wembeee
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 2,708
- 1,353
The Boss kwenye ubora wakoWanasema ukiona unafanya jambo lile lile na unapata matokeo yale yale
basi jaribu kufanya kinyume chake
Kuna aina ya watu 'ukiwadekeza tu umewaharibu'
watazidi kukuletea utoto hadi ushangae
dawa yake ni wewe ku sit back and do nothing..
akinuna usimuulize kitu...shika remote control and ignore her...
Last edited by a moderator: