Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,867
- 29,550
JAMAA HATAKI KUAMINI KUWA MKEWE AMEMUUMIZA!
so ANATAFUTA JUSTIFICATIONS!
ili ajipe amani
-kuwa well, hata hivyo uhusiano wetu ulianza akiwa ametoka kwenye break up
-well, nilimuoa akiwa mdogo so anafidia ujana
-well, hafanyi kwa ajili ya pesa anajimudu kipato
-well, nampenda na nahisi ana sababu ya kufanya hayo!
KUUUUUUMBAFFF!
mtu wa hivi hata thread ifike pages 100!
HACHOMOKI KWENYE HAYO MAHUSIANO MNAYOFIKIRI NI TOXIC KWAKE!
Duuh aisee poleDah wadau ngoja nipumzike
Mana natype nalia natype nalia
Yan kama mtoto vile
Yaani akishasema hivi inabidi ubwage manyanga haraka sana.Mwanamke akishakwambia muachane hutakiwi kuendelea nae.
Wanaume wa hivi wala hawajawahi kuwepo, huyu ni wa kipekee Kama anayosema yote ni kweli. Huyu mwanamke kamchelewesha sana kumnyoosha. Sasa hivi inabidi asepe tu maana akilazimisha atamvunja tu.Hv wanaume wa hv bado wapo? Pole sana usilazimishe kupendwa utaja jutia siku moja au unaweza fanyiwa vitu vya ajabu.
Itisha kikao cha wazazi pande zote mbili waambie nia yako na baada ya hapo muache aendelee na maisha yake. Huyo Tamaa imeshamuingia na ukiendelea kusubr utaletewa Magonjwa na watoto bado wadogo.
Kosa la pili alipoanza kuzingua, yeye badala amnyooshe akakubali kuwa mkia. Kosa la tatu akaendelea kumruhusu mwanamke kumletea kibesi ndani ya nyumba, kosa la nne...... Nishachoka kutype.Kosa kubwa kukubali mkeo ahame kikazi huku ela yake haina manufaa kwa familia,
Ingekua mimi bora angeacha kazi.
Kosa la pili alipoanza kuzingua, yeye badala amnyooshe akakubali kuwa mkia. Kosa la tatu akaendelea kumruhusu mwanamke kumletea kibesi ndani ya nyumba, kosa la nne...... Nishachoka kutype.
Jamaa ana uboya wa kiwango cha SGR!Usiwe kigang'anizi. Wanawake (mkeo) mapenzi yao ni all about feelings. Zikikata hata umfanyeje hawezi kuinjoi.
We achana naye mwache aishi maisha yake. Kwanini uwe kikwazo kwa maisha ya mwenzio eti kisa ndoa?;?!
Kakukimbia Dar, ukamfata Moro, why this?
Watoto wappo na utawakuta.
Ukiendelea kugang'ania utayiliwa sumu ufe umpishee.
Kusema kweli, we ni bonge la boya. Mkeo analetwa na gari 15mins unawachungulia tu?;?! Tena usiku? Wamelewa? Na wewe mkeo alijua haupo?
Kwani vioo vya gari bei gani?!?!!
Zuzu saaana.
Mkeo eti anakwambia usiwe unachunguza vitu vyake nawe unasema samahani, kenge kweli. Vittu vyake vyenu??
Yaani nna hasira utadhani me ndo babako.
Kulialia ni ujingaa.
BAADA YA KUSOMA POST HII. MPIGIE/MWAMBIE HUYO MWANAMKE KUANZIA LEO SIO MKEO, NI MZAZI MWENZIO.
NAJUA UNAOGOPA KISA ULIMZOEA, ULIVOZOEA KUWA NAYE, NDIVYO UTAKAVYOZOEA UPWEKE.
NB: BAADA YA KUACHANA NAE, USIKURUPUKE KUJIINGIZA KWENYE MAHUSIANO MAPYA WALA KUNYWA POMBE, KOMAAA NA MAUMIVU MPAKA UHISI KUFA, HUO NDO UANAUME
Anamtetea huyo mwanamke kwa sabb iko hiv "usijaribu kumuudhi mwanamke kwa sabab yeye ndo binadamu pekee aliyeonana na shetani na huwezi jua waliongea nini mbali na lile tunda"KWANINI UNAJIHISI UNA HATIA ?
tuanzie hapa kwanza?
KWANINI UNAMTETEA SANA?
ndani YAKO UNAAMINI ULISTAHILI KUMUOA HUYU MWANAMKE?