Ndoa yangu ipo mashakani

Ndoa yangu ipo mashakani

Waswahili wa kizazi kipya wanasema, Ukiona Manyoya ujue kesha liwa. Ndugu tafuta Mwenzi mwengine, watoto isiwe kisingizio cha kuto kuishi maisha yako. No one has the right do deny you, to live a happy life, except yourself.
 
Naomba msaada wa kuinusuru ndoa yangu(Naona ipo ukingoni...

Mimi ni baba mwenye watoto wawili(7 & 4) Nipo kwenye ndoa mwaka wa 8 sasa... Nimeanza kupata matatizo na mke wangu yapata mwaka sasa kuhusiana na TENDO Zima la mchezo wa kitandani..

Kwakweli nimeshindwa hata kumuelewa,ANANIKATALIA kufanya mapenzi kwa visingizio kibao(Mara anasikia usingiz sana,mara hajisikii,mara amechoka sana)..Yaani ndani ya huu mwaka sijawahi kufanya naye mapenzi kwa ridhaa yake bila kumlazimisha kwanguvu)..

Yaani imefika wakati nika amua kumsaidia kazi zoote za nyumbani(Kufua kupika na kadhalika) Ili mradi akifika nyumbani asifanye kazi yoyote ya kumchosha..LAIKINI haija saidia kitu.. ANASEMA HANA HAMU KABISA HATA MWAKA UNAWEZA KUPITA BILA KUFANYA MAPENZI(WALA HAONI TAABU)..

Mwanzoni alikuwa akifanya kazi mjini(Akiondoka alfajiri na kurudi Jioni sana)..Sasa nimemfungulia salon hapa hapa maeneo ya nyumbani(Yote hiyo ni kujaribu kumpunguzia uchovu anosema ndio unamfanya akose HAMU.. Lakini haijasaidia kitu..

Kusema ukweli hii hali imenichanganya sana..( Mimi si mtu wa kutoka wala sijawazia jambo hilo) Lakini nitaishije bila kupata haki yangu ya ndoa??? Na mke ninaye???!

JAMANI NAOMBA USHAURI HATA KAMA NI WA KITABIBU : MAAANA HATA KAMA ANATEMBEA NA MTU MWINGINE(HATEMBEI NAYE KILA SIKU) LAZIMA KUNA SABABU ZA KIAFYA ZINAZOMFANYA HAKOSE HAMU...

Waswahili wa kizazi kipya wanasema, Ukiona Manyoya ujue kesha liwa. Ndugu tafuta Mwenzi mwengine, watoto isiwe kisingizio cha kuto kuishi maisha yako. No one has the right do deny you, to live a happy life, except yourself.
 
NYANI GABU - Ahsante kwa ushauri wako na angalizo( Natumia muda wangu mwingi kumuuliza namna gani anataka niwe au nifanye ili ajisikie,lakini sijafanikiwa) Suala la kunuka makwapa ua mwili sina tatizo hilo kabisa(Niapenda usafi na ninazingatia usafi wa mwili na mavazi.)
harufu sio kikwapa tu. kuna ze pumbus.
 
Nashukuru kwa ushauri murua.. Nitazingatia..Barikiwa sana..!
Nimeshakupa ushauri wa kitaalam kwenye coment yangu humu nakushauri pia kuni PM lakini naona kama hujasoma maoni yangu kwa sababu naona bado unaendelea kuomba ushauri zaidi na zaidi.Pengine sasa subiri ushauri wa kutoka mbinguni.
 
jaribu kumlisha asali maana wanasema asali inaleta hamu ya tatizo lako....otherwise hakupendi kilasiku vilevile tu..
 
Mkuu ondoa shaka ya usaliti kwa mkeo,


Hali hiyo huwa inatokea kwa wanandoa na msipokuwa makini mnaweza kuivunja ndoa yenu takatifu,

Mkeo anamsongo wa mawazo, ni tatizo la kisaikolojia linalomfanya mwanandoa kukosa hamu ya tendo la ndoa,

Njia ya kubadili hali hiyo ni lazima uwe mbunifu mkuu,

Kwanza anza wewe kubadilika kwakubadili aina ya maisha unayoishi,

Unaweza siku ukaamua mtoke out jioni ambako mtakula chakula huko huko, mnaweza siku mkaamua mje beach kigamboni kwetu kama mpo dar,

Mnaweza kuamua mfano krismasi inakaribia muende mikumi nk,

Pia badili staili ya kuomba tendo la ndoa, usitumie kauli bali lugha ya mwili na vitendo tu,

Jaribu kubuni maeneo mapya ya kufanyia mapenzi kama vile jikoni, bustanini, bafuni, kwenye banda lakuku nk, lakini zingatia watoto wasione,

Na mwisho badika lugha yako ya kimahaba, mkeo keshaichoka, we umeng'ang'ania swaga zilezile za kipindi unamtongozo mpaka leo mna watoto wawili?


Ukipanga vizuri hayo nakuhakikishia utaona penzi jipya,

Zingatia lugha ya kumtoa nyoka pangoni kwamkeo ni kila sekunde itumike, sio lugha za mkato na za ukali

Ushauri mzuri sana ,Jikoni watoto wakiwakuta ?
 
Back
Top Bottom