Ndoa ni baraka kwa walio na bahati nazo

Ndoa ni baraka kwa walio na bahati nazo

Big Balls

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2025
Posts
922
Reaction score
1,764
Ndoa inaweza haribu maisha ya mtu, ndoa inaweza fanya ukachanganyikiwa ( itategemea umenyooshwaje na mwenza wako ), ndoa inaweza fanya ukapata kiharusi au magonjwa ya moyo au depression.

Leo siamini amini, nimejikuta navizia kuchukua namba ya wahudumu kucheza na low profile , wakati nilikuwa napenda toto classic, sasa hivi naziogopa kama kifo dah .. inasikitisha sanaa . Ndoa noma sanaa, mapenzi ukijifanya unapenda unaweza kufa kabla ya mda wako
 
Ndoa inaweza haribu maisha ya mtu, ndoa inaweza fanya ukachanganyikiwa ( itategemea umenyooshwaje na mwenza wako ), ndoa inaweza fanya ukapata kiharusi au magonjwa ya moyo au depression.

Leo siamini amini, nimejikuta navizia kuchukua namba ya wahudumu kucheza na low profile , wakati nilikuwa napenda toto classic, sasa hivi naziogopa kama kifo dah .. inasikitisha sanaa . Ndoa noma sanaa, mapenzi ukijifanya unapenda unaweza kufa kabla ya mda wako
Fanton Mahal mshauri kijana wako
 
Fanton Mahal mshauri kijana wako
Nimekaa mahala hapa, nakunywa chai. Nimewaza mbali sana mkuu. Nilikuwa nimeoa, mwanamke mzuri sana, akazingua kinoma kidogo nichanganyikiwe.

Nikaja pata mwanamke mzuri sana mwingine nikaona huyu ananiponya maumivu nikakubali kuishi hadi nje ya nchi kwa ajiri yake, na rasta zangu nikanyoa.. lakini kaninyooshaa ananipelekesha.. hadi nimeamua kunyoosha mikono, katumia sana ndoa yangu iliyopita kunipigia
 
Kunywa maji ili ueleze vizuri, maana ni Kama una kimbizwa😂🤣
Bro nakunywa chai kinyonge hapa.. acha tu.. imebidi ninyooshe mikono..
PXL_20250614_155727727.PORTRAIT.jpg
 
Nimekaa mahala hapa, nakunywa chai. Nimewaza mbali sana mkuu. Nilikuwa nimeoa, mwanamke mzuri sana, akazingua kinoma kidogo nichanganyikiwe. Nikaja pta mwanamke mzuri sana mwingine nikaona huyu ananiponya maumivu nikakubali kuishi hadi nje ya nchi kwa ajiri yake, na rangu nikanyoa.. lakini kaninyooshaa ananipelekesha.. hadi nimeamua kunyoosha mikono, katumia sana ndoa yangu iliyopita kunipigia
Kwanza pumzika, toka kwenye hizo bandika bandua. Hazikusaidiii
Pili take time upone kwanza, tatu jiangalie jikague ni tabia gani au udhaifu gani unao mpaka wakawa wanakupelekesha

Nne kama ulikuwa unaoa kwa sura , jitafakari upya kaka. Omba ushauri kwa watu wazima watakwambia mke yukoje

Ondoa matamanio ya mionekano
 
Back
Top Bottom