Ndoa miaka 11 naomba ushauri

Amekupasua na chupa, utaka ushauri gani mkuu? KIMBIA usigeuke nyuma tena.
 
Ni kweli kabisaa kabisa kama sasa hata unyumba hataki kunipa kabisaaa nikimuomba ila hapo kama ulivyosema inabidi ni remove hisia kabisaa hujakosea na hapo wametuzidi kwa kiasi kikubwa sana tena sana nakubaliana na wewe...
Nimejikaza nisicheke nimeshindwa 😹😹😹
Wabongo tunapenda chini, yani una matatizo bado unawaza kula papa..!!
 
Achana nae mwanamke akishakupa reference ya mwanaume mwingine piga chini
 

Kaka najuta sana tena sanaaa sio kidogo.....Umeniambia kitu ambacho nashukuru sana tena sanaaaa...Najuta sio kidogo...
 
Kosa lilianza pale ulipooa single mama ivi kila siku hamuonagi nyuzi apa kuhusu single mama kuwa sio wa kuweka ndani ni wakuwala mbususu na kusepa
 

Asantw sanaaa kaka nashukuru sanaa kaka...Wazazi na familia wote wameniambia ila sijasikiliza kabisaaaa ila sijasikiliza naahukuru sana tena sana sina mengi ya kusema ila ninayo mengi sanaaaaa....
 
Mkuu hui sio chai na why nidanganye sasa??hii ni kweli kabisa....Na amefanya kama mara kadhaa ila nimetulia sema nchi ambayo mipo nikimshika tu atakuwa amemaliza maisha yangu maana atawapigia police nitakuwa arrested na kuaribu kila kitu....
Uko nchi gani? Na kwanini umchekeee sasa kama hata unymba hupewiii achana nae
 
Mwambie aende kwa bwanaake we muoe huyo uliemzalisha.
 

Asante sana tena sanaa kaka hayo maswali yako ya kwanza umenisaidia na nashukuru sana sio kidogo asante sanaaa sasa nimeamkaaaa kiakili asamte sanaaaa....
 
Wazee walishaniambia tayari nirudi nyumbani mara kibao mungu anaona....Watu wengi wameniambia unacheza na maisha yako kuwa makini sanaaa....sema mpaka sasa nawaza ndoa tu....

Kenge kabisa wewe
 

Ndugu yangu mimi mwanaume na nashukukuru sana kaka....Nikiwa sijui ila sasa nashukuru sanaaa ushauri wako kaka umenipa moyo sana tena sanaaa sio kidogo...Asante sana....
 
Pndikizi. Hakuna mwanaume anaweza kueleza ama kufanyiwa haya uliyoandika. Hii ni stori ya kitunga

Mkuu ndio maisha yangu sina la kificha na mimi mtu mianifu nipo humu zaidi ya 17 years siwezi danganya kabisaa hata kidogo...Najuwa hujasema sanaa ila nashukuru sana...
 
Kama mzazi mwenzie alikupa onyo, ni vizuri ukamuacha huyo mwanamke ili kupunguza heka heka za hapa duniani. Ile kukupa onyo, kuna mazingaombwe yamefanyika kwa huyo mke. Nakushauri, muwekee mazingira akuache yeye, kisha oa huyo ulie zaa naye.
 
We ukimuona jamaa hajui ku care?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…