Ndoa yangu haina amani

Kama biashara ulimfungulia wewe basi anza kwa kufunga hiyo biashara

Kuna kitu tunakosea kuhusu hawa wanawake..
Katika maisha yako yote ya mahusiano usivumilie kiburi cha mwanamke katuuuu hata km ndo unatongoza, mwanamke akileta kibri block hapo hapo au vumilia gonga pita hivi.

Ukiwa kwenye mahusiano make it very clear sitaki kiburi ukioa the same.

Mwanamke siku zote atajaribu uanaume wako hawa watu wanapenda kutawala km ulikuwa hujui.Atakupima maamuzi ukiwa na hela na ukiwa huna hela?Atakupima vitu vingi sana.Kikubwa anataka kujua jinsi gani atakuwa juu yako!!hujiulizi kwanini wanaenda kuloga kwa waganga???

Utakachomzoesha ndo atakachofanya.Biashara umefungua wewe nenda na canter vunja kufuli uza mzigo wote hata km utapata sh 10000 Uzaaaa yaani ishu sio kuuza ishu nikumuonyesha tu kwamba nina maamuzi tena magumu sasa endelea na ujinga wako halafu mwisho wa siku tutaona.Nani ni nani

Biashara ufungue mwenyewe hlf eti naomba 2000???Anakuona mjinga

Kama ni nyumba uzaaa fanya biashara au jenga nyingine kisirisiri akiona kila kitu kinapotea ataanza kujirudi tukumbuke hawa watu uwaga wana ujinga wa asili na mara nyingi uwaga hautoki kwa kuwaweka chini na kuanza kuwaelewesha.

Ukisema ukae nae chini na kumuelewesha nilikufungulia biashara ili tusaidiane maisha na usiboreke,kibri kinazidi ila ukiuza biashara akiuliza sema haisaidii familia.

Ukiogopa kumpotezA mwanamke basi ujue utampoteza kweli.

Siri ni mbili usiogope kumpoteza na kuwa na maamuzi magumu ht kama ni yakijinga.Mwanamke anadharau sana sana sana mwanaume ambaye hana maamuzi.

Kuna wanaume ndoa zao zinadumu sababu wanawake zAo wanajua kabisa huyu mwanaume nikileta kiburi anarusha kofi sasa hivi na hapa patachimbika.Ni vby kupiga mwanamke lkn ndo ndoa zao zinadumu kwa maamuzi yao hayo hayo ya kijinga.Mwanamke ataleta kiburi akiwa mbali lkn face to face anajua huyu mwamba atatoa meno ya mbele sasa hivi.
Maamuzi maamuzi maamuzi.

Mpende mkeo lakini moyoni lazima ajue mume wangu dakika mbili mbele.
 
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.

Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.

Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.

Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.

Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.

Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.

Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.

Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo

Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.

Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Ni bora ukaondoka kwenda kutafuta maisha na upya maana sioni nafuu yeyote utakayopata hasa mwanamke akiwa kama kichwa cha familia.
 
Kwanza nikupe pole kwa hilo ni janga la taifa.ndo maana alifanikiwa kuuwa uchumi wako ili akutawale kiuchumi na kifikra .hao wanawake wa kazazi hizi njoo pm nikushauli kitu
 
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.

Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.

Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.

Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.

Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.

Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.

Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.

Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo

Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.

Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Njoo pm nakushauli kitu pole sana
 
HIVI GUYS NI WAPI MNAFELI???

WAPI MNAKWAMA NDUGU ZANGU???

KWANN MNAKUA IVI LAKINI???

KWANN HAMNA UANAUME ???

WHY?? YAAAN UUZE NYUMBA YA WATOTO WAKO????


YAANI UUKIMBIE MJI WAKO ULOUJENGA KWA JASHO LAKO????


ET MIAKA KUMI, ALAFU NIWE NA FARAJA.. UNADHAN MAISHA NIKM RAMAN YA NYUMBA????

JE UKIENDA HUKO ALAFU USIFANIKIWE HIYO MIAKA YOTE KUMI??

NDO URUDI UKUTE KESHAZALISHWA ???


AU MNAONGEAGA TU KUPIGISHA WATU STORI???


HIVI KUNA WANAUME MNARUHUSU MATESO YAWAPATE NAMNA HII???


NIKISEMA NIWATUSI ,MNASEMA NAWALUGHA MBAYA.


MNATIA HASIRA SANA!!!!


NIKWAMBA HAYO NI MADAWA NDO MNAFANYIWA ????



MNAKERA SANA MAZEEE, MNAKERA MNOOOOO, YAAN MNANYANYASWA NA WANAWAKE , WANAWAKE MLOWAOKOTA MAHALI, UKAMUOA, UKAMPA HESHIMA, AKAONEKANA MWANAMKE, UMAPA MRADI, ET KISA UMEKWAMA NAYEYE KAINUKA NDO BASI AKUTESE ??????
Nimekusoma jembe wanaume wamebaki wachache sana wengi wa kulia lia ujinga huu
 
Mzee ebu kuwa serious bhana kama mwanaune acha unyonge, kuwa na kauli ngumu, + command

Vipi lakini mbuje anakupa ata upunguze mawazo??
 
Fanya vitimbi, chochea moto ili akimbie nyumba na akitoka tu uza hiyo nyumba anza upya, kimfaacho mtu chake buddah achana na kisharuala atakunyongea mbali
 
Aisee Polee Papaa.

Ila usikimbie nyumba.

Alaf Kwan hujui hela anaweka wapi? Ukiwa na shida unachukua na unamwambia kabisa na sio kuiba.
Anapofanya biashara huwez kwenda na kuchukua hela?.

Tafuta mishe nyingine,kopa hela kwa watu na nyingine kachukue kwenye biashara ya mke wako.

Hiyo kununa ipo tu, haitaisha kirahisi mpaka mambo yako yakawe sawa.

Alaf naona umezidi upole, dizaini kama mke anakupanda kichwani.

mwanaume mara nyingi unatakiwa uwe na roho na maamuzi magumu Mzee.
We uwajui wanawake wa hivyo, mara mia ukope kwa watu baki usichukue hata shillingi moja kutoka kwa huyo mwanamke, hiyo utakayochukua kutoka kwake itazamisha hela yote, kwa sababu hela atakayotoa yeye itakuwa na maneno ya laana kama yote, ukiangalia kwa juju tu unaona bidii aliyokuwa nafanya ili biashara ya kwanza ife, unadhani atatamani upate ya pili. Kwake yeye iyo ya kwake na kumnyanyasa mumewe ni amefanikiwa kuliko BillGate hapo haoni mbele yaani kamaliza.

Hapo baba wewe komaa kivyako, tengeneza maisha yako upya kama uliweza jenga biashara na ukajenga na nyumba, kaza buti anza upya uangalie vyema hapo baadae mke na watoto wako na hayo matumaini eti utapewa moyo na mkeo achana nayo unajitesa bure sio kitu cha lazima kupewa moyo, ila ni kitu cha lazima kujipa moyo, jua tu hilo la kupewa moyo sio lazima wala uwezi lidai kokote wala hana moral obligation ya kukutia moyo, mafanikio ni yako watumiaji ni pamoja na mkeo na watoto. Futa machozi baba anza kazi
 
Dah, nimejisikia vibaya
We are so selfish jamani. Mkuu, ukiiza nyumba si atakusumbua kodi tena? Please, walk away. Mwachie kila kitu. Unakuta jitu limetoka kwao maskini wa kutupwa ila akikuta maisha bora ugenini nasi anabadilika kupita malelezo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom