Ndoa yangu haina amani

Ndoa yangu haina amani

Make decision mkuu ww sio wa kwanza wala sio wa mwisho mkuu,
Soma kisa cha Emmanuel abue na mke wake.
Didier Drogba na mke wake.
Ndoa ya stamina na ndoa ya ben pol,
Usijione mnyonge wala usikate tamaa hata siku moja usishindane na mwanamke mkuu utakufa mapema bila sababu mapenzi yamemshinda bill Gates itakuwa ww mkuu.
Didier Drogba na Mkewe walikuwaje tena? embu funguka kidogo Mkuu.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Mke wako mjinga yaani kahakikisha kaua biashara yako ili awe na dharau hivyo daah

Badala ya kuiuza jaribu kuitumia kukopea sehemu yoyote kwa pesa yenye dhamani sawa na hio nyumba ili hata ukishindwa kurudisha mkopo watakuuzia wao bila mkeo kuleta tafrani. Kwa sasa huwezi kuiuza atakupa matatizo makubwa
Nimekupenda bure kwa maelezo haya Mama.

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Ooh, mkeo kashaanza kupeleka kidonda chake kwa daktari mwingine...
 
Mwanamke keshazaa naye watoto wawili.

Huyu ni Mke wake kabisaa halali ( ukishazaa na mwanamke watoto wawili watatu wala usiumize kichwa tena juu yake ).

Kwa sasa Jamaa, Ajikite kurudisha Thamani yake .

( kihalisia na kama mwanamke angekua Muumini wa Utu, kwa sasa ndio ulikua wakati sahihi wa kusimama na Jamaa, kumpa moyo, kumuombea na KUMFICHIA AIBU JAMAA MBELE ZA WATU)

sisi wanaume kuna ule wakat unataka utoke kidogo, ukae na masela ,n.k, ni wakat wa mwanamke kumwambia " Hubby leo kachamke na wenzako, pesa hii hapa "..

Badala yake mwanamke anazidi kumnyonga jamaaa, Huyu jamaa muda mfupi ujao, ataanza kuona giza, yaan hata kichwa kufunguka ,kitashindwa ..nandio mawazo mabaya mabaya yataanza kumuijiaa...Mke ana mtu .mke amanisaliti..kisa sina hela..kisa hiki....


Lkn niseme ,Toka awali kuna kitu alishakikosea kukitengeza nacho ni HESHIMA.


NDUGU ZANGU, LAZIMA IFIKE MAHALI MWANAMKE AKUHESHIMU PASIPO KUJALI KIPATO CHAKO.


PESA HUJA NA KUONDOKA..LKN UTI WA MTU UTAISHI MILELE NAMILELE MPAKA KUFA KWAKO.


hii inamaana ,Mwanamke mke wako. Lazima auheshimu UTU WAKO wakati wote wa Pesa au kutokua na Pesa.



Tuachane na hayo

Nini Jamaa afanye ???


Jamaa ni mjuzi wa biashara nandio sehem ya maisha yake, watu biashara hkua na kushuka lkn husimama nakuendelea ( niliwah kufungua kabishara nikamuweka Ndugu yangu, alikula mpaka mtaji ,kakafa kote)
Ila sikuacha..


kwakua ana nyumba, na mjuzi wa biashara , Akakope Pesa anayojua inatosha kabisa kuanzisha bishara

Ni vema pia asikae kimya, awashirikishe wazazi, na ndugu zake wa damu, mawazo yao nayake ,ataondoka na kitu ( shida ya wengi ni kukaa na mambo moyoni)

Jamaa asikaee kumfatilia mwanamke, asikae kumuomba kitu kwa mwanamke.

Aanze mapambano , yaan huyo Mwanamke , Dawa yake ni sio kumkimbia, sio kumfukuza sio kuachana naye sababu HAMNA BAYA LA KUFANYA IVO ....LABDA KAMA KUNA USALITI ATAUFANYA KWA JAMAA , SABABU TU YA MAISHA YA JAMAA YA SASA.


Kuomba Mungu, kwa uwezo wetu ,kutoboa maisha ni kazi , unamuomba Mungu akupe njia na kubariki mikono yako.
Baada ya kuona vilio vingi Naomba nitoe maelekezo kwa wanaume wenzangu kwa wanawake mnaotaka kuoa

1. Kamwe usioe mwanamke mwenye chembe za ufeminist
2. Jua tabia za mama wa msichana unaetaka kumuoa kwa sababu mama wa msichana ndio msichana mwenyewe kama mama anapiga urabu, anachiti binti yake hataacha hizo tabia za mama

3. Tambua mazingira/familia aliyokulia binti ndani na nje kama familia ina tabia ovu ndugu yangu utaoa mwovu tu

4. Usioe mwanamke uliyemsomesha au umetumia gharama kubwa kupata/kuteka moyo wake

5. Usioe binti ambaye kwao yeye ndio anasauti akisema kitu mji wao unarespond

6. Usioe binti anaependapenda vikoba sijui sakosi sijui bla bla zingine

7. Usioe binti aliye na marafiki wengi wa kiume au anaejulikana sana, kamwe usioe binti anakunywa pombe na usijidanganye kuwa nikimuoa atatulia

8. Usioe binti anaekaa sana kwenye mitandao au kujua na kufuatilia sana habari za udaku, mara Paula sijui diamond amelala na nani ana gari fulani nk nk kumbuka kwa kiasi kikubwa tabia ya mkeo ndio itakuwa tabia za watoto

9. Usioe binti anaevaa vibaya na asione shida yoyote apitapo mtaani

10. Usioe mwanamke anaependa out au tabia za ushindani, pia usipishanishe umri mkubwa kati yako na binti

Jana Mama kasema sisi tunachangia mbegu tu mengine tuwaachie

NILIYOYASEMA HAYO BASI NA WEWE MWANAUME UWE NA TABIA NZURI

NB, Ukitaka ndoa yako idumu basi oa mwenye tabia za kufanana na wewe ( kama wewe ni mlevi, mzinzi, kibaka, bangi, mpole, mwadilifu nk nk oa mwenye tabia hizo hizo hapo mtadumu milele.

Asante ( neno langu sio sheria)
 
Aiseee... Hizi nyuzi mwezi huu zimekua nyingi sana! Kila mtu anamlalamikia mkewe!!

Ila ni wanawake wachache sana wanaweza kuingia SUB baada ya Mwanaume kuyumba then wakaperform bila kuleta dharau..

Eee Mwenyezi Mungu tupiganie wanaume.
Wewe si unaona hata Mama Samia nae anavyotuchachafya??.Acha tu ndugu yangu, MUNGU pekee ndiye mtetezi wetu ktk taabu.
 
Mkuu fanya juu chini jaribu kuyumbisha hiyo biashara anayofanya mkeo ili wote muwe sawa na muanze upya.
Hiyo huenda ikasaidia.
Sema Mwamba anawaonea huruma watoto,anaona Bora amwache mkewe na watoto,yeye akasake maisha.
 
Inategemea na aina ya mke, niliwahi kufulia japo mke wangu hakuwa na kipato kikubwa sana lakini alisimama imara mpaka hapa nilipo na sikusikia jambo lolote la kudhalilisha utu wangu.
Huyo alikuwa amefundwa vilivyo.
 
Baada ya kuona vilio vingi Naomba nitoe maelekezo kwa wanaume wenzangu kwa wanawake mnaotaka kuoa

1. Kamwe usioe mwanamke mwenye chembe za ufeminist
2. Jua tabia za mama wa msichana unaetaka kumuoa kwa sababu mama wa msichana ndio msichana mwenyewe kama mama anapiga urabu, anachiti binti yake hataacha hizo tabia za mama

3. Tambua mazingira/familia aliyokulia binti ndani na nje kama familia ina tabia ovu ndugu yangu utaoa mwovu tu

4. Usioe mwanamke uliyemsomesha au umetumia gharama kubwa kupata/kuteka moyo wake

5. Usioe binti ambaye kwao yeye ndio anasauti akisema kitu mji wao unarespond

6. Usioe binti anaependapenda vikoba sijui sakosi sijui bla bla zingine

7. Usioe binti aliye na marafiki wengi wa kiume au anaejulikana sana, kamwe usioe binti anakunywa pombe na usijidanganye kuwa nikimuoa atatulia

8. Usioe binti anaekaa sana kwenye mitandao au kujua na kufuatilia sana habari za udaku, mara Paula sijui diamond amelala na nani ana gari fulani nk nk kumbuka kwa kiasi kikubwa tabia ya mkeo ndio itakuwa tabia za watoto

9. Usioe binti anaevaa vibaya na asione shida yoyote apitapo mtaani

10. Usioe mwanamke anaependa out au tabia za ushindani, pia usipishanishe umri mkubwa kati yako na binti

Jana Mama kasema sisi tunachangia mbegu tu mengine tuwaachie

NILIYOYASEMA HAYO BASI NA WEWE MWANAUME UWE NA TABIA NZURI

NB, Ukitaka ndoa yako idumu basi oa mwenye tabia za kufanana na wewe ( kama wewe ni mlevi, mzinzi, kibaka, bangi, mpole, mwadilifu nk nk oa mwenye tabia hizo hizo hapo mtadumu milele.

Asante ( neno langu sio sheria)
Umeonge Kweli kabisa.


Embu kaifungulie uzi hiii comment ..

Ibakie kumbukumbu kwa waotaka kuoa
 
HIVI GUYS NI WAPI MNAFELI???

WAPI MNAKWAMA NDUGU ZANGU???

KWANN MNAKUA IVI LAKINI???

KWANN HAMNA UANAUME ???

WHY?? YAAAN UUZE NYUMBA YA WATOTO WAKO????


YAANI UUKIMBIE MJI WAKO ULOUJENGA KWA JASHO LAKO????


ET MIAKA KUMI, ALAFU NIWE NA FARAJA.. UNADHAN MAISHA NIKM RAMAN YA NYUMBA????

JE UKIENDA HUKO ALAFU USIFANIKIWE HIYO MIAKA YOTE KUMI??

NDO URUDI UKUTE KESHAZALISHWA ???


AU MNAONGEAGA TU KUPIGISHA WATU STORI???


HIVI KUNA WANAUME MNARUHUSU MATESO YAWAPATE NAMNA HII???


NIKISEMA NIWATUSI ,MNASEMA NAWALUGHA MBAYA.


MNATIA HASIRA SANA!!!!


NIKWAMBA HAYO NI MADAWA NDO MNAFANYIWA ????



MNAKERA SANA MAZEEE, MNAKERA MNOOOOO, YAAN MNANYANYASWA NA WANAWAKE , WANAWAKE MLOWAOKOTA MAHALI, UKAMUOA, UKAMPA HESHIMA, AKAONEKANA MWANAMKE, UMAPA MRADI, ET KISA UMEKWAMA NAYEYE KAINUKA NDO BASI AKUTESE ??????
Ngoma usiyoicheza huwezi kujua utamu wake.
 
Mkuu hi ilishanitokea,nilichofanya nikakopaa mtaji kwa baadhi ya watu wangu wakaribu.....kimya kimya nikafungua kibiashara,akawa anaona natoka asubui na Rudi usiku,nikaaza kulipaa bills zote,hapo hatushemedhani ikaenda nikasimama kuja kugundua na biashara akaaza kujirudi,nikaona hapa ndo penyeweeee nilikuwaaa nampelekeaaa motoo mzee baba,nikiwa juu ya kifua namkumbukaa yalee masimango naongezaaa kupeleka Moto mwisho wa siku Hadi hela zakee akaanza kuletaaa kwangu
,Hayo sasa hayakuwa Mapenzi ya kweli,yaani unampelekea moto kwa Nia ya kumuonyeshea.
 
Hivi ninyi wanaume wengne huwa mnaishije na mke!!!? Yaan wife unamuulza kuhusu msosi, anakujibu kijeuri kabsa, yupo ndan ya nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako, biashara yake imetokana na mtaji wako!!! Aseee, hapa na imagin ningelikua mim, ngoja niache tu kuwaza maana nahisi hasira kunipanda, ninaweza kupasua mtu kichwa siku hiyo!
 
Hivi ninyi wanaume wengne huwa mnaishije na mke!!!? Yaan wife unamuulza kuhusu msosi, anakujibu kijeuri kabsa, yupo ndan ya nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako, biashara yake imetokana na mtaji wako!!! Aseee, hapa na imagin ningelikua mim, ngoja niache tu kuwaza maana nahisi hasira kunipanda, ninaweza kupasua mtu kichwa siku hiyo!
Nafurahi kuona wanaume bado tupo

Et wife hupiki???


Sipikiii leo ulale njaaa

Kweli jamaaa akalala nja

Manina
 
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.

Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.

Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.

Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.

Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.

Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.

Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.

Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo

Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.

Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
Brother..uoga wako ndo umasikini wako,mkeo amekupanda kichwani kwa sababu uliruhusu demokrasia uchwala kwenye familia Yako yaani ulijifanya una mapenzi ya kizungu wale Kila mmoja anajua mipaka yake iga ufe.

Cha kufanya.

Tafuta mtaji wowte fungua biashara yoyote unayoipenda Fanya awe anataka au hataki, halafu mpige marufuku kukushauri, kuongea na wewe kama vile anaongea na mwanae maana naona hata kufokewa unafokewa wewe...muite mkalishe chin ukiwa na sura ya mbuzi, akikataa akaleta nyondo mpe masaa siku au dakika awe ameshafanya unavyotaka akikaidi huyo no halali Yako, tembeza vibao hata kama utaua.

Nakwambia tembeza vibao, wewe tembeza vibao TU maana huyo tayari ana kiburi kilichosimama wima.

Ila uwe tayari kwa ghalama zitakazojitokeza na uwe mpole.
 
Ukweli nimechoka nahitaji kusafiri mbali na nyumbani kwangu kila mtu aishi maisha yake maana tunakaa muda wote kama mtu na mke mwenza.

Ndoa yangu ina miaka 5 tuna watoto 2. Nilikuwa nafanya Biashara vizuri nikafanikiwa kujenga nyumba ya Familia na kumfungulia wife biashara naye ili asinitegemee kila kitu.

Bahati mbaya biashara yangu ikayumba nikawa nakomaa nayo ila yeye muda wote ni kunikatisha tamaa niachane nayo.
Nikapata dharura ya kusafiri kwanda mkoani kwa wazazi nikamwacha kijana.

Huku nyuma wife akamsonga songa kijana mwisho Biashara yangu ikafugwa nikapigiwa simu na wife kijana anaingiza hasara nimefunga.

Niliporejea home uzi ni ule ule anataka niachane nayo. Kweli nikaamua kuachana nayo kwani kodi ya pango iliisha na pia palifugwa wateja wangekuwa wametuhama zaidi hivyo nikilazimisha naweza tengeneza hasara na madeni
nikahitimisha kufunga Rasmi.

Niko zangu home najipanga kutafuta mishe ya kufanya wife ndiye mwenye kazi ndiye kila kitu kinacho husiana na hela. Manyanyaso yakaanzia hapa,
kelele, kupangiwa anachotaka.

Jumamosi ya ngao jamii kati ya Simba na Yanga niliomba Elfu mbili tu nikakae kwenye kibanda umiza niangalie mechi nilitolewa nje.

Siku hiyo nilishinda home kuna kazi nilikuwa nafanya. Nilichoka kweli,
basi nikajirudia zangu home saa 18:00 kujilalia saa tatu na nusu akawa anaingia. Alipofika akanyosha moja kwa moja kitandani. Nikauliza “wife hupiki?” maana njaa inauma. Akasema sipiki na sijakununulia chochote tutakula kesho. Kila nikimwongelesha kimya basi kuepusha shari nikakaa kimya nikalala japo usingizi wa tabu uchovu + njaa + mawazo

Kuanzia siku hiyo ni kununiwa hakuna kusemeshana. Nimewaza niuze nyumba nipate mtaji naona ugumu biashara zikigoma.

Wazo langu kwa sasa kwa sababu sina thamani kwake niondoke nikatafute maisha mbali ata miaka 10 ili nipate amani na faraja. Nahofia nitakufa bure na mawazo naye abaki na amani yake anilelee tu wanangu.
We kuondoka ndio anachotaka kuliko kitu chochote kwa sasa anakunyanyasa ili ufikie hali ya kukata tamaa uza baadhi ya thamani za ndani kama zipo za pesa ndefu kidogo then komaa na biashara.

Au kama vipi mwambie asepe kwao akuachie nyumba na watoto hutakosa namna ya kuishi.

Halafu we jamaa wa mkoa gani sisi ni watu wabaya sana mwanamke hanaga sauti kwetu kamwe tena nyumba umejenga mwenyewe? Thubutu kabila langu mimi huyo angesepe hata akiondoka na watoto aende tu. Anyway ni asili tu ya kwetu.

NB:usiniulize kabila langu Nyerere alikataza
 
Sasa hapo mkuu c hakuna wa kuolewa sayari ya dunia
Baada ya kuona vilio vingi Naomba nitoe maelekezo kwa wanaume wenzangu kwa wanawake mnaotaka kuoa

1. Kamwe usioe mwanamke mwenye chembe za ufeminist
2. Jua tabia za mama wa msichana unaetaka kumuoa kwa sababu mama wa msichana ndio msichana mwenyewe kama mama anapiga urabu, anachiti binti yake hataacha hizo tabia za mama

3. Tambua mazingira/familia aliyokulia binti ndani na nje kama familia ina tabia ovu ndugu yangu utaoa mwovu tu

4. Usioe mwanamke uliyemsomesha au umetumia gharama kubwa kupata/kuteka moyo wake

5. Usioe binti ambaye kwao yeye ndio anasauti akisema kitu mji wao unarespond

6. Usioe binti anaependapenda vikoba sijui sakosi sijui bla bla zingine

7. Usioe binti aliye na marafiki wengi wa kiume au anaejulikana sana, kamwe usioe binti anakunywa pombe na usijidanganye kuwa nikimuoa atatulia

8. Usioe binti anaekaa sana kwenye mitandao au kujua na kufuatilia sana habari za udaku, mara Paula sijui diamond amelala na nani ana gari fulani nk nk kumbuka kwa kiasi kikubwa tabia ya mkeo ndio itakuwa tabia za watoto

9. Usioe binti anaevaa vibaya na asione shida yoyote apitapo mtaani

10. Usioe mwanamke anaependa out au tabia za ushindani, pia usipishanishe umri mkubwa kati yako na binti

Jana Mama kasema sisi tunachangia mbegu tu mengine tuwaachie

NILIYOYASEMA HAYO BASI NA WEWE MWANAUME UWE NA TABIA NZURI

NB, Ukitaka ndoa yako idumu basi oa mwenye tabia za kufanana na wewe ( kama wewe ni mlevi, mzinzi, kibaka, bangi, mpole, mwadilifu nk nk oa mwenye tabia hizo hizo hapo mtadumu milele.

Asante ( neno langu sio sheria)
 
Back
Top Bottom