Ndoa yangu ipo mashakani

Ndoa yangu ipo mashakani

NI BAADA YA KUMBEMBELEZA AKAKATAA KATAKA(Kumbaka siwezi)..Hata hivyo nilimwomba tangu mchana anatakanimfanyie nini leo hili ajisikie hamu) Hakunipa ushirikiano hivyo nikashindwa hata kitu cha kufanya kama chambo cha kumnyegelesha...0
Kwa mfano saa tisa kasorobo hii wewe uko busy JF, yeye yuko wapi?
 
Ahsante rafiki yangu.. Hatuna ugomvi wa haina yoyote kabisa(Tena kipindi hichi Mwenyezi Mungu amenifungulia RIZIKI si haba tunapata mahitaji yote muhimu,tofauti na siku za nyuma ambapo kipato kilikuwa changamoto kubwa kwangu..
Dah!!!! Pole sana Mkuu. Inaumiza sana Mwanaume unapokosa haki yako toka kwa mkeo kwa sababu za uchovu wa mke halafu mume ukaamua kujitoa na kufanya kazi zote za nyumbani ili mke aweze kushiriki ipasavyo katika tendo la ndoa na bado hakuna ahueni yoyote. Kama hamna magomvi nyumbani kwenu basi labda ana matatizo ya kiafya Mkuu, hivyo jaribuni kuwaona wataalamu wanaweza kuwasaidia hivyo kuokoa ndoa yenu.
 
Ahsante kwa mchango wako..(Huyu kiumbe sijui ana tatizo gani AU mimi nina tatizo gani) asiponiona ndani ya saa moja inatosha kumfanya ani-Miss" (Maana nikiwa nime enda ofisini au mahali popte hata piga simu zaidi ya mara tatu"Akisema amenimiss tayari.. La ajabu nikiwa naye nyumbani habari za kungonoka usimuulize kabisa mtakosana..(Nimeisha muuliza mara kibao,,Nifanye kitu gani kinachoweza kumpa ashki(Hani ambii)....Yaani we hacha tu..!UOTE=nosspass;7679808]jini mahaba linaweza kuwa linamsonga....... ila mwaka mzima kweli mrefu.... mpaka umbake duh... na wakati unambaka anatoa ushirikiano?......fanya hivi.... anza kutoka kila siku rudi jioni,,jifanye kama huna habari nae... mzigo usiulize na ujikaze kweli kweli, uwe mpole kabisa,,, kuwa busy na watoto kwa sana.. tena siku nyingine jisahaulishe lala kwa watoto....lazima atagutuka, pia chunguza marafiki zake, kama una mbinu za kuwafahamu fanya....ila usiwaulize kitu,,, chunguza na wao tabia zao.....wanawake hawakosi mashosti kabisa....jaribu hapo tuone....[/QUOTE]
 
Ahsante kwa mchango wako..(Huyu kiumbe sijui ana tatizo gani AU mimi nina tatizo gani) asiponiona ndani ya saa moja inatosha kumfanya ani-Miss" (Maana nikiwa nime enda ofisini au mahali popte hata piga simu zaidi ya mara tatu"Akisema amenimiss tayari.. La ajabu nikiwa naye nyumbani habari za kungonoka usimuulize kabisa mtakosana..(Nimeisha muuliza mara kibao,,Nifanye kitu gani kinachoweza kumpa ashki(Hani ambii)....Yaani we hacha tu..!...
jini mahaba linaweza kuwa linamsonga....... ila mwaka mzima kweli mrefu.... mpaka umbake duh... na wakati unambaka anatoa ushirikiano?......fanya hivi.... anza kutoka kila siku rudi jioni,,jifanye kama huna habari nae... mzigo usiulize na ujikaze kweli kweli, uwe mpole kabisa,,, kuwa busy na watoto kwa sana.. tena siku nyingine jisahaulishe lala kwa watoto....lazima atagutuka, pia chunguza marafiki zake, kama una mbinu za kuwafahamu fanya....ila usiwaulize kitu,,, chunguza na wao tabia zao.....wanawake hawakosi mashosti kabisa....jaribu hapo tuone....
 
Ahsante kwa mchango wako..Suyala la kumfikisha kileleni sina shaka nalo( Nina uhakika kwasababu huwa mara zote anawahi kufika hata kabla yangu(Nikiona dalili huwa naongeza ufundi wa kufika na mimi ili tumalize kwa pamoja(Wakati mwingine anafika na kuniacha njiani..Kwasababu anakuwa ameisha sinyaa misuri na hamu imemwisha huwa namuacha bila ya mimi kufika...
Pia inawezekana umekua unashindwa kumfikisha kileleni yani ukikutana nae unajifurahisha wewe unamaliza unamgeuzia mgongo,
hii pia inaweza ikachangia mkeo kulichukia tendo la ndoa na kutokua na hamu na wewe
 
Nashukuru sana kwa ushauri wako murua kabisa..!
Kaka hapo kuna mambo kama matatu hivi; 1. La kiimani, yawezekana akawa na pepo/jini mahaba ambalo humwingaia kwa njia ya ndoto na kumtimizia haja zake; pata muda umuulize taratibu kwanini siku hizi ajisikii hamu alafu mchomekee kiaina swari la kama anaotaga otaga ili asishtuke kama wamhisi kuwa anajini mahaba. Jibu atakalokupa litakupa dira either ya msaada wa kimaombi katika katisa la kiroho etc. 2. Tatizo la kisaikolojia, kutokana na mgandamizo wa mawazo na mambo tu ya kawaida yanayoendelea hapo nyumbani au kwa wazazi yanaweza changia hali hiyo. Hapa muone mwanasaikolojia ukishajiridhisha baada ya kukaa nae na kumhoji maswari mawili matatu. 3. Yaelekea unakaa sana nyumbani[kama unakuwa na muda hata wa kumsaidia kazi za nyumbani] she has got used to you. Uwe unasafiri safiri au kutoshinda hapo nyumbani na hata unapokuwa hapo jaribu kuishi tofauti na zamani[akuone mpya] 4. Mchunguze; sisi wanaume bhana, huwezi jua
 
Aahsante mpendwa ..UBARIKIWE SANA>>!
Kutokana na maelezo haya basi ana tatizo la kiroho anahitaji kuombewa manake ziko roho zilizo kinyume na ndoa so anza maombezi. Hebu muulize kama anaona wanaume wote ni wanyama je kwanini aliolewa , haoni kwamba alikosea. Jitahidi kumuonyesha ukubwa wa tatizo alilo nalo na ashirikiane nawe ktk kuliondoa. Mungu akusaidie ktk hili lkn nina imani kubwa atafunguliwa na atakua huru. Ukishaanza huduma huduma utashangaa sana kwani mkono wa Bwana ni waajabu sana.
 
Nyege??! Hamu na nyege vinatofautiana???( Mke wangu ajisikii kufanya mapenzi basiiii) sasa sidhani kama ananyege alafu hataki kufanya mapenzi..!
kwanza atuambie hivi mkewe ana nyege ama hana??
 
Nimekosa sifa gani ya kiume?? mpendwa???? UBABE??? SIYO??..Ubabe naweza fanya katika mambo mengine(, Rudi nyumbani muda ninaotaka mimi,usiende mahali flani sitaki..NK.! LAKINI SUALA LA UBABE KATIKA KUNGONOKA Siwezi(Manaa Ndio chanzo cha kujenga Chuki dhidi yangu) Istoshe nitamuumiza maana hata chembe ya RESPONSE toka kwake kuna kuwa hakuna(Yaani mkavu kama jiwe(Hata ningelamba na kuipaka mafuta papuchi yake)
aje atujibu hapa............
kwa mwanamke mwenye nyege kabisaa huwez kulala na mwanaume mwaka mzima kama kaka na dada..............
hapa pana atatizo zaid ya tunavyodhani............huyu kaka kakosa sifa moja ya kiume
 
Mbingu - Nimejaribu kufuatilia stori yako kwa makini kabisa. Kulingana na mtiririko wa maelezo yako uliyoweka wazi tayari na kulingana na umri na uzoefu wangu (aka intellejensia yangu) ya ki maisha naweza kuona kuwa mkeo hakuwa na mapenzi ya dhati na wewe toka unamuoa.
Nikipiga picha haraka haraka inaonyesha kabisa nyinyi hamkuwa watu mlio 'fall in love' wenyewe. Kuna kila dalili kuwa wewe ndiye uliempenda zaidi yeye (mkeo) kuliko alivyokupenda wewe. Vilevile yaonyesha ulitumia msukumo na ushawishi mwingi zaidi kuweza kumu 'win' utashi wake yeye kuolewa na wewe. Inawezekana kuwa nduguze au wazee walishiriki kuweza ku 'override' will yake ya kuolewa na wewe.

Na hivyo pengine alijikuta ametumbukia kwenye ndoa akijaribu kukuridhisha au kuwaridhisha wazazi au wewe mwenyewe kwa ushauri wa kuwa atakupenda mbele ya safari. Na mara nyingi watu wanaoingia kwenye ndoa namna hii hufika wakati wabadilike wakupende kwa mwendelezo au warudi kwenye nafsi ya zamani na kuona wamefanya makosa makubwa na kuanza kuwa bored/ kusoneka (depressed). Na hili huwatokea watu wote wanaumme na wanawake.

Kwa wenzetu wa Western hufunguka na kuambiana ukweli na hapo masuala ya talaka huzungumzika. Waswahili hatuna hulka ya uwazi bali hupenda kutafuta sababu nyingineyo kabisa ya kuvunja ndoa japo moyoni anajua kabisa mtu hujua kuwa mapenzi yamesha chuja ,

Tazama hapa ...Quote "Mke wangu hapendi story na mimi tangu kitambo hicho..." Kauli hii inaeleza mengi sana...Mwanamke mwenye kukupenda kwa dhati hakufanyii mambo haya tena toka kitambo....Au mfano hii Quote "Mimi ni mtu anayependa kumuongelesha sana mke wangu..Ila yeye huwa anasema namchosha na maongezi marefu (hata kama tunajadiliana masuala ya kifamilia..Mimi ni mtu wa kujishusha sana kwake (Huwa namuomba samahani hata kama sijamkosea."... Yaani mkeo yuko bored na amekuchoka sana aisee. Na hiyo sio ndoa ndugu yangu.

Suluhu ya kweli fikeni mahali muulizane maswali magumu (hard talk) na mjue hatima na mustakali wenu kiukweli mbele ya wazee au mashahidi. Na kisha muamue way forward. Lakini kwa mapenzi hakuna mnaishi kwa mazoea tu. Wala msijidanganye kwa wingi wa miaka ya ndoa au watoto. Hilo halijalishi lakini kiukweli mapenzi hapo hakuna.

muanzisha mada huyu mchangiaji amemaliza yooote yan!
hayo mambo yamaombi, usafi nk yanaweza yakatumika kufanya muujiza kutengua iko kilichoandikwa na mchangiaji cz io ndio sababu kuu.
kila la kherii.
 
mkeo anatokea mkoa gani vileee..... Tuwakwepe mapema tukishaachana na ubachela!!
 
Nashukuru sana mpendwa kwa ushauri wako mujarabu kabisa(Hili suala la "outing" nafikiri ni muhimu sana" Nyumbani namuongelesha na nina mwambia bila kumumunya maneno juu ya hali yake(at the same time- namwomba nayeye "appoint out" mapungufu yangu yanayoleteleza hali haliyo nayo) Kwa bahati mbaya hani ambii.
tabia hizi hua zipo kwa wanawake japo haiwi kila siku na haichukui muda mrefu. mke wako nadhani ana matatizo, either penzi limeisha kwako au wewe ndio una tatizo au na kiserengeti cha siri.
pamoja na yote yenye busara ulioshauriwa hapa, nadhani kuongea nae direct ni muhimu pia. mueleze unavyojisikia juu ya tabia yake, huenda na yeye ana lake atakuambia. hizo holiday unazoandalia watu, na wewe pia ungeandaa ya kwenu mkaenda ili muongee vizuri mbali na nyumbani kusiko na kero wala bughudha maana sidhani kama kuongelea nyumbani atakuelewa.
Unajua wakati mwingine mwanamme unaweza kua na kitu au kijitabia fulani ambacho mwenzio hakimfurahishi, lakini panapokua na penzi la dhati, unajifanya hukioni, lakini penzi likichuja sasa ndio unaona lile tatizo tena kwa ukubwa zaidi.
ukiwa open na kumueleza mkeo jinsi ambavyo unakwazika na tabia yake, nina imani kama ana ubinadamu atakueleza tatizo lake kubwa kwako ni nini ili uweze kujirekebisha.
Pole sana.
 
Mheshimiwa..Sidhani kama hali yake ina uhusiano na mahali anapotoka....Ni changamoto tu za maisha..!
mkeo anatokea mkoa gani vileee..... Tuwakwepe mapema tukishaachana na ubachela!!
 
Dah mi nikupe pole tu na ufate ushauri wa watu na uchanganye na zako na imani utapata jibu
 
Nyege??! Hamu na nyege vinatofautiana???( Mke wangu ajisikii kufanya mapenzi basiiii) sasa sidhani kama ananyege alafu hataki kufanya mapenzi..!

kumbe sasa wewe hujui hamu ya kufanya tedo la ndoa na kuwa na nyege niii vitu viwili tofauti kabisa, nyege huja bila hata kuwepo mtu wa kufanya nae tendo hilo. lkn hamu ya kufanya huweo pale muhusika anapokuwepo.

mathalan ninaweza nikawa nina nyege kabisa lkn sijiskii kufanya kwasababu muhuiska hayupo na ndivyo ilivyo kwa watu wengi.

sasa nina shaka huenda mkeo hana hamu ya kufanya na wewe lkn ana nyege na nyege zake anazimaliza ajuavyo yy.
 
Nimekosa sifa gani ya kiume?? mpendwa???? UBABE??? SIYO??..Ubabe naweza fanya katika mambo mengine(, Rudi nyumbani muda ninaotaka mimi,usiende mahali flani sitaki..NK.! LAKINI SUALA LA UBABE KATIKA KUNGONOKA Siwezi(Manaa Ndio chanzo cha kujenga Chuki dhidi yangu) Istoshe nitamuumiza maana hata chembe ya RESPONSE toka kwake kuna kuwa hakuna(Yaani mkavu kama jiwe(Hata ningelamba na kuipaka mafuta papuchi yake)

kuna post ambayo nimekuuliza maswali kadhaa nikasema kama hujiskii kuyajibu hapa barazani basi nijibu kwa pm je umeisoma hiyo post??
 
Back
Top Bottom