witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Umejitete kwa huruma sana.She is actually my sister in law, ameolewa na kaka yangu mimi ke mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ulishawahi kuwa naye mmoja? majukumu gan aliyashindwa to be specific
espy Heaven Sent
Sent using Jamii Forums mobile app
kama najiona vileAs if kuna binadamu aliye mkamilifu, hana changamoto. Mwambie huku hatuonewi kabisa lol
Haha ukizingua jiandae mabanzi teh
C.c @espy
Hapana, wamama wanapendeleaga wakwe zao; hawezi kunitetea mimi binti yake. Tena kama ndo unamtumiaga na hela ya vitenge weeee ntachambwaje. Unamjua mama angu kwa pesa
Si kama hivi nimesema ebooSasa mbona wanyaki tukichambwa huji kututetea, na wakati dada angu anawatendea mema huko?
mi atanichinjia baharini tu, maana kila nikimtumiaga hela inaishiaga hewan. tigo wananihujumugiHapana, wamama wanapendeleaga wakwe zao; hawezi kunitetea mimi binti yake. Tena kama ndo unamtumiaga na hela ya vitenge weeee ntachambwaje. Unamjua mama angu kwa pesa
mi atanichinjia baharini tu, maana kila nikimtumiaga hela inaishiaga hewan. tigo wananihujumugi
Sent using Jamii Forums mobile app
afu siku yamenikuta, nijikute najigusaHahaa jikute una mkono wa birika sasa
Kilivyo kizuri sasa.
Mambo ya ndoa bana!
Ukikuta watu wameachana awe wakaribishe bia kunyweni muongee habari za Morinho!
Yaani jiandae kisaikolojia, siku ujiandae kama unajikuna ndio utanitambua.mi atanichinjia baharini tu, maana kila nikimtumiaga hela inaishiaga hewan. tigo wananihujumugi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi ikija kwangu, tunamchangia. Mabanzi hadi akili imkae sawa.Haha ukizingua jiandae mabanzi teh
C.c @espy