innocentmollel
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 1,702
- 753
Nastahili pumziko la milele! Ee Mungu nisaidie!
Usiwaze hvyoo mkuu endeleaa kumuombaaa munguuu atakusaidiaa
Nastahili pumziko la milele! Ee Mungu nisaidie!
Nastahili pumziko la milele! Ee Mungu nisaidie!
hapo hajaongea sahihi. kujirestisha kwasababu tu hakusikilizi, je angemkuta kitandani na mwanaume mwingine si ndio angejimaliza kabisa.? kwanini umekata tamaa kiasi hicho, umesalenda kwa adui mzee, mkeo ni mzuri tu ila kilichopo ndani yake ndicho kibaya na hicho ndicho unachotakiwa kupamgana nacho. angalia usijiue aisee.Usiwaze hvyoo mkuu endeleaa kumuombaaa munguuu atakusaidiaa
Usiwe weak kiasi hicho bwana,mke wako ameshaijua wweakness yako na ndio anaitumia, huyo mwanamke huwezi mbadilisha tabia yake mpaka aamue mwenyewe, najua itakuwa ngumu kwa sababu ulishajiwekea picha ambayo unapenda ndoa yako iwe vipi,Ila jaribu kumu ignore ingawa kwako itakuwa ngumu au jaribu kuchukulia hiyo ni mojawapo ya changamoto ya ndoa yako.Au yakikushinda mpeleke kwao kwa muda
Nastahili pumziko la milele! Ee Mungu nisaidie!
Nastahili pumziko la milele! Ee Mungu nisaidie!
Tatizo la kutokua na talaka ktk ndoa ndio hili sasa.
Au kuruhusiwa kuongeza mke mwingine.
Pole mtumshi hana pepo ni tabia mbaya tu aliyonayo.
Ungechunguza nini kilimfanya aachwe na mumewe wa kwanza.
Mtumishi wa Mungu anafikiria mpaka kujiua
Preta asante sana. Kwakweli naona maisha yangu si ktu. Juhudi zangu za maisha naonahazinasupport yoyote. Inaiuma mno mpaka muda huu natokwa na machozi mno. Nimefunga sana kumuombea, namhrumia sana sana làkini yote hayà bila furaha na amanini bure.