Ndoa yangu ipo ICU !dah

Ndoa yangu ipo ICU !dah

unaona huwezi ku move on,

sababu memories za mkeo kuchepuka ziko still vivid,

trust me bro

wengi wamepitia hayo na wamepita salama

uchungu is understandable but time is the best healer....

Naona different emotions kwako,sad,angry, guilty

hio ni normal

ni mechanism ya ku deal na tatizo kama lako

Watoto wangebaki na mama yao,ila kama yuko irresponsible fanya jitihada uwachukue,sio upoteze mke na watoto..,

pole sana..
Pengine ukute na watoto sio wake
 
Mwanamke ukimuendekeza Atakuua Brother,We Fanya maamuzib magumu..!!! Hakuna namna hapo.!!
 
Pole mkuu binafsi nilikuwa sielewi kwa nini wanasema wanaume tumeumbwa mateso...but hapo mwisho umeweka vitisho acha watu wakupe nyeusi na nyeupe ili ujue wapi palekebishwe....kwa mfano sijaona sababu ya wewe kuhamia Moro na nyumba unayo Dar hilo tu linaonyesha hukusimama imara....
 
Mkuu Wewe ni mwanaume shupavu sana..Hongera sana mke wako angejua amepata lulu asingeichezea.
Kiukweli ningekua Mimi ningeshaachana nae long time Ago!! Sitaki shida mimi kisa mwanamke ndo maana wanaume wengi wanafariki kabla ya wakati kwa mambo kama haya.
Mimi kukushauri Naomba Uachane nae ili awe huru Mara nyingi watu kama hawa Dunia ndo huwa inawafunza. mpe uhuru anaoutaka wewe sepa kafanye yako Akija siku maisha yamempiga Mfungie vioo kabisa usije ukamwonea huruma.
Kweli mkuu mateso Kama hayo kwenye ndoa ndio yanaua wanaume
 
USIKUBALI MTU ALIYEKUKOSEA KUKUADHIBU KWA REACTION ULIYOFANYA BAADA YA KUKUKOSEA!!



kingine BRO!!

KUBALI ITS DONE,DONE AND DONE!!

MPE ANACHOTAKA!!

ANZA NA ARIFU NA UJITI!!

MAISHA MAFUPI SANA HAYA KUHANGAIKA NA HISIA ZA MTU ASIYEKUFEEL!!.

NDOA IKISHAFIKA HAPO HUWA MILELE HAIRUDI ILIVYOKUWA MWANZO!!
 
Mkuu pole sana.

Every soul is a single soul. Don't trust other soul. Tunaambiwa mkioana mnakuwa mwili mmoja huo ni uongo mtakatifu. Kila nafsi ni nafsi pekee.


Turudi kwenye mada. Katika maisha yako Mkuu epuka kumuamini mwanamke. Hakuna viumbe wadhaifu kama wanawake. Na kama unataka Siku zako za kuendelea kuvuta hewa pendwa ya oksijeni endelea kumuamini mwanamke. Badili hiyo mindset haraka sana.

Naunga mkono wadau waliotoa ushauri Wa kuwajuza wazazi kuhusu hilo tatizo. Ila amini nakwambia kama hutachange mindset set yako washauri wako wote utawaona wapuuzi tu.



Hakuna Kitu kinateketeza wanaume kama stress za ndoani. Ifike muda uone maisha yanaweza songa bila huyo mama. Na ifike muda ujue Uhai wako una thamani kwa wanao pia. Huyo anakufanyia vitimbi siku ukifa kwa presha utawaachaje wanao?
 
Mkuu pole sana
Huyo mwanamke mapenzi yameshaisha kwako ndio shida za kutokula ujana enzi za usichana hizi ukiamua kuingia kwenye ndoa ushamaliza kila kitu unatulia na ndoa yako hakuna cha kukusumbua

Huyo sasa hivi anajiuliza alikuwa wapi siku zote hajakutana na raha hizo anajuta ata kwa nn aliolewa pole sana mkuu
 
Mkuu Wewe ni mwanaume shupavu sana..Hongera sana mke wako angejua amepata lulu asingeichezea.
Kiukweli ningekua Mimi ningeshaachana nae long time Ago!! Sitaki shida mimi kisa mwanamke ndo maana wanaume wengi wanafariki kabla ya wakati kwa mambo kama haya.
Mimi kukushauri Naomba Uachane nae ili awe huru Mara nyingi watu kama hawa Dunia ndo huwa inawafunza. mpe uhuru anaoutaka wewe sepa kafanye yako Akija siku maisha yamempiga Mfungie vioo kabisa usije ukamwonea huruma.
Dah kiukweli mie nina wasifu kama wa mtoa mada, nina moyo wa kusamehe sana na mzito kuvunja mahusiano ila too bad sie ndio aina ya vidume tunaosumbuliwa sana na wanawake! Unakuwa very gentle ila unapata mtu asiejua ana nini ukimuacha anakuja kulia lia very lately!
 
Duuh! So sad, bro move on. Huyo kashakuona mdhaifu kwake ndio maana anakutesa. Move on, utapata anayekuthamini.
Ukiona hali sio hali, wacheki wataalamu(wanasaikolojia) watakusaidia kupita kipindi hiki kigumu.
 
Back
Top Bottom