tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 19,945
- 25,168
Ndo maana naogopa sn kuoaHivi kumbe kwenye ndoa kuna inshu serious hivi!
Ndo maana naogopa sn kuoaHivi kumbe kwenye ndoa kuna inshu serious hivi!
mna watoaga wapi wa hivyo
ndo nyuzi zake izi🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu Liverpool VPN njoo umshauri jamaa
BTW anayewadanganyaga eti mke anaweza mlea mume ni nani?
Yaan kweli unaomba hela kwa mke ukaangalie mpira .....yaan bila aibu kabisa unaomba
Ni bora ukaondoka kwenda kutafuta maisha na upya maana sioni nafuu yeyote utakayopata hasa mwanamke akiwa kama kichwa cha familia.Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.
Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.
Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.
Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.
Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.
Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.
Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.
Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo
Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.
Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Njoo pm nakushauli kitu pole sanaUkweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.
Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.
Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.
Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.
Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.
Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.
Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.
Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo
Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.
Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Nimekusoma jembe wanaume wamebaki wachache sana wengi wa kulia lia ujinga huuHIVI GUYS NI WAPI MNAFELI???
WAPI MNAKWAMA NDUGU ZANGU???
KWANN MNAKUA IVI LAKINI???
KWANN HAMNA UANAUME ???
WHY?? YAAAN UUZE NYUMBA YA WATOTO WAKO????
YAANI UUKIMBIE MJI WAKO ULOUJENGA KWA JASHO LAKO????
ET MIAKA KUMI, ALAFU NIWE NA FARAJA.. UNADHAN MAISHA NIKM RAMAN YA NYUMBA????
JE UKIENDA HUKO ALAFU USIFANIKIWE HIYO MIAKA YOTE KUMI??
NDO URUDI UKUTE KESHAZALISHWA ???
AU MNAONGEAGA TU KUPIGISHA WATU STORI???
HIVI KUNA WANAUME MNARUHUSU MATESO YAWAPATE NAMNA HII???
NIKISEMA NIWATUSI ,MNASEMA NAWALUGHA MBAYA.
MNATIA HASIRA SANA!!!!
NIKWAMBA HAYO NI MADAWA NDO MNAFANYIWA ????
MNAKERA SANA MAZEEE, MNAKERA MNOOOOO, YAAN MNANYANYASWA NA WANAWAKE , WANAWAKE MLOWAOKOTA MAHALI, UKAMUOA, UKAMPA HESHIMA, AKAONEKANA MWANAMKE, UMAPA MRADI, ET KISA UMEKWAMA NAYEYE KAINUKA NDO BASI AKUTESE ??????
Wanazingua bange
Mkuu, hivi wewe ni ME au KE...unanichanganya ujueIshini nasi kwa akili
Hiyo asahau... Nyumba unayoishi na Mke na watoto,uza mzee utembee mwisho wa siku utakuja kufa na kiharusi ashaanza kutiwa huko nje
sjasema akope bank AUZE huyo manz ashaanza kupigwa mbupu nje hukiHiyo asahau... Nyumba unayoishi na Mke na watoto,
Huwezi kuikopea Bank au Kuuza
We uwajui wanawake wa hivyo, mara mia ukope kwa watu baki usichukue hata shillingi moja kutoka kwa huyo mwanamke, hiyo utakayochukua kutoka kwake itazamisha hela yote, kwa sababu hela atakayotoa yeye itakuwa na maneno ya laana kama yote, ukiangalia kwa juju tu unaona bidii aliyokuwa nafanya ili biashara ya kwanza ife, unadhani atatamani upate ya pili. Kwake yeye iyo ya kwake na kumnyanyasa mumewe ni amefanikiwa kuliko BillGate hapo haoni mbele yaani kamaliza.Aisee Polee Papaa.
Ila usikimbie nyumba.
Alaf Kwan hujui hela anaweka wapi? Ukiwa na shida unachukua na unamwambia kabisa na sio kuiba.
Anapofanya biashara huwez kwenda na kuchukua hela?.
Tafuta mishe nyingine,kopa hela kwa watu na nyingine kachukue kwenye biashara ya mke wako.
Hiyo kununa ipo tu, haitaisha kirahisi mpaka mambo yako yakawe sawa.
Alaf naona umezidi upole, dizaini kama mke anakupanda kichwani.
mwanaume mara nyingi unatakiwa uwe na roho na maamuzi magumu Mzee.