Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,240
- 5,248
Kwa wewe ulioa mke kweli na ulibahatika! Kwa hawa waliooa wanawake chuma ulete huwezi kueleweka siku mishe zikibuma!Inategemea na aina ya mke, niliwahi kufulia japo mke wangu hakuwa na kipato kikubwa sana lakini alisimama imara mpaka hapa nilipo na sikusikia jambo lolote la kudhalilisha utu wangu.