Ndoa yangu ipo ICU !dah

Mwanaume kukaa unalia kisa mwanamke anakusumbua ni ujinga kwa kiwango kilichopitiliza.

Ningekuwa nilishaoa mke mwingine siku nyingi Sana.
Wanawake wako wengi Sana na wengine hawataki hata hivyo vinaitwa vyeti vya ndoa.

Ndio maana wazee wetu walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja. Inapunguza uzinguzi Kama huu.
Ndugu yangu mkeo keshapata wa kumkuna Tena Ni mume wa mtu.
Muache uone Kama naye ataendelea.
Huwa inatokea hivyo kwa Sababu anakuwepo wa kumtunza. Asipokuwepo tu na sie huwa tunakula Kona maana majukumu yote unaachiwa wewe
 
Mungu hapendi watu wanaoishi kwa shida na dhambi wanatenda.
Kila siku kuchukiana kisa nini?
Mtu mwenyewe mmekutana ukubwani ndio akukoseshe raha duniani!?
 
Kuna mahusiano kweli shemeji kati ya kuto kula ujana na kutokutulia katika ndoa
 
pole sana mkuu. Cha msingi achananae, wew sio Wa kwanza kama utamuacha...
 
Wanawake wanapenda badboys ,,,wakuwapelekesha pelekesha
 
Ujue alitoka namtu ambae hamwamini alipata mashaka baada ya kudo nae take care lakini
 
Yaan wanawake wote hawa nchi hii bado unalazimisha penzi kiasi hicho?yaan umemkuta mkeo ana vifaa vya kupimia ukimwi bado unalazimimsha eti kisa watoto?yaan mkeo analetwa na gar eti alikua outing bado unalazimsha kuish nae..yaan mkeo anakwambia umuache bado unalazimisha..daahh subir magonjwa sasa maana hakuna namna ..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…