Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,107
- 1,249,096
Mke wako mjinga yaani kahakikisha kaua biashara yako ili awe na dharau hivyo daah
Badala ya kuiuza jaribu kuitumia kukopea sehemu yoyote kwa pesa yenye dhamani sawa na hio nyumba ili hata ukishindwa kurudisha mkopo watakuuzia wao bila mkeo kuleta tafrani. Kwa sasa huwezi kuiuza atakupa matatizo makubwa
Badala ya kuiuza jaribu kuitumia kukopea sehemu yoyote kwa pesa yenye dhamani sawa na hio nyumba ili hata ukishindwa kurudisha mkopo watakuuzia wao bila mkeo kuleta tafrani. Kwa sasa huwezi kuiuza atakupa matatizo makubwa
