Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,080
- 136,561
Hivi wakati wa kunjinju haiwezekani kutumia mask?
Teh teh teh....hakuna lisilowezekana chini ya jua!
Hivi wakati wa kunjinju haiwezekani kutumia mask?
Nadhani nina kazi ya ziada kuhusu hiyo "personalities" Mke wangu hapendi story na mimi tangu kitambo hicho....Mimi ni mtu anayependa kumuongelesha sana mke wangu..Ila yeye huwa anasema namchosha na maongezi marefu(hata kama tunajadiliana masuala ya kifamilia..Mimi ni mtu wa kujishusha sana kwake(Huwa namuomba samahani hata kama sijamkosea..Nikiona amekasirika ninapomuhoji jambo hajalipenda.......Kuhusu kufanya kazi(Mimi nafanya kazi zangu"through ONLINE" Nina Kampuni ya utalii...Huwa kazi zangu naziratibu nikiwa nyumbani..(Ofisini huwa naenda kukagua na kufuatilia mambop muhimu( Nina ofisi Zanzibar)
Ngono ni kwa ajili ya kupata watotot tu na watoto unao, shida unayo wewe mwanaume
Nadhani nina kazi ya ziada kuhusu hiyo "personalities" Mke wangu hapendi story na mimi tangu kitambo hicho....Mimi ni mtu anayependa kumuongelesha sana mke wangu..Ila yeye huwa anasema namchosha na maongezi marefu(hata kama tunajadiliana masuala ya kifamilia..Mimi ni mtu wa kujishusha sana kwake(Huwa namuomba samahani hata kama sijamkosea..Nikiona amekasirika ninapomuhoji jambo hajalipenda.......Kuhusu kufanya kazi(Mimi nafanya kazi zangu"through ONLINE" Nina Kampuni ya utalii...Huwa kazi zangu naziratibu nikiwa nyumbani..(Ofisini huwa naenda kukagua na kufuatilia mambop muhimu( Nina ofisi Zanzibar)
Naomba msaada wa kuinusuru ndoa yangu(Naona ipo ukingoni...
Mimi ni baba mwenye watoto wawili(7 & 4) Nipo kwenye ndoa mwaka wa 8 sasa...
Nimeanza kupata matatizo na mke wangu yapata mwaka sasa kuhusiana na TENDO Zima la mchezo wa kitandani..
Kwakweli nimeshindwa hata kumuelewa,ANANIKATALIA kufanya mapenzi kwa visingizio kibao(Mara anasikia usingiz sana,mara hajisikii,mara amechoka sana)..Yaani ndani ya huu mwaka sijawahi kufanya naye mapenzi kwa ridhaa yake bila kumlazimisha kwanguvu)..
Yaani imefika wakati nika amua kumsaidia kazi zoote za nyumbani(Kufua kupika na kadhalika) Ili mradi akifika nyumbani asifanye kazi yoyote ya kumchosha..LAIKINI haija saidia kitu..
ANASEMA HANA HAMU KABISA HATA MWAKA UNAWEZA KUPITA BILA KUFANYA MAPENZI(WALA HAONI TAABU)..
Mwanzoni alikuwa akifanya kazi mjini(Akiondoka alfajiri na kurudi Jioni sana)..Sasa nimemfungulia salon hapa hapa maeneo ya nyumbani(Yote hiyo ni kujaribu kumpunguzia uchovu anosema ndio unamfanya akose HAMU.. Lakini haijasaidia kitu..
Kusema ukweli hii hali imenichanganya sana..( Mimi si mtu wa kutoka wala sijawazia jambo hilo) Lakini nitaishije bila kupata haki yangu ya ndoa??? Na mke ninaye???!
JAMANI NAOMBA USHAURI HATA KAMA NI WA KITABIBU : MAAANA HATA KAMA ANATEMBEA NA MTU MWINGINE(HATEMBEI NAYE KILA SIKU) LAZIMA KUNA SABABU ZA KIAFYA ZINAZOMFANYA HAKOSE HAMU...
Mbona comment yngu hujibu mkuu? Sex is for bringing children why should you complain of yo wife whilst already u have a nice famly[/QUOTE
we unataka kujibiwa nini baada ya kuandika huu utumbo wako
Mbona comment yngu hujibu mkuu? Sex is for bringing children why should you complain of yo wife whilst already u have a nice famly[/QUOTE
we unataka kujibiwa nini baada ya kuandika huu utumbo wako
Duh, utumbo mkuu? Una maanisha nini
Wewe kama ni mkristu mpeleke kamuonjeshe kiti moto. Ukiona kapiga kelele ujue ana mapepo. Otherwise jaribu upange siku uende naye kwenye maombi, akipiga kelele ujue janaume pepo lipo. Ila kuna wengine husema inawezekana kila mlalapi kitandani inawezekana jini linakuwa kati yenu, na likimvaa yeye basi anafanya nalo night, linamchosha na lina mridhisha, hivyo kijibao chako kinakuwa hakina maana.
Nadhani jaribu kutumia pia ushauri wa wazazi/wasimamizi wa ndoa n.k.
Hiii ndo unajua kwamba dini ya kiislam ni ya haki kwa mfano hilo tatizo lako lingekua lishakwisha pindi ungeengeza mke
huyo anamegwa tu outwewe kama ni mkristu mpeleke kamuonjeshe kiti moto. Ukiona kapiga kelele ujue ana mapepo. Otherwise jaribu upange siku uende naye kwenye maombi, akipiga kelele ujue janaume pepo lipo. Ila kuna wengine husema inawezekana kila mlalapi kitandani inawezekana jini linakuwa kati yenu, na likimvaa yeye basi anafanya nalo night, linamchosha na lina mridhisha, hivyo kijibao chako kinakuwa hakina maana.
Nadhani jaribu kutumia pia ushauri wa wazazi/wasimamizi wa ndoa n.k.