Ndoa inaweza haribu maisha ya mtu, ndoa inaweza fanya ukachanganyikiwa ( itategemea umenyooshwaje na mwenza wako ), ndoa inaweza fanya ukapata kiharusi au magonjwa ya moyo au depression.
Leo siamini amini, nimejikuta navizia kuchukua namba ya wahudumu kucheza na low profile , wakati nilikuwa napenda toto classic, sasa hivi naziogopa kama kifo dah .. inasikitisha sanaa . Ndoa noma sanaa, mapenzi ukijifanya unapenda unaweza kufa kabla ya mda wako
Leo siamini amini, nimejikuta navizia kuchukua namba ya wahudumu kucheza na low profile , wakati nilikuwa napenda toto classic, sasa hivi naziogopa kama kifo dah .. inasikitisha sanaa . Ndoa noma sanaa, mapenzi ukijifanya unapenda unaweza kufa kabla ya mda wako