Ndoa ni maandalizi ya tangu usichana wako

Tunakoelekea hata alieliwa na 10 atakua anaonekana namba E kabisa kama magari ya japan tunayoletewa. Body count ya madem inatisha sku hizi mtu kapitiwa na watu 30+? Na unataka mume seriously?

Ila tukiacha masihara hili ata sio jambo la kuambiwa mwanamke inakuaje unawavulia wanaume 10 mpaka 20 chupi sio utamaduni wa muafrika halisi huu.. yan katika njemba 5 za mwanzo zote ulikua hujaweka malengo muoane?
Kweli tunashindwa kujisjmamia sana lakin maranying wanaume ndo mnatuangusha bint anaejua huyu nilonae atanioa au lah?wengi tunatumia moyo kufanya maamuz unajikuta unakumbuka kuwa alikuwa na machaguo Saba dhidi Yako na unakuwa ushachelewa
 
Watafute tu watu wa kuwasusia mbususu basi mi nawapenda kweli yani najuwa kuwapa comfort wakuje tu ila kuoa no labda sogea tukae
 
Kipindi ambacho mwanamke anaweza kupata mume sahihi ni wakati akiwa na miaka 20-25; kutokana na umri huo, wengi kipindi hicho huwa wanachagua chagua aina za wanaume kwa kuangalia sifa za kijinga, tall, dark, 6 packs n.k mwisho wa siku wanaangukia pabaya, na wanaishia bila kuolewa.
 
Mkuu wangu ipo hivi
Siyo mahusiano yote huwa toxic kwa sababu ya wanawake.

Sisi wsnaume most times ni kichefuchefu kwenye mahusiano.

Nadhani hao wa 34+ ni waelewa na wanajua nini maana ya mahusiano. Labda wachache ambao wamegoma kukua na kubadilika.

Ndoa ni matokeo ya TRUST projection baina ya wawili na siyo KUENDANA. Kama trust ina walakini bora usiingie kwenye ndoa kwa sababu ndoa siyo chuo cha mabadiliko bali ni kasri la utawala na maongozi.

Tusiwazonge mno hawa wadada wanaopambania pendo la nafsi zao kwani upweke ni maradhi ujue.

Ngoja niwaite wajumbe wachangie hoja
To yeye
Depal
Demi
Lulu michael dronedrake Rushayna Deborah9007 Equation x
The best comment ever
 
Mkuu wangu ipo hivi
Siyo mahusiano yote huwa toxic kwa sababu ya wanawake.

Sisi wsnaume most times ni kichefuchefu kwenye mahusiano.

Nadhani hao wa 34+ ni waelewa na wanajua nini maana ya mahusiano. Labda wachache ambao wamegoma kukua na kubadilika.

Ndoa ni matokeo ya TRUST projection baina ya wawili na siyo KUENDANA. Kama trust ina walakini bora usiingie kwenye ndoa kwa sababu ndoa siyo chuo cha mabadiliko bali ni kasri la utawala na maongozi.

Tusiwazonge mno hawa wadada wanaopambania pendo la nafsi zao kwani upweke ni maradhi ujue.

Ngoja niwaite wajumbe wachangie hoja
To yeye
Depal
Demi
Lulu michael dronedrake Rushayna Deborah9007 Equation x
Ahsante mkuu, among the best comment.
 
Mkuu wangu ipo hivi
Siyo mahusiano yote huwa toxic kwa sababu ya wanawake.

Sisi wsnaume most times ni kichefuchefu kwenye mahusiano.

Nadhani hao wa 34+ ni waelewa na wanajua nini maana ya mahusiano. Labda wachache ambao wamegoma kukua na kubadilika.

Ndoa ni matokeo ya TRUST projection baina ya wawili na siyo KUENDANA. Kama trust ina walakini bora usiingie kwenye ndoa kwa sababu ndoa siyo chuo cha mabadiliko bali ni kasri la utawala na maongozi.

Tusiwazonge mno hawa wadada wanaopambania pendo la nafsi zao kwani upweke ni maradhi ujue.

Ngoja niwaite wajumbe wachangie hoja
To yeye
Depal
Demi
Lulu michael dronedrake Rushayna Deborah9007 Equation x
Kipindi ambacho mwanamke anaweza kupata mume sahihi ni wakati akiwa na miaka 20-25; kutokana na umri huo, wengi kipindi hicho huwa wanachagua chagua aina za wanaume kwa kuangalia sifa za kijinga, tall, dark, 6 packs n.k na ndio wengi waliopo sasa wakiwa na miaka 34+ wakitafuta wachumba angalau wanaopumua tu.
 
Waliuchezea usichana wao kwa kufanya umalaya, ulevi, kutoa mimba, kukesha bar, sasa hivi wamelegea mbele na nyuma wanalazimisha kuolewa... Na wengi wao ni single maza wanajifanya wapambanaji kumbe wakijifungia ndani wanalia kwa upumbav walioufanya wakat wakiwa mabinti...
Punguza spana
 
Kipindi ambacho mwanamke anaweza kupata mume sahihi ni wakati akiwa na miaka 20-25; kutokana na umri huo, wengi kipindi hicho huwa wanachagua chagua aina za wanaume kwa kuangalia sifa za kijinga, tall, dark, 6 packs n.k mwisho wa siku wanaangukia pabaya, na wanaishia bila kuolewa.
Usiwasanue bhana
 
Back
Top Bottom