Ndoa ndio sehemu pekee ambayo mwanaume anauziwa product used kwa bei ghali. Used corolla inauzwa bei ya benz mpya na mteja halalamiki

Ndoa ndio sehemu pekee ambayo mwanaume anauziwa product used kwa bei ghali. Used corolla inauzwa bei ya benz mpya na mteja halalamiki

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
2,230
Reaction score
8,305
Screenshot_20250720_212056_Gallery.jpg



Pia biblia imeandika Mungu aliwasamehe makahaba.

Ila lilipokuja swala la kuchagua Mama wa mwanae alimchagua mwanamke bikira anaitwa Maria.

Hakuchagua used
 
Kuna mdada siku moja tunaoiga story akasema yeye shabiby inajaa na hapo yupo na 28,nilimpiga chini siku hiyo huyo.
Imagine shabiby ina siti 60,mdada huyo anawezaje kutulia kwenyw ndoa

Na hapo unakuta wazee wake wanachaji mahari milioni 10.

Na hapo hapo anataka harusi ya maana umnunulie shela la milioni kazaa
 
Na baada ya kulipia huambulia kiburi,jeuri na dharau.Stress zingine za kujitakia aisee....eti ndoa uvumilivu,ndoa ni kwa ajili ya mature men....wewe,nani kakudanganya....mwafwa na tai shingoni😅
Mature man kwa mwanamke wa kisasa ni neno lenye maana nyingine kabisa kinyuma na maana yake halisi.

Ukishaskia tu mwanamke anakwambia habari za mature man ujue hapo ana maanisha mwanaume mjnga ambaye anatolerate kila aina ya upumbavu wa mwanamke.

Yaan mwanaume ambaye anavumilia dharau,jeuri,kiburi na majibu ya ovyo kutoka kwa mke wake halafu hapo hapo bado anaendelea kuwa provider.
 
Mature man kwa mwanamke wa kisasa ni neno lenye maana nyingine kabisa kinyuma na maana yake halisi.

Ukishaskia tu mwanamke anakwambia habari za mature man ujue hapo ana maanisha mwanaume mjnga ambaye anatolerate kila aina ya upumbavu wa mwanamke.

Yaan mwanaume ambaye anavumilia dharau,jeuri,kiburi na majibu ya ovyo kutoka kwa mke wake halafu hapo hapo bado anaendelea kuwa provider.
Yeah, ndivyo ilivyo,hawasemi tu mkuu
 
Inashangaza, mdada katumiwa na watu kibao na kuwa over used halafu mwisho wa siku anakuambia eti mimi mahari yangu ni bilioni 15, unabaki kujiuliza unaoa kitu used na kumleta maishani mwako wakati hana mchango wowote ule zaidi ya kukutia hasara, kuna haja ya kuoa mtu wa namna hii jamani?
 
Ukimwita mwanamke a used product,unamtukana Mungu
Mungu ndiye aliyeweka usichana kwa mwanamke kama alama ya agano la kutotumika mpaka aolewe.....aliyemtukana Mungu ni yule aliyevunja agano lake na Mungu wake kwa tamaa za vitu vidogo......

Mimi nikikuambia umetumika na kweli umetumika sijakutukana bali nimekuambia ukweli na nimeiepuka dhambi ya uongo......
 
Mungu ndiye aliyeweka usichana kwa mwanamke kama alama ya agano la kutotumika mpaka aolewe.....aliyemtukana Mungu ni yule aliyevunja agano lake na Mungu wake kwa tamaa za vitu vidogo......

Mimi nikikuambia umetumika na kweli umetumika sijakutukana bali nimekuambia ukweli na nimeiepuka dhambi ya uongo......
kutolewa bikra sio kutumika hiyo ni tafsiri potofu kwani kuna wasichana hupoteza bikra zao bila kuingiliwa na mwanaume,tusitafsiri vibaya,marlekezo ya Mola wetu
 
Back
Top Bottom