Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,424
- 79,677
Umekariri.Ndoa ni majaaliwa, na kikubwa zaidi ni kujiandaa tangu ukiwa msichana kuwa mke wa fulani.
Kipindi cha usichana ni kipindi cha kuonesha tabia njema sana kama kweli unataka kuwa mke wa mtu.
Sio kwenye mapombe umo, kwenye madisko umo, kwenye ma Beach party umo, kwenye kuchoropoa mimba na kudanga umo, halafu utegemee in future utaolewa kirahisi.
Hawa waoaji, wanazunguka kupata file lako kabla.
Ndoa ni maandalizi ya tangu usichana wako, sio unafika miaka 30 umetumika weeee, umezalishwa huko, halafu ndio uanze kutafuta mume.
Msichana tunza usichana wako, tabia yako njema ndio ufunguo wa ndoa yako
Watu wanaenda clubs na bar na bado wanaoolewa, sio kila mwanaume anapenda mwanamke mwenye adabu za kupitiliza maana wengi wao wanaboa.
Hata waliozaa wanaoolewa vizuri ni vile tu unavyojiweka.