Ndoa yangu haina amani

Ndoa yangu haina amani

Mke wako mjinga yaani kahakikisha kaua biashara yako ili awe na dharau hivyo daah

Badala ya kuiuza jaribu kuitumia kukopea sehemu yoyote kwa pesa yenye dhamani sawa na hio nyumba ili hata ukishindwa kurudisha mkopo watakuuzia wao bila mkeo kuleta tafrani. Kwa sasa huwezi kuiuza atakupa matatizo makubwa
Bonge la ushauri 👍
 
Tatizo lenu mshaweka moyoni mwenu kuwa wanawake ndio kila kitu maishani mwenu. Na mtu yoyote akijua yeye ndio kila kitu kwako kwa nn asikiringie ....? Kwa Nini asikupeleke vile anataka.....?

Acheni ushamba ona Sasa Hadi mnataka kukimbia miji yenu

Mbona babu zenu waliwaweza Hawa viumbe nyie mnakwama wapi......?

Endeleeni kuwa entertain wawape show mbuzi nyie
Mwenzetu kaomba ushauri,sio kusakamwa,kama huna cha kumshauri nyamaza

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Eti tutakula kesho!! Yewooomi mie ni mwanamke ila nimewaza hilo jibu nikahisi kutetemeka. Kuweni wanaume jamani khaaah!!

Halafu dunia inakoelekea inabidi tuanze kuinstal software mpya kwenye vichwa vya mabinti zetu na vijana wetu wa kiume pia.
 
uza mzee utembee mwisho wa siku utakuja kufa na kiharusi ashaanza kutiwa huko nje
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.

Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.

Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.

Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.

Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.

Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.

Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.

Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo

Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.

Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Ubaya hiyo nyumba hauwezi uza bila ruksa ya Mke kwani ni mali ya familia, na mnunuzi akiwa smart atahitaji hiyo ruksa na mke awepo shahidi # 1 (ugumu mwingine), hapo labda aondoke tu mikono mitupu akatafute mbele kwa mbele. Ila pole sana Mkuu
 
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.

Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.

Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.

Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.

Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.

Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.

Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.

Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo

Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.

Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Aisee pole sana , hivi hiyo biashara uliyomfungulia ni ya kwake peke ake au ni yakwenu ,
Mm ninachofikiria unamfungulia mke biashara akae, ila ile biashara unakua ni sehemu ya familia na msimamizi mkuu ni ww na mke atabaki kuendelea kua msaidizi tu
Au biashara yenyewe ni saluni za kike ?
 
Pole sana mkuu,
Ila jamani buku 2 tu inasababisha hadi mnanuniana??
Tafuta msimamo tu maana kwa inavyoonekana hapo home bila we kuwa na hela hakutaweza kuwa na amani!
 
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.

Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.

Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.

Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.

Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.

Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.

Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.

Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo

Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.

Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Pole sana sasa ukiuza nyumba watoto watakaa wapi
 
Aisee Polee Papaa.

Ila usikimbie nyumba.

Alaf Kwan hujui hela anaweka wapi? Ukiwa na shida unachukua na unamwambia kabisa na sio kuiba.
Anapofanya biashara huwez kwenda na kuchukua hela?.

Tafuta mishe nyingine,kopa hela kwa watu na nyingine kachukue kwenye biashara ya mke wako.

Hiyo kununa ipo tu, haitaisha kirahisi mpaka mambo yako yakawe sawa.

Alaf naona umezidi upole, dizaini kama mke anakupanda kichwani.

mwanaume mara nyingi unatakiwa uwe na roho na maamuzi magumu Mzee.
Kuandika hivi ni rahisiiiiii tena sana ukipewa viatu vyake huwezi kuvivaa
 
Mkuu hi ilishanitokea,nilichofanya nikakopaa mtaji kwa baadhi ya watu wangu wakaribu.....kimya kimya nikafungua kibiashara,akawa anaona natoka asubui na Rudi usiku,nikaaza kulipaa bills zote,hapo hatushemedhani ikaenda nikasimama kuja kugundua na biashara akaaza kujirudi,nikaona hapa ndo penyeweeee nilikuwaaa nampelekeaaa motoo mzee baba,nikiwa juu ya kifua namkumbukaa yalee masimango naongezaaa kupeleka Moto mwisho wa siku Hadi hela zakee akaanza kuletaaa kwangu
Inaonyesha ni namna gani alikua hakupi kunyumba kwa muda mrefu
 
Story kama hii sikia tu kwa mwenzio,pole sana mkuu kwa unayopitia,sio kwa nia mbaya lakini inaonesha wife ana mchepuko wake tayari anakutafutia sababu tu ya kuachana..
My Take:Achana nae kabla hajakuletea vituko vya wazi wazi
Ndoa ni balaa lingine sijui kwanini watu wakaiingia kwenye ndoa ndiyo mikosi inaanza
 
Baada ya kuona vilio vingi Naomba nitoe maelekezo kwa wanaume wenzangu kwa wanawake mnaotaka kuoa

1. Kamwe usioe mwanamke mwenye chembe za ufeminist
2. Jua tabia za mama wa msichana unaetaka kumuoa kwa sababu mama wa msichana ndio msichana mwenyewe kama mama anapiga urabu, anachiti binti yake hataacha hizo tabia za mama

3. Tambua mazingira/familia aliyokulia binti ndani na nje kama familia ina tabia ovu ndugu yangu utaoa mwovu tu

4. Usioe mwanamke uliyemsomesha au umetumia gharama kubwa kupata/kuteka moyo wake

5. Usioe binti ambaye kwao yeye ndio anasauti akisema kitu mji wao unarespond

6. Usioe binti anaependapenda vikoba sijui sakosi sijui bla bla zingine

7. Usioe binti aliye na marafiki wengi wa kiume au anaejulikana sana, kamwe usioe binti anakunywa pombe na usijidanganye kuwa nikimuoa atatulia

8. Usioe binti anaekaa sana kwenye mitandao au kujua na kufuatilia sana habari za udaku, mara Paula sijui diamond amelala na nani ana gari fulani nk nk kumbuka kwa kiasi kikubwa tabia ya mkeo ndio itakuwa tabia za watoto

9. Usioe binti anaevaa vibaya na asione shida yoyote apitapo mtaani

10. Usioe mwanamke anaependa out au tabia za ushindani, pia usipishanishe umri mkubwa kati yako na binti

Jana Mama kasema sisi tunachangia mbegu tu mengine tuwaachie

NILIYOYASEMA HAYO BASI NA WEWE MWANAUME UWE NA TABIA NZURI

NB, Ukitaka ndoa yako idumu basi oa mwenye tabia za kufanana na wewe ( kama wewe ni mlevi, mzinzi, kibaka, bangi, mpole, mwadilifu nk nk oa mwenye tabia hizo hizo hapo mtadumu milele.

Asante ( neno langu sio sheria)
Kwa tabia hizi zote sema tu usioe, maana hakuna hata moja watakosa
 
Ndoa hizi
Ndoa bhana mtihani,jamaa ana maduka yake mawili kkoo moja amekaa yeye lapili kaweka vijana wakawa wanamuibia,Akaona isiwe taabu akamwachisha mkewe kazi ha ualimu kamuweka dukan.Mtihani ukaingia katika biashara yake ikafa mke akaanza balaa,Jamaa alikuwa kajenga ghorofa moja mwanamke akataka wagawane mahakama ikagawa mwanamke juu mwanaume akae chini,mwanamke akawa anaingiza wanaume juu jamaa akaona isiwe shida kakimbia......

Ndiyo vitimbi vya wanawake hivyo,

Maisha ya ndoa yanahitaji ubabe,mapenzi kwa mbaliii
 
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.

Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.

Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.

Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.

Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.

Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.

Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.

Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo

Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.

Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Kwa kuwa anadhani fedha ndiyo kila kitu, mpe nafasi kwa muda. Katafute amani ya moyo..... Iko siku atakukumbuka

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Ndoa bhana mtihani,jamaa ana maduka yake mawili kkoo moja amekaa yeye lapili kaweka vijana wakawa wanamuibia,Akaona isiwe taabu akamwachisha mkewe kazi ha ualimu kamuweka dukan.Mtihani ukaingia katika biashara yake ikafa mke akaanza balaa,Jamaa alikuwa kajenga ghorofa moja mwanamke akataka wagawane mahakama ikagawa mwanamke juu mwanaume akae chini,mwanamke akawa anaingiza wanaume juu jamaa akaona isiwe shida kakimbia......

Ndiyo vitimbi vya wanawake hivyo,

Maisha ya ndoa yanahitaji ubabe,mapenzi kwa mbaliii
Wanazingua sana hawa
 
mna watoaga wapi wa hivyo
Ndo hawa hawa sema inategemea mwanaume unaishi nao vipi,
Mimi ni mfuasi wa mfumo dume sitaki kuletewa habari za 50/50 hapa ni 90/10

Nimepiga chini mke baada ya kuona ananiletea zengwe na kutaka kunitawala

Nikamwambia, “Mimi huwa sitawaliwi na wala haitatokea kamwe nikawa chini ya mwanamke, huwezi kufata sheria zangu beba kilicho chako sepa”
 
Back
Top Bottom