataalamu wanaweza kuwasaidia hivyo kuokoa ndoa yenu.

Naomba msaada wa kuinusuru ndoa yangu(Naona ipo ukingoni...
Mimi ni baba mwenye watoto wawili(7 & 4) Nipo kwenye ndoa mwaka wa 8 sasa...
Nimeanza kupata matatizo na mke wangu yapata mwaka sasa kuhusiana na TENDO Zima la mchezo wa kitandani..
Kwakweli nimeshindwa hata kumuelewa,ANANIKATALIA kufanya mapenzi kwa visingizio kibao(Mara anasikia usingiz sana,mara hajisikii,mara amechoka sana)..Yaani ndani ya huu mwaka sijawahi kufanya naye mapenzi kwa ridhaa yake bila kumlazimisha kwanguvu)..
Yaani imefika wakati nika amua kumsaidia kazi zoote za nyumbani(Kufua kupika na kadhalika) Ili mradi akifika nyumbani asifanye kazi yoyote ya kumchosha..LAIKINI haija saidia kitu..
ANASEMA HANA HAMU KABISA HATA MWAKA UNAWEZA KUPITA BILA KUFANYA MAPENZI(WALA HAONI TAABU)..
Mwanzoni alikuwa akifanya kazi mjini(Akiondoka alfajiri na kurudi Jioni sana)..Sasa nimemfungulia salon hapa hapa maeneo ya nyumbani(Yote hiyo ni kujaribu kumpunguzia uchovu anosema ndio unamfanya akose HAMU.. Lakini haijasaidia kitu..
Kusema ukweli hii hali imenichanganya sana..( Mimi si mtu wa kutoka wala sijawazia jambo hilo) Lakini nitaishije bila kupata haki yangu ya ndoa??? Na mke ninaye???!
JAMANI NAOMBA USHAURI HATA KAMA NI WA KITABIBU : MAAANA HATA KAMA ANATEMBEA NA MTU MWINGINE(HATEMBEI NAYE KILA SIKU) LAZIMA KUNA SABABU ZA KIAFYA ZINAZOMFANYA HAKOSE HAMU...
 
Wewe kama ni mkristu mpeleke kamuonjeshe kiti moto. Ukiona kapiga kelele ujue ana mapepo. Otherwise jaribu upange siku uende naye kwenye maombi, akipiga kelele ujue janaume pepo lipo. Ila kuna wengine husema inawezekana kila mlalapi kitandani inawezekana jini linakuwa kati yenu, na likimvaa yeye basi anafanya nalo night, linamchosha na lina mridhisha, hivyo kijibao chako kinakuwa hakina maana.

Nadhani jaribu kutumia pia ushauri wa wazazi/wasimamizi wa ndoa n.k.

hapa kwenye pepo inawezekana kabisa. Tena jini mahaba hapendi kabisa ku-share mapenzi
 
Ulimuoa akiwa hakupend kwa asilimia zote, eitha aliamua kuolewa kwa xternal forces au kwa kuhofia kukosa ndoa mbeleni....sasa moyo wake kwako umepoa, kale kachembe ka upendo wa mwanzoni nako kameisha....dalili kuu ya m2 kuwa hakupend ni kukunyima tendo la ndoa coz hakufeel na lile tendo ni hisia....! Chunguza mwanamke kama anakupenda kweli kabla hujamuoa,
 
jini mahaba linaweza kuwa linamsonga....... ila mwaka mzima kweli mrefu.... mpaka umbake duh... na wakati unambaka anatoa ushirikiano?......fanya hivi.... anza kutoka kila siku rudi jioni,,jifanye kama huna habari nae... mzigo usiulize na ujikaze kweli kweli, uwe mpole kabisa,,, kuwa busy na watoto kwa sana.. tena siku nyingine jisahaulishe lala kwa watoto....lazima atagutuka, pia chunguza marafiki zake, kama una mbinu za kuwafahamu fanya....ila usiwaulize kitu,,, chunguza na wao tabia zao.....wanawake hawakosi mashosti kabisa....jaribu hapo tuone....
 
Hiii ndo unajua kwamba dini ya kiislam ni ya haki kwa mfano hilo tatizo lako lingekua lishakwisha pindi ungeengeza mke

Kwa hiyo kwa kuongeza mke ndio angekuwa amemsaidia huyu mwenye matatizo...!!!!
 
Pia inawezekana umekua unashindwa kumfikisha kileleni yani ukikutana nae unajifurahisha wewe unamaliza unamgeuzia mgongo,
hii pia inaweza ikachangia mkeo kulichukia tendo la ndoa na kutokua na hamu na wewe
 
kama anatumia vidonge au njia za kisasa za uzazi wa mpango aache...... nazo zinachangia kupunguza hamu
 
Kaka hapo kuna mambo kama matatu hivi; 1. La kiimani, yawezekana akawa na pepo/jini mahaba ambalo humwingaia kwa njia ya ndoto na kumtimizia haja zake; pata muda umuulize taratibu kwanini siku hizi ajisikii hamu alafu mchomekee kiaina swari la kama anaotaga otaga ili asishtuke kama wamhisi kuwa anajini mahaba. Jibu atakalokupa litakupa dira either ya msaada wa kimaombi katika katisa la kiroho etc. 2. Tatizo la kisaikolojia, kutokana na mgandamizo wa mawazo na mambo tu ya kawaida yanayoendelea hapo nyumbani au kwa wazazi yanaweza changia hali hiyo. Hapa muone mwanasaikolojia ukishajiridhisha baada ya kukaa nae na kumhoji maswari mawili matatu. 3. Yaelekea unakaa sana nyumbani[kama unakuwa na muda hata wa kumsaidia kazi za nyumbani] she has got used to you. Uwe unasafiri safiri au kutoshinda hapo nyumbani na hata unapokuwa hapo jaribu kuishi tofauti na zamani[akuone mpya] 4. Mchunguze; sisi wanaume bhana, huwezi jua
 
Ni vizuri ukajiangalia kwanza wewe kama wewe ili kuweza kubaini kama kuna mapungufu yoyote upande wako na ndipo mkae na mwenzako mzungumze tu kivizuri na kwa uwazi,kila mtu aweke wazi his/her concerns about making love na endapo mtashindwa kupata utatuzi ndipo unaweza ukampeleka kwa tabibu kwa check up kubaini kama ana tatizo lolote ktk mfumo wake wa hormones.!!
 
Jmbungi mnatumia family planning gani? usikute imemleta madhara. chunguza.
 
wewe kama ni mkristu mpeleke kamuonjeshe kiti moto. Ukiona kapiga kelele ujue ana mapepo. Otherwise jaribu upange siku uende naye kwenye maombi, akipiga kelele ujue janaume pepo lipo. Ila kuna wengine husema inawezekana kila mlalapi kitandani inawezekana jini linakuwa kati yenu, na likimvaa yeye basi anafanya nalo night, linamchosha na lina mridhisha, hivyo kijibao chako kinakuwa hakina maana.

Nadhani jaribu kutumia pia ushauri wa wazazi/wasimamizi wa ndoa n.k.
huyo anamegwa tu out
 
pole sana mkuu maana yakupasa kuwa makini unaweza okota makopo kwa kukosa tendo

nadhani jaribu kubadilisha aina ya maisha na mawasiliano mliyonayo sasa , jichunguze uone wapi pa kubadilika wewe na ujifunze mbinu mpya ya mawasiliano na maisha kati yenu wawili . usikimbilie kwanza tendo lakin anza kwa kutengeneza ukaribu kati yako na yeye kwa kuwa mnatoka out za weekend na pia ujue interest zake .. kama ni mkata maji ya ilala toka nae mkapate , kama ni mpenzi wa mikutano ya mwakasege nenda nae ujenge ukaribu ,,, kama ni mtu wa msikitini nenda nae swala zote .. baada ya hapo yakupasa uanze kwa kuwa unaenda nae lodge kwa dhumuni ya kubadilisha kiwanja isije ikawa hata kitanda cha nyumbani kakizoea kiasi hakina jipya
 
Back
Top Bottom