Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,107
- 55,524
Simama kama mwanaume,nguruma ndani kama simba; heshima itarudi
hio ndio mistake wengi tunafny makosa, yaan mwanamke akifny kitu unachukulia labda kfny sababu ajajua vzuri umuhimu wa uwepo wako, ndugu yangu wanawake ni timamu kabisa km sisi na akifanya kitu ujue anajua nn anachofanya, hii changamoto ni km Mungu kakuonesha ni jinsi gani mtu huyu uliemuamini sana alivyo, ondoa kabisa huo mtazamo wa kufanya kitu flan ili ajue tofauti ya ukiwepo na usipokuwepo haitokusaidia chochote, km unafikiri kuwa haelew anachokfnya unakosea sana. anapata wapi power ya kukuamulia kuwa ufunge au usifunge biashara wakati ht hio yake we ndio ulimuonesha nuru? yaan umempa nafasi ya kukuamulia mambo yako afu yeye hakuruhusu ww kuamua chochote kuhusu yakwake bro hii ndio mistake kubwa uliofanya, ila nakuombea utakaa fresh tu brazaHongera kwa kuvuka kiunzi nami naamini nitavuka.
Niliwaza kama wewe pia kuna mtu wa karibu anaweza nikopesha kaniambia mpaka mwezi wa 10 tarehe za katikati .
mm nilitaka asinione ili ajue tofauti nikiwepo na nisipo kuwepo
ikishindikana maisha yakitengamaa naoawa wa pili
kichwa maji kweli weweMkuu Liverpool VPN njoo umshauri jamaa
BTW anayewadanganyaga eti mke anaweza mlea mume ni nani?
Yaan kweli unaomba hela kwa mke ukaangalie mpira .....yaan bila aibu kabisa unaomba
Ushauri wako umeuvuruga hata anaeomba ushauri hawezi kujua achukue lipihio ndio mistake wengi tunafny makosa, yaan mwanamke akifny kitu unachukulia labda kfny sababu ajajua vzuri umuhimu wa uwepo wako, ndugu yangu wanawake ni timamu kabisa km sisi na akifanya kitu ujue anajua nn anachofanya, hii changamoto ni km Mungu kakuonesha ni jinsi gani mtu huyu uliemuamini sana alivyo, ondoa kabisa huo mtazamo wa kufanya kitu flan ili ajue tofauti ya ukiwepo na usipokuwepo haitokusaidia chochote, km unafikiri kuwa haelew anachokfnya unakosea sana. anapata wapi power ya kukuamulia kuwa ufunge au usifunge biashara wakati ht hio yake we ndio ulimuonesha nuru? yaan umempa nafasi ya kukuamulia mambo yako afu yeye hakuruhusu ww kuamua chochote kuhusu yakwake bro hii ndio mistake kubwa uliofanya, ila nakuombea utakaa fresh tu braza
Mkopo wa nyumba haunaga marejesho ya kila mweziAmanikullaya jaribu kuomba mkopo bank kwa kutumia nyumba yako kama una title deed.
Why?kichwa maji kweli wewe
Arejee kwenye PGO ya ndoa kama kuna sehemu inaelekeza hivi!!!Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho
Wananikeraga na hivi vimsemo vyao vya kichoko.Akili zipi sasa hapo, mwanamke mbinafsi ni nyoka tu hana urafiki wa kudumu!
Hii comment inatakiwa iongezwe katika ubeti wa wimbo wa taifa ili vizazi na vizazi viukute.Kuna wale wanawake waajiriwa wa mama samia na wewe ukute kazi zako ni za kusimama simama, sasa maliza siku kazi haieleweki ndo utajua mwanamke alivyo.
Mwanamke sio mtu wa kumtegemea sana, hasa ukiwa katika hali tete mke hata awe na ajira yake, yupo radhi akatoe mchango wa 300k wa harusi ww asikupe kitu hata kama unauhitaji na kile unachokitafuta ni cha kwenu wote. Hela ya kwake ni yake ila ya kwako ipo kwenye bajeti ya matumizi, kula mavazi na kila kitu.
Laiti kama wanawake wangekuwa wao ndio wanaume na sie tukawa wanawake, tungeishi kwa shida sana humu duniani kwa hiyo mioyo yao ilivyo.
Ndio mana mwanaume mwenye tabia za kike kike huwa ni mtu mbaya sana
Hajamaanisha ulichodhania.Hiyo namba 5 ni mimi kabisa
Basi sitoolewa![]()
Yule mbwa alimfanya vibaya sana wajina wangu....Kuhusiana na mkasa huu nitoe Tu Angalizo Kwa wanaume Usiruhusu mwanamke akajua uthaifu wako na pia kukuzoea na kujua kila movement yako hawafai kabisa mfano nzur ni Delila Na Samson
Ni kwasababu unaruhusu. Hata mimi nikija na kisu hapo nikawa nakukata nacho the more unanitumbulia macho the more utaumia na kupata majeraha makubwa.Mwanamke akiamua kukunyanyasa utatamani ardhi ipasuke uingie .pole yatapita ila ujifunze sasa kwamba unaishi na adui ndani.
pambana mkuu naamini pia ndio njia yako ya mafanikio bila changamoto maisha hayaendi pambana tena pambana sana ,kwangu mimi nachkua mfano wa nelson mandela kasamehe vita vyote ila ya mapenzi hakueeza kama shida ya yote ni mwanaume mwenzio amechkua nafasi anza sifuri maana sifuri ndio namba yakuanziaHongera kwa kuvuka kiunzi nami naamini nitavuka.
Niliwaza kama wewe pia kuna mtu wa karibu anaweza nikopesha kaniambia mpaka mwezi wa 10 tarehe za katikati .
mm nilitaka asinione ili ajue tofauti nikiwepo na nisipo kuwepo
ikishindikana maisha yakitengamaa naoawa wa pili